Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Hapa hata mi wa darasa la 4 nimepata concept
Usizolewe akili kirahisi namna hiyo.
Tumia akili uliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu kudadisi haya mambo, usiyachukulie kwa pupa bila kuyahoji.

Anachokwambia hapo huyo jamaa yako ni kwamba utu wake unathamani; unanunuliwa mradi tu bei itoshe bila kujali utu wake.
Mataifa ni hivyo hivyo. Kuna wanaokubali kuhadaiwa, kama akina Goberchef wa wakati huo na matokeo yake ndiyo yameifikisha nchi yake hapo ilipofika.
Mzee wa watu kafa kwa aibu kubwa hata msiba wake haikuwa wa kitaifa kwa aibu aliyoisababishia nchi yake.

Hawa waliopo kwenye madaraka wamekataa uhayawani huo waliofanyiwa na nchi za magharibi zilizopanga kumwingilia mRusi hadi kitandani mwake; kakataa upuuzi huo.
Sasa kibaraka waliyepanga kumtumia kufanya njama zao ndiye anayeonja joto ya jiwe, na wanazidi kumchochea, huku wakijua hataweza kuishinda vita hii, ambayo wao wenyewe wanaogopa kumkabili mRusi moja kwa moja.
 
Tutaendelea kuwaelimisha lakini wabishi huwa hawaelimiki.
EeenHeeeee!
Hakuna kitu hapo cha kujifunza mkuu wangu 'Bams'. Hakuna.

Hapa hakuna "swala la ubishi", ila kilicho wazi ni kwamba unaamini nadharia potofu kabisa, nadharia inayodhalilisha utu wa mtu anayeamini hivyo, au taifa, ambalo viongozi wake wana tabia za kujitweza kiasi hicho.
 
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Wewe huwe na siri za vita ya ukereine na urusi wewe nani?
 
Usikimbie au kuteleza kiaina bila kutujibu maswali haya tafadhari.

1. Hebu tueleze ni kwa namna gani Russia anajihakikishia usalama kwa kuchukua Bakhmut na Soledar?

2. Umekataa kuwa Russia/Wagner hawajapoteza wanajeshi zaidi ya 30,000 kwa Bakhmut na Soledar. Wamepoteza wanajeshi wangapi?

3. Kwa kuwa Russia katumia Mercenaries unataka kutuaminisha hao mercenaries siyo sehemu ya Russia kama unavyodai?

4. Hao Red Army wamekufa wangapi Bakhmut na Soledar?

Hebu tujibu hayo maswali tafadhari
Hapa hakuna mwenye uwezo wa kujua idadi ya wanajeshi waliokufa hata wanajeshi wa urusi hawajui
 
Putin kavu sana nilikua namwona ni mtu wa maana kumbe Jinga fulani tu..kati ya vita vya kijinga hii nayo ya hovyo hovyo wanaua watu bila sababu harafu alisema anachukua Nchi sasa hivi anagombania maeneo madogo ambayo vita yake ni kama Israel na Palestinian katengenezewa vita kaingia...
 
Huo ni mtazamo wa kimagharibi (watu wa upinde). Tunachojua ni marekani hataki taifa lingine liwe na nguvu kama yeye ili aendelee kupora rasilimali za dunia,wakiongozwa na mayahudi uchwara (Khazarian Jews). Wanataka wamzunguke urusi na nchi za NATO wamdhibiti.Sasa urusi sio ya kihivyo. Watapigwa sana hata kama wameungana nchi zaidi ya 20. Viva Russia!
Shule za kata hizi zimetuharibia kizazi.
Usizolewe akili kirahisi namna hiyo.
Tumia akili uliyojaaliwa na Mwenyezi Mungu kudadisi haya mambo, usiyachukulie kwa pupa bila kuyahoji.

Anachokwambia hapo huyo jamaa yako ni kwamba utu wake unathamani; unanunuliwa mradi tu bei itoshe bila kujali utu wake.
Mataifa ni hivyo hivyo. Kuna wanaokubali kuhadaiwa, kama akina Goberchef wa wakati huo na matokeo yake ndiyo yameifikisha nchi yake hapo ilipofika.
Mzee wa watu kafa kwa aibu kubwa hata msiba wake haikuwa wa kitaifa kwa aibu aliyoisababishia nchi yake.

Hawa waliopo kwenye madaraka wamekataa uhayawani huo waliofanyiwa na nchi za magharibi zilizopanga kumwingilia mRusi hadi kitandani mwake; kakataa upuuzi huo.
Sasa kibaraka waliyepanga kumtumia kufanya njama zao ndiye anayeonja joto ya jiwe, na wanazidi kumchochea, huku wakijua hataweza kuishinda vita hii, ambayo wao wenyewe wanaogopa kumkabili mRusi moja kwa moja.
For this reasoning capacity, I wonder if you managed to complete even F4. If yes, you ended up with 7F. Your carrying a Skull with full of Urojo.
 
Shule za kata hizi zimetuharibia kizazi.

For this reasoning capacity, I wonder if you managed to complete even F4. If yes, you ended up with 7F. Your carrying a Skull with full of Urojo.
Nyie ndo wasomi wa madesa🚮
 
Hebu tutajie misaada ambayo Ukraine amepata kutoka NATO ni ipi na ni lini
kwa hili swali ndo nimegundua we mtoa mada ni kiaz sasa ya nin kuchosha watu hapa kula viaz kata gogo.kalale [emoji124][emoji124][emoji124]
 
Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.

Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.

Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.

Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.

Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.

Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQKM 53.9. Bakhmut ina SQKM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;

1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQKM 53.9 zimempa hasara au faida?

2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQKM 53.9 ambao ni wastani wa SQKM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQKM 482,960 ?

3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?

4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?

5. Kwa kuwa Prigozhin amesema tarehe 25/05/2023 atawaachia Russian Regular troops ili wakapate mapumzika na mafunzo zaidi. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
Sasa Kuna warusi wa kiparang'anda wanakuja
 
kwa hili swali ndo nimegundua we mtoa mada ni kiaz sasa ya nin kuchosha watu hapa kula viaz kata gogo.kalale
emoji124.png
emoji124.png
emoji124.png
Wewe ndo kiazi. Usingekuwa kiazi ungetupa jibu badala ya kuja na matusi
 
Sasa Kuna warusi wa kiparang'anda wanakuja
Tunawasubiri waambie wakimbie. Hawana uwezo wa kujibu hoja zetu. Ni mazwazwa fulani hivi ambayo yanapiga porojo badala ya kujikita kwenye hoja.

Tumehoji mambo mengi sana yenye logic kakini hakuna anayeweza kutujibu zaidi ya matusi.

Wamelishwa upupu ndo wameng'anana NATO NATO.

1. They don't know about NATO Arsenals and its military power.

2. They don't know the role NATO is playing in Ukraine.
 
Shule za kata hizi zimetuharibia kizazi.

For this reasoning capacity, I wonder if you managed to complete even F4. If yes, you ended up with 7F. Your carrying a Skull with full of Urojo.
Baada ya yale uliyoandika kuonyesha ulivyo kitabia bado unatafuta nijibishane nawe kwa lolote?
Hiyo lugha huiwezi na kukufahamisha kwa mara ya mwisho, elimu yako ni mbovu sana kutokana na jinsi ulivyowasilisha mada yenyewe na namna uchangiaji wako unavyojionyesha kwenye mada.

Kwa hiyo, hili la elimu, huna chochote cha kujivunia watu wakutambue kwamba unayo elimu nzuri.
Kama utakuwa na akili kidogo utakuwa umenielewa.
 
Back
Top Bottom