Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Huyu Covax unajua wanajeshi au watu 30,000/- military personnel kuuwa na kuchukua bankut ni ktu kirahis hivyo

Hawa wanauliw wengi ndio wanasonga mbele , ni kwamba mrusi[emoji635][emoji635][emoji112][emoji106] [emoji880][emoji561] Hana huruma tena na nyie pro Ukraine

Kuchukua bamut ni Hasara kulko faida inaana VIONGOZI wote wa kirusi walivyoanzia operations na kuiendelea wao ni wajinga na wew ndio unajua value of security issues.
@fant orange [emoji521][emoji521]
suburbs.

For months Ukrainian commanders in charge of troops on the ground, and the troops themselves, have scratched their heads over why Russia was prepared to invest so much materiel, and spend so many Russian lives, on trying to capture a town that has no obvious tactical, let alone strategic, value.

Wagner, and whoever is paying the company’s bills, were profligate with its people.

In December, a member of the International Legion of Defense of Ukraine, fighting in a group of about a dozen men to the south of the town, called from the front line.

“It’s incredible,” he told me. “Those Wagner guys come in waves of, like, 40 at a time. We kill 35. Five get into a trench or a house, then they send another 40 and we shoot another 35 or so. We’re just cutting them down like grass.”

It was assumed the “musicians,” as pro-Russian groups like to call the mercenaries, were largely prisoners. Yevgeny Prigozhin, the head of the company, likes to call them “recidivists.” These convict recruits, some of them facing long sentences, were offered freedom if they survived six months at the front.

Clearly many did not. Instead, they were thrown into what both sides call the “meat grinder.”

“They’re coming at us all the time. We don’t know why they value Bakhmut so much but we know where they are and we know where to kill them,” said a brigade commander at the end of last year.
 
Hakuna Leopard 2 Tank inayotumiwa na NATO iliyopelekwa Ukraine.

Ngoja tukupe shule kidogo uelimike ili tongotongo na kamasi zikutoke

1. Leopard Tank zina series. Kuna Leopard 1 Series na Leopard 2 series. Mfano Leopard 2 ina series A1, A2 mpaka A7+.

2. Leopard 2 Tank zilizopelekwa Ukraine kutoka nchi washirika ni series ya 2A1 na 2A2 pekee na si zaidi ya hapo. Kuna nchi zingine zimetoa Leopard 1A6 tanks. Ni kwamba miamba hawa wanazitoa sababu zimepitwa na technology ili wa replenish kwa modern Tanks kama 2A6 au 2A7+.

3. Leopard 2 Tanks zinazotumiwa na NATO ni 2A6, 2A7 na 2A7+. Ni more sophisticated and Advanced Tanks

4. Hivo hivo Patriot air defense systems zina series MIM-104A - 104F with PAC-1 to PAC-3. respectively. Hivyo hakuna Patriot system iliyopelekwa Ukraine wanayotumia NATO. NATO wanatumia very advance Air defense systems za Patriot.

Hitimisho
Tunapowaambia kuwa hakuna NATO Arsenals zinazotumika Ukraine mtuelewe.

NATO, USA, German, UK & allies hawawezi kutumia sasa hivi NATO Arsenals siyo wajinga kiasi hicho.

Ndiyo maana wanampa Ukraine dozi ndogo ndogo na wanamwambia kuwa hata hizi tunazokupa usipige nje ya mipaka.
Ni policy ya nchi zote za NATO hakuna kuiuzia nchi yoyote isiyo mwanachama wa NATO latest version ya silaha.

Silaha nyingi wanazopewa Ukraine na mataifa wanachama wa NATO (siyo NATO), ni zile ziluzotengenezwa zaidi ya miaka 20 iliyopita. Leopard 2 first series tank ilitengenezwa mwaka 1979.
 
