Urusi atakua na air defence system ya hpersonic missile,huezi develop hypesonic kwa mafanikio makubwa afu ushindwe kudevelop antinode yake.Kwa sasa hakuna air defense system inayoweza zuia hypersonic missiles.
Kwa sasa hiyo ndio shida.
US ana OVER PRICE silaha zake ila hakuna kitu kwenye reality 😆😆😆Wakati Marekani imeamua kupeleka Patriot nchini ukraine ikasemekana kuwa muarobaini wa mashambulizi ya anga ya urusi nchini ukraine umepatikana!! Kumbe hakuna kitu! Patriot ni kama midoli tu mbele ya Kinzhal hypersonic missile system!!
Russian forces have delivered a massive missile strike on Ukraine’s military infrastructure as retaliation for Kiev's terrorist attack on Bryansk border region earlier this month, the Ministry of Defense stated on Thursday. It added that all assigned targets had been hit.
In a statement, the ministry outlined that the attack involved “high-precision long-range air, sea, and land-based weapons, including the Kinzhal hypersonic missile system.” The latter has a range of more than 2,000 km.
“The massive retaliation strike” hit key elements of Ukraine's military infrastructure, defense industry complexes as well as energy facilities that contribute to their operations. “The mission has been accomplished. All assigned targets have been hit," the statement read.
Wenyewe makamanda wa Ukraine wamekiri kuwa hawana uwezo wa kuyazuia makombora haya ya urusi (pamoja na kuwa na Patriot air defense ya marekani).
Russia's overnight strikes constitute "an attack like I don't remember seeing before," said a spokesman for the Ukrainian air force on Thursday.
As you can see, the attack is really large-scale and for the first time using such different types of missiles," said Yurii Ihnat, spokesman for the Air Force Command of Ukraine, on Ukrainian television.
"We see that this time as many as six Kinzhal were used. This is an attack like I don't remember seeing before," he added.
"Different types of aircraft were used, strategic, long-range, Mig21. There were 81 missile launches," said Ihnat.
"There were X-22 (missiles), which we can't shoot down, we can't shoot down the Kinzhal either, it's six plus six and 13 S-300 (that haven't been shot down by Ukrainian Air Defense Forces)," he said.
"So far, we have no capabilities to counter these weapons," added Ihnat.
MK 254 umemsikia msemaji wa jeshi la anga la ukraine anavyosema?? ""so far we have no capability to counter these weapons". Likirushwa hakuna jinsi ni kusubiri tu lifanye vitu vyake!!
Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia okAcha ujinga, wanaopambana Ukraine dhidi ya Russia ni EU, USA, NATO na Ukraine wenyewe na bado hawajaweza kumdhibiti mrusi
Tatizo lenu ni uwezo tu bwashee wa kukubali ukweli wa mambo, mnaota kama Putin anayeota kurudisha USSRUS ana OVER PRICE silaha zake ola.hakuna kitu 😆😆😆
Nzito kwa warusi bwasheeHii ngoma nzito Sana.
Ni mtamu sana kwa waliopoteza ushawishiAsubuhi ya leo imeanza vizuri kwa kukutana na habari tamu
Russia sio mjinga ,apoteze siraha nzururi kwa kupambana na kajimbo Ukraine !! maana Ukraine ni Jimbo ndani ya Russia kwa enzi za kabla ya kuvunjika kwa usoviet ,nguvu inayotumika pale ni ndogo Sana ,kulingana na nguvu ya ukinzani kutoka Ukraine.Silaha alizonazo Russia za kisasa mno,angekuwa anapigana na China,au marekani,au German n.k hapo ndo mngeona sura halisi ya jeshi la urusi.Ujui kiingereza bwashee, unachokisema wewe hakipo, unafikiri wewe pekee yako ndo unashabikia Urusi humu jamvini?
Mtu mwenyewe sijui uliishia la saba alafu unaanza kutuletea ujinga wako, wamesema hawana zana wa kuweza kudungua x-22, kinzhal bt ukweli Ukraine level yake ilikuwa bado kupambana kijeshi na Russia ila wameonyesha ujasiri wa hali ya juu na uthubutu.
If wakija kupata zana za uhakika Russia wapata wakati mgumu sana tena sana, kumbuka ni msaada unapewa kimoja au viwili havikidhi mahitaji yake, na hiyo Patriot unayoshupalia shingo hapa bado haijawafikia, na wewe uko kama Western media mnayolia lia hapa et wanapiga propaganda wakati wewe ndie umewazidi hata hao western media kwa propaganda zako uchwara humu.
Mwaka umekata vijana wa super power, mnashangilia kurusha makombora kwa mbali ukiwa Moscow unaogopa nini peleka pua Kyiv basi, ili tuamini kweli wewe ni super power.
Wewe ni mjinga bwashee, sasa ndo unasema nini au ndo kuchanganyikiwa? Ukraine ni jimbo ndani ya Russia hahahahahaha!Russia sio mjinga ,apoteze siraha nzururi kwa kupambana na kajimbo Ukraine !! maana Ukraine ni Jimbo ndani ya Russia kwa enzi za kabla ya kuvunjika kwa usoviet ,nguvu inayotumika pale ni ndogo Sana ,kulingana na nguvu ya ukinzani kutoka Ukraine.Silaha alizonazo Russia za kisasa mno,angekuwa anapigana na China,au marekani,au German n.k hapo ndo mngeona sura halisi ya jeshi la urusi.
Akionaga hivi anajifanya hajui kusoma 😆😆😆😆MK 254 umemsikia msemaji wa jeshi la anga la ukraine anavyosema?? ""so far we have no capability to counter these weapons". Likirushwa hakuna jinsi ni kusubiri tu lifanye vitu vyake!!
