Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Fanfa

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2009
Posts
1,830
Reaction score
2,878
Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.

Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.

Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.

Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.

Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.

Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQKM 53.9. Bakhmut ina SQKM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;

1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQKM 53.9 zimempa hasara au faida?

2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQKM 53.9 ambao ni wastani wa SQKM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQKM 482,960 ?

3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?

4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?

5. Kwa kuwa Prigozhin amesema tarehe 25/05/2023 atawaachia Russian Regular troops ili wakapate mapumzika na mafunzo zaidi. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
 
Tangu Russia aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.

Kuna maeneo matano (5) ambayo Russia na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.

Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.

Russia iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.

Russia Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.

Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Russia kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Russia imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQM 53.9. Bakhmut ina SQM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Russia ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;

1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Russia kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQM 53.9 zimempa hasara au faida?

2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQM 53.9 ambao ni wastani wa SQM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQM 482,960 ?

3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?

4. Russia ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?
Kwahiyo wewe umeona kweli kuhakikisha usalama na kuwepo kwa Russia ni gharama ndogo kweli? Analysis yako ni ya layman militarily kuna sehemu ndogo 10km lakini ina umuhimu kuliko eneo lenye 10000 Square kilometer, nani kakwabia kwa 30.000 jeshi ndo walikufa Russia katimia macenary sio Red army......bado urusi inanguvu hata Nato inakubali kabisa.
 
Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.

Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.

Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.

Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.

Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.

Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQM 53.9. Bakhmut ina SQM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;

1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQM 53.9 zimempa hasara au faida?

2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQM 53.9 ambao ni wastani wa SQM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQM 482,960 ?

3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?

4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
 
Kwahiyo wewe umeona kweli kuhakikisha usalama na kuwepo kwa Russia ni gharama ndogo kweli? Analysis yako ni ya layman militarily kuna sehemu ndogo 10km lakini ina umuhimu kuliko eneo lenye 10000 Square kilometer, nani kakwabia kwa 30.000 jeshi ndo walikufa Russia katimia macenary sio Red army......bado urusi inanguvu hata Nato inakubali kabisa.
Usikimbie au kuteleza kiaina bila kutujibu maswali haya tafadhari.

1. Hebu tueleze ni kwa namna gani Russia anajihakikishia usalama kwa kuchukua Bakhmut na Soledar?

2. Umekataa kuwa Russia/Wagner hawajapoteza wanajeshi zaidi ya 30,000 kwa Bakhmut na Soledar. Wamepoteza wanajeshi wangapi?

3. Kwa kuwa Russia katumia Mercenaries unataka kutuaminisha hao mercenaries siyo sehemu ya Russia kama unavyodai?

4. Hao Red Army wamekufa wangapi Bakhmut na Soledar?

Hebu tujibu hayo maswali tafadhari
 
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
1. Hebu tulia kidogo na utufafanulie vizuri kwa nini Putin kapigwa changa la macho?

2. Ni siri gani ambayo huwezi kuiandika hapa ambayo intelligence ya UK na USA hawaijui? Au intelligence ya Kremlin hawaijui?
 
Kweli ni hasara, kwanini ametumia muda mrefu? Lakini Kuna maswali Je idadi ya askali waiiokufa inaakisi uzito wa Vita. Kweli nihao au pungufu au zaidi ,vip adui yake NATO. YEYE amepata faida gani? Tuangalia Kwa jicho la tatu hivi ni vita vya kuchoshana sio kutafuta ushindi wa haraka.Wangetaka haraka wangetumia nyuklia. Pia ilikuepusaha maafa ya askali wengi SASA hivi Urusi anapigana Kwa uangalifu kuliko pale mwanzoni sababu ameshajua kuwa anapigana na NATO na washirika wao. HIVI NI VITA VYA KISASA ZAIDI KUWAHI KUPIGANWA. UNAHITAJI KUMSOMA ADUII WAKATI UNAENDELEA KUPIGANA
 
Kweli ni hasara, kwanini ametumia muda mrefu? Lakini Kuna maswali Je idadi ya askali waiiokufa inaakisi uzito wa Vita. Kweli nihao au pungufu au zaidi ,vip adui yake NATO. YEYE amepata faida gani? Tuangalia Kwa jicho la tatu hivi ni vita vya kuchoshana sio kutafuta ushindi wa haraka.Wangetaka haraka wangetumia nyuklia. Pia ilikuepusaha maafa ya askali wengi SASA hivi Urusi anapigana Kwa uangalifu kuliko pale mwanzoni sababu ameshajua kuwa anapigana na NATO na washirika wao. HIVI NI VITA VYA KISASA ZAIDI KUWAHI KUPIGANWA. UNAHITAJI KUMSOMA ADUII WAKATI UNAENDELEA KUPIGANA
Usikimbie au kuteleza kiaina bila kutujibu maswali haya tafadhari.

1. Umekubaliana na mimi kuwa Russia kapata hasara zaidi kuliko faida.

2. Hebu nisaidie kwa hili, Ni lini NATO alipeleka wanajeshi na Silaha Ukraine?. Je, hizo siyo propaganda za Kremlin?

3. Je, Ni silaha zipi zinazotumiwa na NATO zimekuwa shipped kwenda Ukraine?.

4. Kwa nini tusiseme kuwa ni USA na EU wanaomsaidia silaha Ukraine ambao hawajajificha na wanatangaza wazi nini wanampa Ukraine.?

