Urusi kuangushwa na Uturuki katika Mgogoro wa Azerbaijan na Armenia. Je, huu ndio mwisho wa Urusi?

Urusi kuangushwa na Uturuki katika Mgogoro wa Azerbaijan na Armenia. Je, huu ndio mwisho wa Urusi?

Mkuu sio propaganda ,kwani na ww unakubaliana na mtoa mada ya kwamba Erdogan amempiga bao Putin?
Alafu mkuu bwama utamu yuko wapi siku hizi aise? ametoweka kabisa jukwaani.
...Mkuu sikumaanisha nyie ndio mmejikita kwenye propaganda ila kundi fulani jamaa aliwataja kama warusi, wamarekani na wairani wa Buza hao ndio niliowalenga.

Bwana Utamu kapotea sana jukwaani huenda alikuwa kwenye timu kampeni ya Biben...😂😂😂
 
Uturuki kaanza ushawishi mwaka jana kwa serikali ya GNA na pia mwaka huu kwa Azerbaijan. Pale Libya yupo pia UAE na Egypt, hawa hatuwezi kuwaita vigogo wa Middle East ingawa wako Libya.

Pale Syria yupo Uturuki ila ni mpakani kwake ana jambo lake na Wakurdi, hata hivo Iran naye yupo ila hatuwezi muita kigogo wa Middle East.

Ushawishi wa Uturuki ni sera za Erdogan za kuikamua nchi na kutengeneza influence nje. Ingawa zinatoa mazoezi kwa jeshi na silaha pia kutangaza silaha zake. Mfano waliolpoanza operations hizi ndio ikajulikana kuwa drone technology yao iko juu.

Uturuki umuhimu wake ni mkubwa ila uwezo wake usikuzwe. Bado ananunua helicopters, submarines, jets, air defence systems na mifumo muhimu kwa hizo NATO members. Na hata kutengeneza systems zake anategemea kwa kiasi hao wazungu, kinyago uchonge wewe alafu kikutishe!
Ina maana mkuu Uturuki ikiwa nje ya NATO haina nguvu yoyote, japo inamiliki jeshi la pili kwa ukubwa ndani ya hiyo jumuiya?
 
Kutokana na mwenendo aliounyesha Russia, ni wazi Armenia atafute njia ya kupunguza ukubwa wa kambi ya mrusi iliyopo Armenia huku akimkaribisha USA.
Mwenzake aliwahi kuomba msamaha mapema baada ya kuona anataka kuikosa ikulu.sasa wao wasije wakachelewa wakakuta mlango wa Kremlin umefungwa wakakosa sehemu ya kuombea msamaha kwa bwana mkubwa Putin.....

Na uzuri wanamjua PUTIN achelewi kubadili ramani ya Dunia akasema Dar na morogoro zimepiga kura ya kujiunga na URUSI
Atalayar_Vladimir%20Putin%2C%20presidente%20Rusia%2C%20Aleksandr%20Lukashenko%2C%20presidente...jpeg
 
Taarifa za ndani zinasema Urusi hana hiyo nguvu anayojitangaza anayo. Urusi hata kiuchumi ameanguka vibaya sana hivi.

Kuna taarifa pia hali ya Putin kiafya sio nzuri sana kwa sababu umri umemtupa sana mkono na hapo ndo urusi inaonekana haiwezi tena kuwa stable kwa sababu siku zote imekuwa ikitegemea watu strong kuliko taasisi imara kama ilivyo Marekani.

Uturuki kwa sasa ni moja ya nchi inayozalisha silaha za kisasa na kuziuza nchi mbalimbali duniani na ni moja ya nchi iliyowekeza sana kwenye tafiti za kiteknolojia.

Kuna uwezekano kwa uimara wa NATO, Magharibi wakaruhusu Uturuki iwe among super powers ili kudhibiti na kuimaliza kabisa Urusi
Uturuki Hana uwezo wowote ule amemkimbia ugiriki kule alitaka achapwe. Pia amemkimbia Libya kule walitaka wamchangie wamchape akakimbia.
 
Taarifa za ndani zinasema Urusi hana hiyo nguvu anayojitangaza anayo. Urusi hata kiuchumi ameanguka vibaya sana hivi.

Kuna taarifa pia hali ya Putin kiafya sio nzuri sana kwa sababu umri umemtupa sana mkono na hapo ndo urusi inaonekana haiwezi tena kuwa stable kwa sababu siku zote imekuwa ikitegemea watu strong kuliko taasisi imara kama ilivyo Marekani.

Uturuki kwa sasa ni moja ya nchi inayozalisha silaha za kisasa na kuziuza nchi mbalimbali duniani na ni moja ya nchi iliyowekeza sana kwenye tafiti za kiteknolojia.

