Urusi inazidi kutengwa, Zelensky na rais wa China wafanya mazungumzo marefu

Urusi inazidi kutengwa, Zelensky na rais wa China wafanya mazungumzo marefu

Unatia huruma sana. Sasahivi China amekuwa very important ki hivyo🤣🤣🤣

China na Russia hamtaweza kuwatenganisha kwani wana adui mmoja

Umuhimu wa China ni kuhakikisha amemtelekeza Putin maana ndiye aliyekua amesalia kama tegemeo kwa Urusi, waarabu walishahama, hata nyie waarabu wa Bongo mnapaswa kuhama.
 
Mkuu China haisupport upande wowote wa vita na ndio maana anataka kuwa msuluhishi.

Mbona hukusema Zelenski anazidi kutengwa Rais Xi alipoenda Urusi. Linda reputation yako kwa propaganda za kijinga kama hizi

China anamtafutia Putin pakutokea maana issue imebuma, Putin ameshindwa kufumua hata kamji ka Bakhmut na majeshi yake yanauawa kama senene.
 
Nimefurahishwa sana na kitendo cha MK254 kufagilia mazungumzo ya Xi Jinping na comedian zelensky kwenye simu.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app

Hapakua na namna, lazima China angejaribu kumtafutia Putin pakutokea, ngoma imekwama, Putin ameshindwa kamji ka Bakhmut licha ya kutumia kila kitu, yaani huyu ndiye alikua tegemeo la waarabu wenu hadi najichekea.
 
China anamtafutia Putin pakutokea maana issue imebuma, Putin ameshindwa kufumua hata kamji ka Bakhmut na majeshi yake yanauawa kama senene.
You may be right kwenye moja la kumaliza vita, lakini mengine nahakika upp wrong.

Moja kuhusu Bakhmurt, jeshi la Ukraine limezidiwa sana na pande zote zimepoteza wanajeshi lakini Ukraine at greater loss takwimu zipo wazi soma US leak reports,

NATO imepeleka zaidi ya 1800 military Elites Bakhmurt wengi wamekufa na wengine wamekimbia huko kwa sababu ya namna wanavyopigwa.

Urusi hakuwahi kutaka regime change wala kuchukua eneo la Ukraine bali analisukuma jeshi la Ukrain mbali na mipaka yake ili wasiweze kufanya mashambukizi ndani ya Urusi.

Kila kukicha maeneo ya Ukraine yanachukuliwa. All ppssible area Ukrain anasema atafanya counter attack yako sealed na jeshi la Urusi. Na Ukraine jeshi lake lote ambalo ni experinced haliwezi kugawanyika wakisema waanzishe sehemu ingine na kuachia Bakhmurt imekula kwao. Hivyo counter attack inakuwa ngumu maana jinsi ya kugawa jeshi, so tutasikia tu. Hii poa inampa mrusi muda wa kupumzika na kuwaandaa vijana wengine.
 
Tutazidi kuwachinja warusi Kwa wingi kadri iwezekanavyo [emoji56][emoji56][emoji56]



Russia’s total combat losses in Ukraine have reached 188,920 troops since the full-scale invasion started. Over the past day, Ukrainian forces have eliminated 510 Russian occupiers.


Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
You may be right kwenye moja la kumaliza vita, lakini mengine nahakika upp wrong.

Moja kuhusu Bakhmurt, jeshi la Ukraine limezidiwa sana na pande zote zimepoteza wanajeshi lakini Ukraine at greater loss takwimu zipo wazi soma US leak reports,

NATO imepeleka zaidi ya 1800 military Elites Bakhmurt wengi wamekufa na wengine wamekimbia huko kwa sababu ya namna wanavyopigwa.

Urusi hakuwahi kutaka regime change wala kuchukua eneo la Ukraine bali analisukuma jeshi la Ukrain mbali na mipaka yake ili wasiweze kufanya mashambukizi ndani ya Urusi.

Kila kukicha maeneo ya Ukraine yanachukuliwa. All ppssible area Ukrain anasema atafanya counter attack yako sealed na jeshi la Urusi. Na Ukraine jeshi lake lote ambalo ni experinced haliwezi kugawanyika wakisema waanzishe sehemu ingine na kuachia Bakhmurt imekula kwao. Hivyo counter attack inakuwa ngumu maana jinsi ya kugawa jeshi, so tutasikia tu. Hii poa inampa mrusi muda wa kupumzika na kuwaandaa vijana wengine.

Hizi nadharia mnaandika kila siku eti jeshi la Ukraine limezidiwa Bakhmut, mumetusubirisha sana kama ambavyo mlifanya Kiev, mnachekesha sana yaani hata aibu hamna.
Subiri hiki kipodo Hayawi hayawi huwa, jeshi la Ukraine lavuka mto Dnipro na kujipanga
 
Back
Top Bottom