Urusi inavyonyanyasa ulinzi wa anga wa Marekani nchini Ukraine uitwao Patriot Air Defense System

Urusi inavyonyanyasa ulinzi wa anga wa Marekani nchini Ukraine uitwao Patriot Air Defense System

Wakati Marekani imeamua kupeleka Patriot nchini ukraine ikasemekana kuwa muarobaini wa mashambulizi ya anga ya urusi nchini ukraine umepatikana!! Kumbe hakuna kitu! Patriot ni kama midoli tu mbele ya Kinzhal hypersonic missile system.

Russian forces have delivered a massive missile strike on Ukraine’s military infrastructure as retaliation for Kiev's terrorist attack on Bryansk border region earlier this month, the Ministry of Defense stated on Thursday. It added that all assigned targets had been hit.

In a statement, the ministry outlined that the attack involved “high-precision long-range air, sea, and land-based weapons, including the Kinzhal hypersonic missile system.” The latter has a range of more than 2,000 km.

“The massive retaliation strike” hit key elements of Ukraine's military infrastructure, defense industry complexes as well as energy facilities that contribute to their operations. “The mission has been accomplished. All assigned targets have been hit," the statement read.

Wenyewe makamanda wa Ukraine wamekiri kuwa hawana uwezo wa kuyazuia makombora haya ya urusi (pamoja na kuwa na Patriot air defense ya marekani).

Russia's overnight strikes constitute "an attack like I don't remember seeing before," said a spokesman for the Ukrainian air force on Thursday.

As you can see, the attack is really large-scale and for the first time using such different types of missiles," said Yurii Ihnat, spokesman for the Air Force Command of Ukraine, on Ukrainian television.

"We see that this time as many as six Kinzhal were used. This is an attack like I don't remember seeing before," he added.

"Different types of aircraft were used, strategic, long-range, Mig21. There were 81 missile launches," said Ihnat.

"There were X-22 (missiles), which we can't shoot down, we can't shoot down the Kinzhal either, it's six plus six and 13 S-300 (that haven't been shot down by Ukrainian Air Defense Forces)," he said.

"So far, we have no capabilities to counter these weapons," added Ihnat.


MK 254 umemsikia msemaji wa jeshi la anga la ukraine anavyosema?? ""so far we have no capability to counter these weapons". Likirushwa hakuna jinsi ni kusubiri tu lifanye vitu vyake!!
👍
 
Tatizo hadi sasa Marekani na NATO kwa ujumla hawana hypersonic missile, kwa hiyo Mrusi anatamba hakuna wa kumtisha!! Mchina ndiyo taifa lililofuatia kwa urusi kuwa na hypersonic missiles lakini bado hajaziweka kazini (not yet deployed). Kwa sasa duniani ni Urusi iliyo na hypersonic missille zikiwa kazini!!
Kwajinsi upinde walivo na genye mshindo,kwanini Mpaka sasa wanajificha kumpiga mrusi, tatizo nini
 
Wakati Marekani imeamua kupeleka Patriot nchini ukraine ikasemekana kuwa muarobaini wa mashambulizi ya anga ya urusi nchini ukraine umepatikana!! Kumbe hakuna kitu! Patriot ni kama midoli tu mbele ya Kinzhal hypersonic missile system.

Russian forces have delivered a massive missile strike on Ukraine’s military infrastructure as retaliation for Kiev's terrorist attack on Bryansk border region earlier this month, the Ministry of Defense stated on Thursday. It added that all assigned targets had been hit.

In a statement, the ministry outlined that the attack involved “high-precision long-range air, sea, and land-based weapons, including the Kinzhal hypersonic missile system.” The latter has a range of more than 2,000 km.

“The massive retaliation strike” hit key elements of Ukraine's military infrastructure, defense industry complexes as well as energy facilities that contribute to their operations. “The mission has been accomplished. All assigned targets have been hit," the statement read.

Wenyewe makamanda wa Ukraine wamekiri kuwa hawana uwezo wa kuyazuia makombora haya ya urusi (pamoja na kuwa na Patriot air defense ya marekani).