Kuna uwezekano kwa uimara wa NATO, Magharibi wakaruhusu Uturuki iwe among super powers ili kudhibiti na kuimaliza kabisa Urusi
Reading between the lines unaoneka wazi wazi una bifu na Urusi na utawala wake, jambo LA pili naona unaigizi udini kwa mbali - ndio maana unajaribu kuikweza Uturuki kijeshi wakati deep down unajuwa Uturuki si lolote si chochote mbele ya Urusi military wise - Uturuki inajuwa kwamba Ku pick up a duel na Urusi is tantamount to committing HARAKIRI - Turkey won't dare to try Putin's patience.

Tukija kwenye afya ya Putin hizo ni propaganda za Waingereza - Putin hana mgogoro wowote wa kiafya - uvumi huu unaenezwa na taasisi ya kijasusi ya Uingereza (MI6) for Geopolitical reasons ndio walivyo, bado wanajiona kama vile ni mini super power - ndio walivyo ni wafitini na wazushi, kumbuka walivyo kuwa wanaipiga vita URUSI ili hisi host World Cup.
 
Acha ubishi usio kuwa na maana mkuu , biashara kati ya Azabeijan na Urusi ni kubwa zaidi ya mara tano ya biashara kati ya Urusi na Armenia kwa sababu Armenia uchumi wake ni mdogo mno.
Alafu kingine tambua ya kwamba Hata Azabeijan ni mnunuzi mukubwa wa silaa kutoka Urusi.
Urusi hana masilahi yeyote kwa Armenia zaidi ya kuitumia kulinda mipaka yake.
Fact!!!
 
Erdogan anataka kuirudisha Ottoman empire
Anataka kutawala waislam wote na kuiangusha Saudi Arabia

all Hail Kalifa Erdogan
Haitakaa itokee hio new ottoman, kwanza nguvu ya uturuki ndogo Sana kiuchumi, kijeshi vipi atawale wa arabu ambao wamemzidi uchumi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mpwa wa Putin nakuona kaka....

Kiukweli hakuna ASIYEJUA kuwa Urusi ina nguvu za kijeshi...hasa KIHISTORIA....ila sasa hivi WAPENZI wake wanaIOVERRATE sana...

Ni kweli usemayo kuwa NATO ni wengi na ni bayana WANAPAMBANA kuidhibiti URUSI....

Kikubwa ni kuwa US na NATO wako bora zaidi...BORA ZAIDI.... ya hiyo mijamaa ya KIKOMUNISTI....

N.B Haina maana MIKOMUNISTI YA PUTIN haina uwezo....la hasha!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eti mikomunist
 
Biashara anayofanya Azerbaijan na Urusi ni kubwa mara mbili ya ile anayofanya na Armenia....
Pili: Urusi wala atambui Nagorno ni sehemu ya Armenia .....
Tatu: Armenia walishaanza kutoka kwenye ushawishi wa Warusi wakawa wanatengeneza urafiki na nchi za magharibi, ndo maana kwenye shida mrusi nae ikabidi ampotezee kama vile hamuoni...

Libya gani iyo unayosema kuwa hali ya Haftar ni mbaya wakati nusu na robo ya nchi ipo kwenye mikono yake.na nusu na robo ya visima vya mafuta vipo chini yake vikilindwa na russia private military.Urusi anataka kujenga base ya kudumu pale Libya japo ana base kwenye mkoa wa Sitre na Al jufra.
 
Ina maana mkuu Uturuki ikiwa nje ya NATO haina nguvu yoyote, japo inamiliki jeshi la pili kwa ukubwa ndani ya hiyo jumuiya?
Jeshi la pili kwa Ukubwa???
Unaelewa nini hapo[emoji115]
 
Amani iwe nanyi wadau

Tanzania ikiwa inaendelea na uchaguzi mataifa wawili yalikuwa vitani(Armenia na Azerbaijan). Armenia ikiungwa mkono na Urusi kwa kuwa na watu wengi wanaozungumza kirusi (Christian Orthodox) na Azerbaijan ikiungwa mkono na uturuki kwa kuwa majority ya population yao ni Shia Moslems.

Mgogoro huu umeisha Juma lililopota kwa Armenia kuomba vita iishe na kukubaliana kuachia sehemu ya jimbo la Nagorno -Karabakh kwa Azerbaijan ambao walishaanza kutangaza ushindi mnono kwenye vita hii!

Kwa wachambuzi wa siasa Hii ni ishara ya kuanguka kabisa kwa urusi katika siasa za dunia na kuibuka kwa Uturuki Kama New World Power.

Uturuki pia ana mgogoro na China kwa sababu ya China kukandamiza haki za Waislamu wachache wa jamii ya Uyghurs.

Swali sasa ni Je, Kwa hali inavyoenda duniani huku Ccm wakiwa wanawategemea China na Urusi, CCM itaendelea kuwa hai katika miaka michache ijayo?