Mnafarijiana masuper power wa kulazimisha wakati uwezo badoAkionaga hivi anajifanya hajui kusoma 😆😆😆😆
Endelea kuota USSR sio kipaumbele cha "Put it In" aka PUTIN 😆😆Tatizo lenu ni uwezo tu bwashee wa kukubali ukweli wa mambo, mnaota kama Putin anayeota kurudisha USSR
Kama uwezo bado waambie NATO watie mguu😎Mnafarijiana masuper power wa kulazimisha wakati uwezo bado
Mpaka sasa mwenye hakili timamu hawezi kushindwa kuelewa super power wa ukweli ni nani?Mchambuzi uchwara baada ya kuamka kutoka usingizini kwa shemeji yake, super power ni moja tu duniani anaye wavimbia majike bwashee, super power mkwara tu bila kutumia nguvu majike wote wananywea
Umesikika usielewa chochote na wala utaki kusema ukweli, why upidishe na wewe ni western media? Ebu nyosha maelezo Russia amesimama imara dhidi ya super power wa ukweli unajaribu kukiri hili asante bwashee.Mpaka sasa mwenye hakili timamu hawezi kushindwa kuelewa super power wa ukweli ni nani?
1.Rusia amesimama imara dhidi ya siraha kibao za west ambazo west walijua zitafanya mabadiliko makubwa, waliamini technologist yao ni bora kuliko ya russia.Ila kinachoendelea KILA mtu anakiona.
2.Russia anapambana battle ya ujasusi na taasisi imara za kijasusi duniani.ikiwemo
.CIA, MI6, na zingine kibao za poland ufaransa n.k
NA hapa kwenye ujasusi tunazungumza ujasusi wa rasilimali watu, ujasusi wa tecnologia.mfano matumizi ya ndege,drone na mifumo mengine ya upelelezi ya kisasa bila kusahau sateliate both military sateliate na sateliate za kawaida zote zinamulika urusi.Bila kusahau ujasusi wa kiuchumi.
3.Vikao vya KILA aina vimefanyika dhidi ya russia mpaka saiv tukisikia kuna kikao kuhusu russia tulishazoea no new.
4.Amesimama imara dhidi ya vikwazo.
Sasa kama mpaka sasa hujajua superpower ni nani utakua na shida.
Mfano mdogo ukitaka ujue bala la russia juzi bideni alikua kyvi ila baada ya biden kurudi alisema mwenyewe kha kichwa kilimgonga sana mpaka akahisi hana ubongo.That means alikua kyvi ila roho ilikua juu juu,na alichokiona huenda hakutarajia kukiona, kama raisi anaejiita wa dunia lazima kichwa kiume.
Urusi hawana uwezo bwashee wa kupambana na NATO hilo hata baba yenu Putin analitambuaKama uwezo bado waambie NATO watie mguu😎
Russia alipotia mguu kwa Assadi, US akashindwa kutekeleza azima yake ya kumng'oa madarakani. Russia alipotia mkono wake Vietnam US walirejea nyumbani mikono mitupu. Russia alitia kichwa pale bay of pigs US walichakazwa.Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok
USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
Sindano uliyompa Ni ya uhakika atakuwa amekuelewa kimoyomoyo, lakini tu huku nje atazidi kujitutumua kwa kukaza fuvu.Mpaka sasa mwenye hakili timamu hawezi kushindwa kuelewa super power wa ukweli ni nani?
1.Rusia amesimama imara dhidi ya siraha kibao za west ambazo west walijua zitafanya mabadiliko makubwa, waliamini technologist yao ni bora kuliko ya russia.Ila kinachoendelea KILA mtu anakiona.
2.Russia anapambana battle ya ujasusi na taasisi imara za kijasusi duniani.ikiwemo
.CIA, MI6, na zingine kibao za poland ufaransa n.k
NA hapa kwenye ujasusi tunazungumza ujasusi wa rasilimali watu, ujasusi wa tecnologia.mfano matumizi ya ndege,drone na mifumo mengine ya upelelezi ya kisasa bila kusahau sateliate both military sateliate na sateliate za kawaida zote zinamulika urusi.Bila kusahau ujasusi wa kiuchumi.
3.Vikao vya KILA aina vimefanyika dhidi ya russia mpaka saiv tukisikia kuna kikao kuhusu russia tulishazoea no new.
4.Amesimama imara dhidi ya vikwazo.
Sasa kama mpaka sasa hujajua superpower ni nani utakua na shida.
Mfano mdogo ukitaka ujue bala la russia juzi bideni alikua kyvi ila baada ya biden kurudi alisema mwenyewe kha kichwa kilimgonga sana mpaka akahisi hana ubongo.That means alikua kyvi ila roho ilikua juu juu,na alichokiona huenda hakutarajia kukiona, kama raisi anaejiita wa dunia lazima kichwa kiume.
Matatizo ya kukaririshwa vijiweni 🤣🤣Toa mfono mmoja tu wa mahali USA alitia mguu na vita ikaisha mara mojaKwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok
USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
Russia wako vizuri sana,hebu fikiria pamoja na kuwekewa vikwazo kibao lakini bado wanapambana.Russia alipotia mguu kwa Assadi, US akashindwa kutekeleza azima yake ya kumng'oa madarakani. Russia alipotia mkono wake Vietnam US walirejea nyumbani mikono mitupu. Russia alitia kichwa pale bay of pigs US walichakazwa.
Leo Russia yuko ndani ya Ukraine, eti US na shoga zake wa NATO wanasema we don't like direct confrontation with Russia, but we pledge unleashing support to Ukraine. Vikwazo, silaha, training plus mamluki wanaowatuma huko Ukraine hawataumudu huu mbuyu-Russia.