Je ni sahihi?Good [emoji106] uko vizuri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ni sahihi?Good [emoji106] uko vizuri mkuu
Polisi wa buku 2 hawa unaamin hawatotoa ushirikiano kwa watutsi?Rwanda Ina nini Cha kulingana na tz? Propaganda zao waishie kuwasumbua Burundi tu na congo,hapa kwa tz watayatimba.
ndiyo siyo nchi, ni Muungano wa jamhuri za kishoshalisti za sovieti - United Soviet Socialist RepublicUssr sio nchi ya urusi ila umoja wa mataifa mbali mbali ikiwemo Urusi
Sasa Urus hana haki kuwalazimisha wenzie since ni umoja bas lzm wakubalianendiyo siyo nchi, ni Muungano wa jamhuri za kishoshalisti za sovieti - United Soviet Socialist Republic
Ila sidhanii kama nimezizidia za kwakoAkil zko fupi
Acha kujidanganya mfumo haupo tofauti.ni vilevile.mkubwa anamnyanganya mdogo.Nchi zote ziliundwa kimabavu miaka hiyo hata Tanganyika bila ubabe wa mjeruman haipo. kwa sasa mfumo wa dunia ni tofauti.
Wewe unafikiri watu wanataka Ardhi???Nenda kachimbe zaidi...sababu sio nyepesi kama unavyoongea weweIssue kubwa ni hii tabia mbaya kuvamia majirani na kujimegea ardhi zao. Urusi ni nchi yenye ardhi kubwa sana kuliko nchi nyingine yoyote duniani, lakini bado wana tamaa ya kujimegea ardhi kutoka nchi ndogo kama Ukraine. Dunia tunaelekea pabaya!
Labda Venezuela lkn Russia yuko sahihi ijapo sijui unafikiri ni kwa nini Russia imelazimikia kufanya hivyo.Urusi imeonyesha mfano kuwa taifa moja linaweza kumega ardhi ya Taifa jingine na kuifanya yake, Venezuela naye sasa anafuata, anataka kumega nusu ya Guiyana ajichukulie. Hii lawlessness itaishia wapi, Je Tanzania nasi tujitwalie Burundi na Rwanda zote kwa vile wakati wa Mjerumani tulikuwa nchi moja?
Sasa Rwanda ina nini mbele ya Tanzania? Au somo la Mwakibolwa na vijana wake halikuwaingia vizuri kipindi kileHivi unaielewa Rwanda vuzuri?
Tz inaweza kuishia kumegwa kilaini tu
Hata hamas mlisema hv hv kwa israhell [emoji14]Sasa Rwanda ina nini mbele ya Tanzania? Au somo la Mwakibolwa na vijana wake halikuwaingia vizuri kipindi kile
Kwel kbs,mwaka 2007 nilikuwa Rwanda nilinunua gazeti la newtimes.muhariri aliweka kichwa Cha Habari kuwa kujiunga kweku EA Wacha waturudishie ardhi yao.sasa Habari yenyewe walizungumzia wilaya ya karagwe na ngara jinsi ilivyo na ukaribu na kifanana mazingira mpk majina na vitu vingi tu pia akazungumzia mashariki ya Drc mpk majina ya miji na vitongoji vinamausiano na Rw.hivyo ndoto ya muhariri kuwa vitarudi kwao.toka siku hiyo nikawa nafuatilia Hilo gazeti maana ni la serikali.washenz snpk mwenyewe anatamani walau aichukue karagwe na ngara na huko goma mashariki mwa kongo tz itawezaje kuitwa rwanda na burundi? Kwanza tz haina tamaa ya kujiongezea maeneo kwenye nchi za watu ila wakileta uchokozi wanavamiwa tu na kuzimega hizo nchi.
Hata hamas mlisema hv hv kwa israhell [emoji1Hamas ni tofauti sn maana Ina wagusa waarabu wote na baadhi ya waislam
Iraq Kuna Kambi ya USA na hawezi kukaa bure,usalama na mafutaAcha propaganda wewe kama hujui kuwa Obama alitrudisha majeshi yote ya Marekani mwaka 2011. Unaikumbuka picha hii iliyosambazwa duniani kote siku hiyo?
View attachment 2843754
Mkuu raia wote wa mayotte wanafurahi na kuridhika kuwa ufaransa.Ila Uingereza kuvikalia visiwa vya Falk Island ni sawa?
Ufaransa mpaka Leo kuishikilia Mayotte ni sawa?
Marekani na Hawaii, unataka kusema nini?
Israel na maeneo ya Wapalestina?
China na Tibet, Xinjiang, Macau?
Angola na Jimbo la Kabinda?
Wewe kwa maono yako mafupi unazani yameanza kutokea Jana?
Dunia haipo fair na mwenye nguvu ndio mtawala.
Hata wa CRIMEA DON BASS ZAPORINHZE na KHERSON wanaridhika zaidi ya sanaMkuu raia wote wa mayotte wanafurahi na kuridhika kuwa ufaransa.
UwongoHata wa CRIMEA DON BASS ZAPORINHZE na KHERSON wanaridhika zaidi ya sana
Hao ndio waliogawa mataifa na pia kujigawia ingawa mataifa mengi yalikuwa mamojaIla Uingereza kuvikalia visiwa vya Falk Island ni sawa?
Ufaransa mpaka Leo kuishikilia Mayotte ni sawa?
Marekani na Hawaii, unataka kusema nini?
Israel na maeneo ya Wapalestina?
China na Tibet, Xinjiang, Macau?
Angola na Jimbo la Kabinda?
Wewe kwa maono yako mafupi unazani yameanza kutokea Ja
Dunia haipo fair na mwenye nguvu ndio mtawala.
Usisahau huyo unayemtolea mfano, nyuma yake ipo nchi kubwa kum-back up.Tusiidharau Rwanda eti kwa sababu ni "kanchi kadogo," tunajidanganya. Vita vya siku hizi ushindi wake unategemea sana Ubora/ Viwango vya Sayansi na Teknilojia na ubora wa akili wa akili walizonazo wapiganaji lakini siyo ukubwa wa nchi au wingi tu wa wapiganaji. Mfano mzuri ulio hai ktk hili ni nchi ndogo ya Israeli ambayo inasumbua mataifa mengi majirani zake.