Naomba ukichangia mada hii usisahau kuwa Mabalozi wa nchi zinazoongoza kuipa fedha na misaada Tanzania (Marekani, Uingereza, Ujerumani, Korea Kusini, Japan, Sweden, Norway, Canada na Umoja wa Ulaya) hawajaudhuria shughuli ya leo ya Magufuli kufungua bunge.

Yajayo yanafurahisha!!
Nahisi utakua na msongo wa mawazo uliosababishwa na kitu fulan hivi
 
Haitakaa itokee hio new ottoman, kwanza nguvu ya uturuki ndogo Sana kiuchumi, kijeshi vipi atawale wa arabu ambao wamemzidi uchumi.
Saivi ISIS wameshamgeuka Saidi Arabia na wameplan kuattack vyanzo vyake vya uchumi(ukifuga nyoka lazima Akule)

Turkey wanafanya kumuonesha kuwa Saudi saivi ni muovu Ameshakuwa mshirika wa Israil na puppet wa marekani na waislam wakiona ivo hata Iran lazima atakuwa upande wake
 
Haitakaa itokee hio new ottoman, kwanza nguvu ya uturuki ndogo Sana kiuchumi, kijeshi vipi atawale wa arabu ambao wamemzidi uchumi.
Mkuu hakuna taifa lolote la kiarabu lenye uchumi imara kuizidi Uturuki.
 
...Mkuu sikumaanisha nyie ndio mmejikita kwenye propaganda ila kundi fulani jamaa aliwataja kama warusi, wamarekani na wairani wa Buza hao ndio niliowalenga.

Bwana Utamu kapotea sana jukwaani huenda alikuwa kwenye timu kampeni ya Biben...😂😂😂
Daah huyu mshikaji nimemis nondo zake aise.
 
Sawa....

Putin hana uwezo wa kupambana na NATO....

Mweupe Sana kwa NATO...

Labda awapige WAARABU......

WAKOMUNISTI hawana uwezo wa kupambana na marafiki wa US....

Sasa Kama usemayo ni kweli....mbona ameshindwa kumsaidia ARMENIA?!!!

Kule Libya...Urusi ilikuwa ni kinyume na Upande wa UTURUKI...vipi MAKOMUNISTI yalifanikiwa nako?!!!
Nimefuatilia mjadala huu, inaonekana wewe jamaa ni mweupe sana kwa mambo ya hilo eneo.
 
Lord denning

Nagorno-Karabakh ni eneo halali la Azerbaijan kuanguka kwa Soviet Union kukaibuka harakati za watu wa eneo la Nagorno-Karabakh kujitenga na kuwa huru, kitu ambacho Azerbaijan haijawahi kukubali.

Nagorno-Karabakh ni eneo lenye watu wengi wenye asili ya Armenia lakini ardhi wanayoshi sio ya Armenia.

Armenia anamkataba wa kiulinzi na Urusi, asikudanganye mtu katika dunia hii kwamba Uturuki anaweza mtikisa Urusi kwa namna yeyote ile. Urusi kacheza karata yake kwa akili sana, na hii ilifanyika baada ya mazungumzo hakuna fujo/vita katika eneo hilo tata. Kwasababu kwa kuruhusu vita inamaana Urusi anaenda kupigana na Uturuki taifa ambalo kwa sasa kuna neema ya kimkakati kati yao kuanzia Siria,Black sea,Gas pipelines etc.

Kwa kifupi, naujue kuanzia leo Uturuki na Marekani haziivi. Urusi na Marekani haziivi.China na Marekani haziivi, Tanzania na China ni sherehe. Therefore Urusi=China=Tanzania=Uturuki(Wanaojenga standard gauge railway), hence proved.
 
Taarifa za ndani zinasema Urusi hana hiyo nguvu anayojitangaza anayo.

Mkuu, pole sana, pole sana. Mungu akupe siku nyingi za kuishi hapa duniani ili uone the future japo kidogo.


Kuna uwezekano kwa uimara wa NATO, Magharibi wakaruhusu Uturuki iwe among super powers ili kudhibiti na kuimaliza kabisa Urusi

Mkuu, kwa hili la Uturuki kuwa super power kwasababu ya uimara wa NATO sahau kabisa. Ila kama ni kuwa super power kwa juhudi zao(Waturuki) na kushirikiana na mataifa tofauti na NATO members unaweza kunishawishi.
 
View attachment 1625973
Hizi ngoma US wanazo 11 duniani kote....

Hakuna ZWAZWA yeyote mwenye nazo bora na IDADI hiyo shubaaamit.....

Putin ATASUBIRI SANA....

Long live US....
Long live Biden....
Long live MAGUFULI...

Maendeleo hayana vyama!!
Mkuu hizo aircraft carriers kwa sasa sio big deal kiivo, ni upungufu wa akili kupeleka hizo aircraft carriers kwenye uwanja wa vita hasa unapopambana na Urusi.
 
Back
Top Bottom