Urusi kuanzisha safari za moja kwa moja Moscow - Tanzania ✈️

Hizo safari mbona zitadoda sana, nani ana mpango wa kusafiri kwenda kwa wachovu Russia na uende kutafuta nini huko wakati watu wenyewe wanajua eti waafrika ni manyani tu. Bure kabisa the racist Russians.
Wakubwa zako 90% wamesoma huko we kenua kenua na madaktari wakutosha wamesomewa huko, jeshini 60% ya silaha ni za huko we neng'eneka kisa umekatwa GOVI Kwa msaada wa watu wa marekani
 
Wakubwa zako 90% wamesoma huko we kenua kenua na madaktari wakutosha wamesomewa huko, jeshini 60% ya silaha ni za huko we neng'eneka kisa umekatwa GOVI Kwa msaada wa watu wa marekani
Andishi lako limekaa ki-madrassa sana, inaonekana hauna elimu dunia.
 
Andishi lako limekaa ki-madrassa sana, inaonekana hauna elimu dunia.
Umri wako ni mdogo sana ni kizazi cha wavaa PAMPAS siyo kosa lako na huenda umeathiriwa na misaada ya US ikiwamo kukatwa GOVI kupitia BILL & MELINDA GATES FOUNDATION
 
Urusi saivi anatapatapa ana haha kila kona kurekebisha uchumi wake vikwazo kila kukicha vinazidi kumkabilia taaban nafsi yake, hizo nchi anazounganza nazo hazina mpango wowote kichumi ataangukia kuramba ramba tu, soko la ulaya amelikosa
 
Wakubwa zako 90% wamesoma huko we kenua kenua na madaktari wakutosha wamesomewa huko, jeshini 60% ya silaha ni za huko we neng'eneka kisa umekatwa GOVI Kwa msaada wa watu wa marekani
Madaktari akina rip Dr. Shika mojawapo ya products za russia hizo....
 
Tatizo baadhi ya nchi za ulaya hutuona Watanzania kama waarabu hivi au Waislam na hushindwa kutofautisha kiswahili na kiarabu. Hapo mbona ametuweka kwenye kundi la waarabu/ Waislam?
Russia rafiki zao wakubwa waarab ndo USA ya waarab hiyo.
 
Umri wako ni mdogo sana ni kizazi cha wavaa PAMPAS siyo kosa lako na huenda umeathiriwa na misaada ya US ikiwamo kukatwa GOVI kupitia BILL & MELINDA GATES FOUNDATION
Nina uhakika asilimia mia moja kwamba wakati nashikishwa sikio kwenda kuanza darasa la kwanza, baba yako alikuwa hajazaliwa.
 
Lengo lao wanataka vijana wa Tanzania waende Russia, wakifika huko wanalazimishwa kupigana Ukraine kwa sababu Wanajeshi wa Russia wamekufa mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…