Russia's overnight strikes constitute "an attack like I don't remember seeing before," said a spokesman for the Ukrainian air force on Thursday.

As you can see, the attack is really large-scale and for the first time using such different types of missiles," said Yurii Ihnat, spokesman for the Air Force Command of Ukraine, on Ukrainian television.

"We see that this time as many as six Kinzhal were used. This is an attack like I don't remember seeing before," he added.

"Different types of aircraft were used, strategic, long-range, Mig21. There were 81 missile launches," said Ihnat.

"There were X-22 (missiles), which we can't shoot down, we can't shoot down the Kinzhal either, it's six plus six and 13 S-300 (that haven't been shot down by Ukrainian Air Defense Forces)," he said.

"So far, we have no capabilities to counter these weapons," added Ihnat.


MK 254 umemsikia msemaji wa jeshi la anga la ukraine anavyosema?? ""so far we have no capability to counter these weapons". Likirushwa hakuna jinsi ni kusubiri tu lifanye vitu vyake!!
Wacha uwongo na propaganda; Patriot system hazijafika Ukfraine kwa vile bado wanapewa mafunzo namna ya kuzitumia.
 
Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok

USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
Kama Afghanistan [emoji1023] sio
 
Kwa ufinyu wa mawazo ulionao, unafikiri USA ni kama Russia? USA army wakitia mguu tu sehemu habari ingeshaisha mda mrefu mda tungekuwa tunapewa tu habari za misada wa kijamii kwa raia ok

USA ni another level bwashee, acha akili yako ifanye kazi braza, by the way tayari mmeprove failure na hamna lolote cha maana ndani ya vichwa vyenu ndo maana agizo la Chongolo linakuhusu bwashee
Ww unaongea Russia , w
amalizane na Iran kwanza kule kambi zao zilivyogeuzwa kifusi, Iran ni nchi pekeake kwa miaka hii ya karibuni iliofanikiwa kupiga Ballistic missiles kambi za marekani hakuna nchi yyte inayofkiria kufanya hivyo, mbona hakujibu mpaka leo kwa wajukuu wa Huseyn, unafkri huyo marekani hana mahesabu nani wa kuingia nae vitani yaani anaingia tu, uliza miongoni mwa sababu DT walimuondoa haraka madarakani maana wamarekani
 
Wakati Marekani imeamua kupeleka Patriot nchini ukraine ikasemekana kuwa muarobaini wa mashambulizi ya anga ya urusi nchini ukraine umepatikana!! Kumbe hakuna kitu! Patriot ni kama midoli tu mbele ya Kinzhal hypersonic missile system.

Russian forces have delivered a massive missile strike on Ukraine’s military infrastructure as retaliation for Kiev's terrorist attack on Bryansk border region earlier this month, the Ministry of Defense stated on Thursday. It added that all assigned targets had been hit.

In a statement, the ministry outlined that the attack involved “high-precision long-range air, sea, and land-based weapons, including the Kinzhal hypersonic missile system.” The latter has a range of more than 2,000 km.

“The massive retaliation strike” hit key elements of Ukraine's military infrastructure, defense industry complexes as well as energy facilities that contribute to their operations. “The mission has been accomplished. All assigned targets have been hit," the statement read.

Wenyewe makamanda wa Ukraine wamekiri kuwa hawana uwezo wa kuyazuia makombora haya ya urusi (pamoja na kuwa na Patriot air defense ya marekani).

Russia's overnight strikes constitute "an attack like I don't remember seeing before," said a spokesman for the Ukrainian air force on Thursday.

As you can see, the attack is really large-scale and for the first time using such different types of missiles," said Yurii Ihnat, spokesman for the Air Force Command of Ukraine, on Ukrainian television.

"We see that this time as many as six Kinzhal were used. This is an attack like I don't remember seeing before," he added.

"Different types of aircraft were used, strategic, long-range, Mig21. There were 81 missile launches," said Ihnat.

"There were X-22 (missiles), which we can't shoot down, we can't shoot down the Kinzhal either, it's six plus six and 13 S-300 (that haven't been shot down by Ukrainian Air Defense Forces)," he said.

"So far, we have no capabilities to counter these weapons," added Ihnat.


