Urusi inavyonyanyasa ulinzi wa anga wa Marekani nchini Ukraine uitwao Patriot Air Defense System

Urusi inavyonyanyasa ulinzi wa anga wa Marekani nchini Ukraine uitwao Patriot Air Defense System

Wakati Marekani imeamua kupeleka Patriot nchini ukraine ikasemekana kuwa muarobaini wa mashambulizi ya anga ya urusi nchini ukraine umepatikana!! Kumbe hakuna kitu! Patriot ni kama midoli tu mbele ya Kinzhal hypersonic missile system!!

Russian forces have delivered a massive missile strike on Ukraine’s military infrastructure as retaliation for Kiev's terrorist attack on Bryansk border region earlier this month, the Ministry of Defense stated on Thursday. It added that all assigned targets had been hit.

In a statement, the ministry outlined that the attack involved “high-precision long-range air, sea, and land-based weapons, including the Kinzhal hypersonic missile system.” The latter has a range of more than 2,000 km.

“The massive retaliation strike” hit key elements of Ukraine's military infrastructure, defense industry complexes as well as energy facilities that contribute to their operations. “The mission has been accomplished. All assigned targets have been hit," the statement read.

Wenyewe makamanda wa Ukraine wamekiri kuwa hawana uwezo wa kuyazuia makombora haya ya urusi (pamoja na kuwa na Patriot air defense ya marekani).

Russia's overnight strikes constitute "an attack like I don't remember seeing before," said a spokesman for the Ukrainian air force on Thursday.

As you can see, the attack is really large-scale and for the first time using such different types of missiles," said Yurii Ihnat, spokesman for the Air Force Command of Ukraine, on Ukrainian television.

"We see that this time as many as six Kinzhal were used. This is an attack like I don't remember seeing before," he added.

"Different types of aircraft were used, strategic, long-range, Mig21. There were 81 missile launches," said Ihnat.

"There were X-22 (missiles), which we can't shoot down, we can't shoot down the Kinzhal either, it's six plus six and 13 S-300 (that haven't been shot down by Ukrainian Air Defense Forces)," he said.

"So far, we have no capabilities to counter these weapons," added Ihnat.


MK 254 umemsikia msemaji wa jeshi la anga la ukraine anavyosema?? ""so far we have no capability to counter these weapons". Likirushwa hakuna jinsi ni kusubiri tu lifanye vitu vyake!!
Hebu nikumbushe Patriot zilipelekwa lini Ukraine, na zimekua deployed wapi na wapi? Inawezekana hii habari sikuisikia labda.
 
Ujui kiingereza bwashee, unachokisema wewe hakipo, unafikiri wewe pekee yako ndo unashabikia Urusi humu jamvini?

Mtu mwenyewe sijui uliishia la saba alafu unaanza kutuletea ujinga wako, wamesema hawana zana wa kuweza kudungua x-22, kinzhal bt ukweli Ukraine level yake ilikuwa bado kupambana kijeshi na Russia ila wameonyesha ujasiri wa hali ya juu na uthubutu.

If wakija kupata zana za uhakika Russia wapata wakati mgumu sana tena sana, kumbuka ni msaada unapewa kimoja au viwili havikidhi mahitaji yake, na hiyo Patriot unayoshupalia shingo hapa bado haijawafikia, na wewe uko kama Western media mnayolia lia hapa et wanapiga propaganda wakati wewe ndie umewazidi hata hao western media kwa propaganda zako uchwara humu.

Mwaka umekata vijana wa super power, mnashangilia kurusha makombora kwa mbali ukiwa Moscow unaogopa nini peleka pua Kyiv basi, ili tuamini kweli wewe ni super power.
Mbona husemi Urusi tumia nuclear ili tuamini kama wewe ni superpower?? Should russia use any means to defeat Ukraine?? No haikubaliki kutumia silaha za maangamizi Ukraine ndio maana wanatumia muda mrefu kumaliza vita ,,,,
 
Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok

USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
Alisikika mtetezi mmoja wa upinde wa mvua aking'aka
 
Wewe ni mjinga bwashee, sasa ndo unasema nini au ndo kuchanganyikiwa? Ukraine ni jimbo ndani ya Russia hahahahahaha!

Kichwa kipo empty bwashee, ujui hata unaongelea nini ndo uweze kuchambua masuala mazito ya kisiasa duniani?
Punguza ujuaji mkuu...
Umeelewa kweli alichoandika!?
Halafu hasira na kejeli za nini? Au ndio khofu ya kukosa ufadhili wa vilainishi?
 

Ukraine's air defense systems "not coping well enough" against Russian hypersonic missiles, adviser says​

From CNN's Jessie Gretener

Ukraine's air defense systems didn't withstand some of Russia's Kinzhal missiles, according to an adviser to President Volodymyr Zelensky, following a widespread attack from Moscow on Thursday.

A total of 84 missiles were fired on Ukrainian infrastructure, including six Kinzhal ballistic missiles that have the ability to elude Kyiv’s air defenses, the Ukrainian military said.

"They are using hypersonic missiles. They are using new types of weapons, and they are seeing how our air defense systems can cope with it," said Alexander Rodnyansky, an economic adviser to Zelensky. "They are not coping well enough."

Marekani alikaa miaka mingapi Afghanistan na mwisho wa siku alimwaga manyanga na kutelekeza silaha lukuki nyuma!?
Patriot haiwezi kudetect na kuzuia hypersonic missile...

