Kwanza ufahamu mrusi anapigana na super power States indirect.
Putin anatuabisha washabiki wake. Tunahoji lipoti tatu 1. Kwanini superpower inashindwa kuiteka kyiev?. 2. Ule msafara uliokuwa unaenda kyiev umefika wapi? 3. Kuwapeleka vitani wasio na ujuzi inamanisha nini kwa superpower?. Nataka majibu kwa warusi wenzangu wa Gongo la mboto, Buguruni, Tandale, Kawe na ubungo.
Si wangemsingizia tu kama walivyofanya Kwa Sadam Hussein huko Iraq?Mwambieni akosee njia ashambulie kakijiji ndani ya kataifa ka NATO ndio afutwe kabisa, wanamtamani sana, ile siku kifaa cha Ukraine cha kuzuia kombora kilitua Poland kimakosa, Urusi alikua wa kwanza kulia lia wasije wakamsingizia.....hehehe
Unateseka sana mbwa wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787].sijui kama unapata hata usingiziWarusi wanaendelea kutumika kama vipande vya nyama za kutumbukizwa kwenye "meat grinder", makundi baada ya makundi wanapelekwa na kufyekwa Ukraine, sasa habari zimeanza kujitokeza kuwa Urusi inataka kurudi mitaani kufukuzia vijana wengine wapelekwe wakafie Ukraine.
===============
An advisor to Ukraine's Minister of Interior Affairs has publicly announced that Russia is preparing for a second wave of mobilization in the country.
Ulitaka chanzo Cha habari kiwe wewe au PutinCHANZO CHA HABAR:
An advisor to Ukraine's Minister of Interior Affairs
Si wangemsingizia tu kama walivyofanya Kwa Sadam Hussein huko Iraq?
NATO na Urusi wanaogopana,Huo ndio ukweli mchungu!
NATO si Waweke no fly zone Ukraine kama ambavyo Zelensky ameomba mara nyingi Toka mwanzo wa SMO?
Au hao US na NATO wampe Ukraine silaha za kupiga Moscow!
Kwanini mnalazimisha Urusi apige nchi za NATO,kwanini wanaomdhamini siiaha Ukraine wasiingie front iwe vita kamili dhidi ya taifa Moja Russia?
Hivi ukiwa mkweli hata siku moja hutapoteza nini?? Hivi una habari taifa la Urusi linachukulia vipi suala la usalama wa taifa lao hasa linapo tishiwa na taifa hasa la Amerika - wanakuwa kitu limoja hasikudanganye mtu, hasa hasa hizi popaganda za kishenzi za mataifa ya magharibi eti Warusi wanavaa nguo za kike kukwepa kujiunga na jeshi - ulaghai mtupu wanao kacha kujiunga na jeshi ni Waukraine sio Warusi - nimeona wanajeshi wa Urusi 300,000 wakj-pass out baada ya mafunzo ya kijeshi sasa hizi haari zako za kutunga unazipata wapi% ya Warusi wanamuungakino kwa sababu wanajua sana kinacho ebdelea huko Ukraine,mataifa ya magharabiri wanaitumia Ukraine kujaribu kudorosha uchumi wa Urusi na kujaribu kuidhoofisha Urusi kujeshi - Russians are no fools - they know Ukraine inapigana a proxy war on behalf of US and UK lakini Warusi watawasjinda tu na kuwadhalilisha - kwa taaroga yako Rissia is now getting started- mataifa 41 yanapigana na Urusi inderectly utawasikia wakilia lia eti Urusi inatumia nguvu kupita kiasi - siku hiyo inakuja - nyie subirini na mgojera zenu.
Kumbuka huyu bondia Nikolai valuev alishakufa kitambo maiti yake imeliwa na ndege wiki nzima kutokana na ukubwa wake.Warusi wanaikimbia nchi yao kwa jinsi wanalazimishwa kwenda kufia Ukraine kwa vita ambavyo havina tija yoyote kwa nchi yao, wewe unateseka hapa kwa kuandika liinsha ambalo umejaza paragraph moja hata hujui kuzingatia uakifishaji.
Marekn ina majimbo sio chini ya manne yenye uchumi mkubwa kuliko Urus , budget ya jeshi marekan ni sawa na GDP ya urusSi wangemsingizia tu kama walivyofanya Kwa Sadam Hussein huko Iraq?
NATO na Urusi wanaogopana,Huo ndio ukweli mchungu!
NATO si Waweke no fly zone Ukraine kama ambavyo Zelensky ameomba mara nyingi Toka mwanzo wa SMO?
Au hao US na NATO wampe Ukraine silaha za kupiga Moscow!
Kwanini mnalazimisha Urusi apige nchi za NATO,kwanini wanaomdhamini siiaha Ukraine wasiingie front iwe vita kamili dhidi ya taifa Moja Russia?
Kumbuka huyu bondia Nikolai valuev alishakufa kitambo maiti yake imeliwa na ndege wiki nzima kutokana na ukubwa wake.
Russian wanatakiwa wamshambulie Putin na kumuondoa ikulu faster sana
View attachment 2433498