MK 254 umemsikia msemaji wa jeshi la anga la ukraine anavyosema?? ""so far we have no capability to counter these weapons". Likirushwa hakuna jinsi ni kusubiri tu lifanye vitu vyake!!
Nakukumbusha tu. Mifumo ya PATRIOT haijafika nchini Ukraine. Wanajeshi wa Ukraine bado wanapewa mafunzo ya matumizi ya Mifumo hiyo nchini Ujeruman na Poland. Patriot zitafika nchini Ukraine mwanzoni mwa mwezi wa 6 mwaka huu. Usifikilie kwamba Silaha ni kama Chakula kwamba Wakitangaza kuipatia Ukraine Silaha basi wewe kwa akili yako finyu unafikilia tayari kesho yake watazipeleka hizo Silaha.
 
Yeye hajui kiingereza wewe hujui kishwahili, unakosea sana Tuliza munkari.Vita iendelee mashabiki wenzangu.
Kishwahili = [emoji777]
Kiswahili = [emoji3581]
Kipofu na kiziwi wanachekana.
 
Ww unaongea Russia , w
amalizane na Iran kwanza kule kambi zao zilivyogeuzwa kifusi, Iran ni nchi pekeake kwa miaka hii ya karibuni iliofanikiwa kupiga Ballistic missiles kambi za marekani hakuna nchi yyte inayofkiria kufanya hivyo, mbona hakujibu mpaka leo kwa wajukuu wa Huseyn, unafkri huyo marekani hana mahesabu nani wa kuingia nae vitani yaani anaingia tu, uliza miongoni mwa sababu DT walimuondoa haraka madarakani maana wamarekani
Wewe kweli kiazi, hizo kambi zilikuwa jimbo gani ndani ya USA?

Zile ni kuzuga hakukuwa na kambi bali ni maeneo ya kumpoteza adui

Wakati wanauliwa kila siku, takbiirrr haijawai kusaidia bwashee

Ile mligeuzwa mazuzu ili mjifariji, kiongozi wenu analiwa kichwa mchana kweupe, na hamna cha maana mmekifanya USA bwana ni wataalamu wa kuwapoza maadui

Mkuu wetu wetu wa majeshi auliwe kama mbwa, tena kwa kupigwa kombora alafu inaisha hivi hivi kweli Iran bado sana, hata TZ tungeingia vitani aise
 
Wewe kweli kiazi, hizo kambi zilikuwa jimbo gani ndani ya USA?

Zile ni kuzuga hakukuwa na kambi bali ni maeneo ya kumpoteza adui

Wakati wanauliwa kila siku, takbiirrr haijawai kusaidia bwashee

Ile mligeuzwa mazuzu ili mjifariji, kiongozi wenu analiwa kichwa mchana kweupe, na hamna cha maana mmekifanya USA bwana ni wataalamu wa kuwapoza maadui

Mkuu wetu wetu wa majeshi auliwe kama mbwa, tena kwa kupigwa kombora alafu inaisha hivi hivi kweli Iran bado sana, hata TZ tungeingia vitani aise
Kwahio unataka kuniambia zilikua sio kambi unaongea ukiwa kijijini kwenu huko kwamba zile sio kambi ni sehem za kumpoteza adui, hapo tu kwanza sioni hoja wala sina mda mchafu wa kupoteza wa kubishana na ww
 
_123769184_kinzhal_missile_640x2-nc.png


Kitu Kinzhal missile (Kh-47M2) si mchezo!! Kinasafiri kilometer 12,350 kwa saa!! Hapo Patriot air defense ya marekani inalazimika kubaki mtazamaji kama kidoli fulani tu!

Urusi ni Taifa linaloongoza kwenye teknolojia ya hypersonic missiles ikifuatiwa na China!! Marekani bado sana ndo kwanza yuko kwenye majaribio ya awali.