T14 Armata
 
Nliwambia na ninarudia tena urusi hajadeploy askari na siraha zake, anachofanya ilikuwa store clearannce tu. Amechukua kidogo tu juzi marekani hana drone tank juzi walikuwa wanapiga tank moja ila ya nyuma inapita, wamepiga mpaka silaha zikaisha jamaa wakapita
Teh teh teh 😂😂 yaani hasara zote alizopata mpaka sasa unaita ' store clearance'....?
 
Siku 3 sasa zimekua tunanza utafuta mwaka na nusu aisee
Unajua mlizoea kupiga Iraq nchi dhaifu na isiyo na msaada wowote kwa umoja wa NATO Kwa mwezi mmoja.

Yugoslavia NATO walipigana mambomu kwa almost mwezi.

Libya USA na ufarasnsa mwezi.

Sasa mmeunganisha nguvu zeniu zote,mnachangishana silaha Hadi mnaishiwa,mmeweka vikwazo vyote kabisa hapa Duniani,halafu mnaanza kuhesabu siku.

Sasa hebu tuangalie USA na NATO wake wote na wapambe wengine walitumia mda Gani kupigana na vikundi TU,wala sio nchi.vikundi. Vya Al qaida na talaban huko afghanisatani.

Sasa linganisha Ukraine inayopewa misaada yote kutoka sio nchi zote za NATO pekee,Bali na nchi zote za west.

Halafu linganisha hizohizo nchi zote za west zinapigana na vikundi vya Al qaida na talaban kwa miaka 20.
Ukiweza kutulia na kufanya ulonganifu huu ndio utajua nani mwamba kati ya NATO na Urusi.
Hii ni kwa faida Yako na wengine wenye mawazo ya kuhesabu muda wa hii SMO.
 
Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok

USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
We nae ni mpuuzi puuzi tuu..huna unalojua...hufai hata kwenda veta..wewe rudi secondary kabisa mana hata uandishi wako unatia kichefuchefu.. kama USA anajiamini kwa nini asipeleke tako pale ukraine mazima..mbona anaiba iba na hao NATO.
 
Urusi atakua na air defence system ya hpersonic missile,huezi develop hypesonic kwa mafanikio makubwa afu ushindwe kudevelop antinode yake.
Mataifa mengine kama ndo wanapambana wapate hypersonic sio rahisi kua na mfumo wakuyazuia.
Saiv ndo nimepata picha why marekani alisema haiwezi na hataki kuingia vitani direct na mrusi.
Point muhimu sana hii.
 
Mpaka sasa mwenye hakili timamu hawezi kushindwa kuelewa super power wa ukweli ni nani?
1.Rusia amesimama imara dhidi ya siraha kibao za west ambazo west walijua zitafanya mabadiliko makubwa, waliamini technologist yao ni bora kuliko ya russia.Ila kinachoendelea KILA mtu anakiona.
2.Russia anapambana battle ya ujasusi na taasisi imara za kijasusi duniani.ikiwemo
.CIA, MI6, na zingine kibao za poland ufaransa n.k
NA hapa kwenye ujasusi tunazungumza ujasusi wa rasilimali watu, ujasusi wa tecnologia.mfano matumizi ya ndege,drone na mifumo mengine ya upelelezi ya kisasa bila kusahau sateliate both military sateliate na sateliate za kawaida zote zinamulika urusi.Bila kusahau ujasusi wa kiuchumi.
3.Vikao vya KILA aina vimefanyika dhidi ya russia mpaka saiv tukisikia kuna kikao kuhusu russia tulishazoea no new.
4.Amesimama imara dhidi ya vikwazo.

Sasa kama mpaka sasa hujajua superpower ni nani utakua na shida.
Mfano mdogo ukitaka ujue bala la russia juzi bideni alikua kyvi ila baada ya biden kurudi alisema mwenyewe kha kichwa kilimgonga sana mpaka akahisi hana ubongo.That means alikua kyvi ila roho ilikua juu juu,na alichokiona huenda hakutarajia kukiona, kama raisi anaejiita wa dunia lazima kichwa kiume.
👏👏👏👏👏👏👍👍👍🙏🙏🙏🇷🇺💪
Umemaliza mwamba.
 
Mara masaa 3, Mara siku 3, Mara wiki 3, Mara miezi 3, Mara miaka 3, Mara miongo 3
Tuelewe kipi? Mnachosha mashabiki wa vita
Kweli hawa jamaa wanatuchanganya na hii vita yao ni kama vile kuna mambo ya kutoa masiraha yao yaliyokaa store muda mrefu yatumike.

But kama mtu ana masiraha mazito hivyo how asimalize mchezo kwa kuda mfupi ili maisha yaendelee?.
 
Urusi atakua na air defence system ya hpersonic missile,huezi develop hypesonic kwa mafanikio makubwa afu ushindwe kudevelop antinode yake.
Mataifa mengine kama ndo wanapambana wapate hypersonic sio rahisi kua na mfumo wakuyazuia.
Saiv ndo nimepata picha why marekani alisema haiwezi na hataki kuingia vitani direct na mrusi.
S-300 na TOR zimepigwa na Ukraine jana. Ushindwe silaha ndogo za angani uje uweze hypersonic missiles
 
Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok

USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
Wapi USA walitia mguu na wakamaliza habari ?
 
Back
Top Bottom