5. Je, una uhakika kuwa silaha za nuclear ndo zitamaliza vita? Je, unajua kweli madhara ya Nuclear? Au ulimi umeteleza tu. ?
 
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Mmmm...chakula cha dunia hadi mbolea kiko hapo Urusi na Ukraine. Pili, tuombee amani! Putin yuko ktk point of no return hawezi kuruhusu kushindwa kirahisi, atatumia hadi silaha ya mwisho ikibidi jambo ambalo si zuri kwa usalama na amani ya dunia. Mashambulizi ya siku hizi sita saba ya kutikisa mfumo wa anga wa Marekani Ukraine si jambo dogo. # Tuombe amani amani amani amani.🙏🙏🙏
 
Mmmm...chakula cha dunia hadi mbolea kiko hapo Urusi na Ukraine. Pili, tuombee amani! Putin yuko ktk point of no return hawezi kuruhusu kushindwa kirahisi, atatumia hadi silaha ya mwisho ikibidi jambo ambalo si zuri kwa usalama na amani ya dunia. Mashambulizi ya siku hizi sita saba ya kutikisa mfumo wa anga wa Marekani Ukraine si jambo dogo. # Tuombe amani amani amani amani.🙏🙏🙏
Usikimbie au kuteleza kiaina bila kutujibu maswali haya tafadhari.

1. Nakubaliana na wewe kuwa nchi hizi mbili zina rasilimali zinazoisaidia Dunia pamoja na ardhi nzuri yenye rutuba inayoweza kuirisha Dunia.

2. Umesema kuwa Putin yuko kwenye point of No return kwamba hawezi kukubali ashindwe vita. Kwa nini amemtumia China ili ashawishi Ukraine wakae mezani na Russia wayamalize? Kwa nini asingekataa kama alivyokataa Ukraine habari za kukaa kwenye majadiliano?

3. Je, Russia ndo ana silaha Nzito kuliko USA, German na washirika wao mpaka useme kuwa Russia atatumia mpaka silaha ya mwisho mpaka ashinde vita.

4. Je, ni kitu gani sasa kinachomfanya Russia asimalize vita hii kwa kumchakaza Ukraine na kuichukua nchi?. Kumbuka mwanzo Russia aliitangazia Dunia kuwa ni special military operation ya masaa 72 tu akiamini kuwa angeiteka ukraine kwa siku 3 tu.

5. Umesema mashambulizi ya Russia kwa siku 7 yametikisa mifumo ya anga ya Ukraine. Je, mashambulizi yake ya siku 12 mfululizo kwa kutumia makombora mazito yameharibu/kuteketeza mfumo wa ulinzi wa anga upi wa Ukraine? Na Je, USA & German hawana mifumo ya anga mingine imara zaidi ya IRIS-T na Patriot?

6. Je, Russia ana mfumo gani mwingine imara wa Ulinzi wa anga zaidi ya S-400 series?
 
. Je, ni kitu gani sasa kinachomfanya Russia asimalize vita hii kwa kumchakaza Ukraine na kuichukua nchi?. Kumbuka mwanzo Russia aliitangazia Dunia kuwa ni special military operation ya masaa 72 tu akiamini kuwa angeiteka ukraine kwa siku 3 tu.
Nadhani hana lengo la kumchakaza myukreini, labda inapobidi ili kutimiza lengo la SMO.

Ila lengo ni ulinzi zaidi ndio maana anapambana apate kushikilia maeneo strategic kiusalama sasa hivi na baadae.

Warusi na wayukreini mbona ni ndugu kabisa hao, anihilation sio lengo ila domination.
 
Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.

Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.

Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.

Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.

Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.

Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQM 53.9. Bakhmut ina SQM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;

1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQM 53.9 zimempa hasara au faida?

2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQM 53.9 ambao ni wastani wa SQM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQM 482,960 ?

3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?

4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?

5. Kwa kuwa Prigozhin amesema tarehe 25/05/2023 atawaachia Russian Regular troops ili wakapate mapumzika na mafunzo zaidi. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
Mpango wa Putin ni kuigawa Ukrane sio kuichukua yote
 
Nadhani hana lengo la kumchakaza myukreini, labda inapobidi ili kutimiza lengo la SMO.

Ila lengo ni ulinzi zaidi ndio maana anapambana apate kushikilia maeneo strategic kiusalama sasa hivi na baadae.

Warusi na wayukreini mbona ni ndugu kabisa hao, anihilation sio lengo ila domination.
1. Lengo la SMO lilitakiwa kukamilika kwa muda gani?

2. Je, nani tumwamini kati yako na Putin? Maana Putin tarehe 9/05/2023 aliitangazia Dunia kuwa "This is a real/True war" na wewe unatuambia ni SMO.

3. Kwa hiyo wewe una amini kuwa Russia kuivamia Ukraine ni kujihakikishia usalama. Je, anajihakikishia usalama kutoka kwa nani?
 
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Siri za urusi uogope kuziandika Tz au unahofia warusi wa Itigi ?
 
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.

Si kweli ni UWONGO WA MASHOGA WA US!
 
Back
Top Bottom