Usishangae Marekani wako kimyaa utafikiri hawajawahi kupeleka air defense huko ukraine!!
Hivi unaisifia urus kwa lipi sasa mwaka na nusu anaangaika tu na ukrein America hapigani na urusi kama yeye au mchina unayemsifia arushe kombora America ndiyo utamjua vita siyo silaha Bali bajeti ya kivita america bajeti yao wizara ya ulinzi kila mwaka hutengewa dola billion 636 dunia kote hakuna nchi inatenga Nusu ya hizo 636
 
Hii vita vya UKRAINE na RUSSIA vimeleta outcomes nyingi tofauti na imeweza na kuendelea kubadili mambo mengi katika huu ulimwengu tunao ishi kwani ukiangalia mwenendo wa DUNIA kwa sasa hasa USA na Western countries walivyoo struggle kutafuta kuungwa mkono na mataifa mengine zidi ya RUSSIA.

Ukitazama kuhusu vikwazo dhidi ya RUSSIA unaoana kabisa katika hili jambo wamefeli vibaya sana vikwazo walivyo viweka vimekwenda kuwaumiza sana EUROPEAN countries badala ya RUSSIA .

Matumizi ya DOLLA kwa sasa NCHI nyingi Dunia wameanza kubadili kwenye INTERNATIONAL TRADE kutumia DOLLAR kama International trade CURRENCY
Kwa Mfano, India kwa sasa wemekubalina na UAE watafanya biashara kwa RUPUEE
RUSSIA, IRAN, SAUDIA , RAQ wanakwenda kufanya biashara kwa kutumia YUAN currency ya China.

ANOTHER BLOW China ameweza kuwapatanisha SAUDIA na IRAN na CHINA kwa lugha rahisi ame score HUGE POINT ktk hili anakwenda kuwa na Big ROLE MIDDLE EAST (USA sio muhimu tena Middle East wamemuonysha sio muhim tena katika siasa zoa)

Ukraine kiukweli imesha malizika kinacho baki ni kujitutumua tu na hata wao wemshaliona hilo hakuna kitu watakacho achieve katika VITA ,,..EAST Of UKRAINE yote ile inakwenda kuwa RUSSIAN territory laabda miujiza itoke kurudi under UKRAINE.

ukita kujua UKRAINE wanaanza kui dump taratibu angalia NEWS BBC,CCN or DW katika midea za western hii vita hawalipi COVERAGE yakutosha kama zamani ilivyo kuwa.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Hii vita vya UKRAINE na RUSSIA vimeleta outcomes nyingi tofauti na imeweza na kuendelea kubadili mambo mengi katika huu ulimwengu tunao ishi kwani ukiangalia mwenendo wa DUNIA kwa sasa hasa USA na Western countries walivyoo struggle kutafuta kuungwa mkono na mataifa mengine zidi ya RUSSIA.

Ukitazama kuhusu vikwazo dhidi ya RUSSIA unaoana kabisa katika hili jambo wamefeli vibaya sana vikwazo walivyo viweka vimekwenda kuwaumiza sana EUROPEAN countries badala ya RUSSIA .

Matumizi ya DOLLA kwa sasa NCHI nyingi Dunia wameanza kubadili kwenye INTERNATIONAL TRADE kutumia DOLLAR kama International trade CURRENCY
Kwa Mfano, India kwa sasa wemekubalina na UAE watafanya biashara kwa RUPUEE
RUSSIA, IRAN, SAUDIA , RAQ wanakwenda kufanya biashara kwa kutumia YUAN currency ya China.

ANOTHER BLOW China ameweza kuwapatanisha SAUDIA na IRAN na CHINA kwa lugha rahisi ame score HUGE POINT ktk hili anakwenda kuwa na Big ROLE MIDDLE EAST (USA sio muhimu tena Middle East wamemuonysha sio muhim tena katika siasa zoa)

Ukraine kiukweli imesha malizika kinacho baki ni kujitutumua tu na hata wao wemshaliona hilo hakuna kitu watakacho achieve katika VITA ,,..EAST Of UKRAINE yote ile inakwenda kuwa RUSSIAN territory laabda miujiza itoke kurudi under UKRAINE.

ukita kujua UKRAINE wanaanza kui dump taratibu angalia NEWS BBC,CCN or DW katika midea za western hii vita hawalipi COVERAGE yakutosha kama zamani ilivyo kuwa.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Balance of power....inaanza kuchipua
 
Back
Top Bottom