Urusi kuangushwa na Uturuki katika Mgogoro wa Azerbaijan na Armenia. Je, huu ndio mwisho wa Urusi?

Urusi kuangushwa na Uturuki katika Mgogoro wa Azerbaijan na Armenia. Je, huu ndio mwisho wa Urusi?

😂😂😂
Mkuu kweli wewe ni mkomunisti....

Twende hivi....

Ninasemaje MWANAJESHI huyo atakuwa ni mkomunisti ama amepigana vita kule AFGHANISTAN...

M-16 Ni bora kuliko AK 47 KALASHNIKOV....

1.M-16 ni nyepesi MNOOO kuliko hiyo KALASHNIKOV.....
2.M-16 ina uwezo wa kufyatua risasi mbali zaidi ya mita 400(Viwanja 4 vya mpira wa Miguu) zaidi ya hilo "dubwasha la kirusi" ambalo HALIPENYI zaidi ya VIWANJA VIWILI VYA MPIRA....
Dubwasha zito Kama nini...dubwasha LINAUMIZA BEGA mnoooo 😂😂😂😂
Naona wazee wa vita bado mnatunishiana misuli
 
Urusi ina mizozo mingi sana na majirani zake.
 
Naona wazee wa vita bado mnatunishiana misuli
Baba sifa za AK 47 we ziache tu. AK 47 Ni kipenzi Cha mataifa mbalimbali ya Afrika na Asia kupata Uhuru wao.. hiyo yte ilitokana na urahisi wake wa kuitumia hata Kama hajawahi kuishika kabla
 
Kwa taarifa yako Russia ina maslahi kwa nchi zote mbili Armenian na Azebaijan!
 
Back
Top Bottom