Inasemekana Ukraine yuko on flanks anataka awazunguke
kwa hiyo wana wazunguka nyuma wagner ...
huku hao wanajeshi wa ukraine wakiwapa migongo wanajeshi wa urusi......tena kwenye mpaka na urusi ....labda sijaelewa hapa .....
em nipe somo mkuu HIMARS...
 
Tayari umeshasema ni Pro Russia (Propagandist) then unategemea output ipi?. Unaweza kupata embe kwenye mti wa mpera?

What facts he laid down?
Unataka nani sasa akutafunie? Nenda kaangalie video yake hata moja and figure out for yourself kama unapata hayo maembe ama mapera.
Mimi pia ni pro-Russia lakini I can tell you with certainty ana taarifa ziko very balanced na za uhakika.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kwa akili yako Square miles 53.9 ni eneo ambalo halizidi uwanja wa mpira. ? Tupe takwimu za total eneo ya Bakhmut na Soledar. Kama huna hoja ukalale. The reality is 53.9 SQKM
Wewe ni mpuuzi mmoja tu asiyejua kitu.

Mada yenyewe inaonekana unaokoteza tu vihabari na kuviweka humu.

Hiyo "square mile" umeiandika wapi wewe katika uchafu wako ulioleta hapa? Hivi hata shule kweli wewe unayo ya kutosha?

Eeee Heeee. Sasa umeifanya SQKM; na huko mwanzo ilikuwa SQM?
 
Mataifa ya Magharibi wanatoa ziada kuisaidia Ukraine lakini Urusi inatoa kile kinachohitajika sana kwa maendeleo ya nchi yake na maisha ya watu wake.

Kumbuka uchumi wa Urusi ni mdogo zaidi ya mara 10 ya uchumi wa US. Uchumi wa Urusi ni mdogo kuliko wa Germany, Uk, France, South Korea, Japan, Italy, halafu hao wenzake ambao wana uchumi mkubwa kuliko yeye Mrusi wanachangia kuisaidia Ukraine.

Marekani hata akitoa 1% ya uchumi wake kuisaidia Ukraine itakuwa ni zaidi ya dola billion 200, ambayo itakuwa ni pesa nyingi sana kwa Ukraine, na itakuwa ni nyingi mno kwa Urusi kuitumia kwenye vita. Na hiyo ni Marekani pekee. Je, mataifa yote ya Magharibi yakiamua kila moja kutumia 1% tu ya mapato ya mataifa yao, itakuwa ni pesa kiasi gani? Na je, Urusi itaweza kutumia kiasi hicho kwa vita tu?

Asikudanganye mtu, vita ni pesa, halafu ndiyo inafuata tekinolojia na ari ya wapiganaji. Kama huna pesa, vingine vyote haviwezi kukupa ushindi.

Ingekuwa Ukraine imeivamia Urusi, Urusi iwe inapigana na mvamizi nchini mwake, nafasi ya ushindi ingekuwa kubwa kwake, lakini kwa vile ameivamia nchi ya watu wengine, na aliyevamiw. a ana ari ya kumwondoa mvamizi, tena akiwa na support kubwa ya mataifa mengine, Urusi kamwe haiwezi kushinda, itakachofanikiwa ni kuiharibu tu Ukraine na kuwaua raia wasio na kosa, lakini naye akijiangamiza kabisa.
You have a point.
 
Na huo mji, warusi wameuawa kama kuku hadi kiongozi wa Wagner kutamka wazi kuwa wapiganaji wake wameisha, waliosalia anataka wakapumzike, na majeshi ya Urusi yakachukue nafasi zao.

Haya hapa ni maelezo ya kundi la wapiganaji Warusi waliopo Ukraine wanaotaka kumwondoa Putin. Jana wamefanikiwa kuingia Urusi, na kushambulia.

For months Ukrainian commanders in charge of troops on the ground, and the troops themselves, have scratched their heads over why Russia was prepared to invest so much material, and spend so many Russian lives, on trying to capture a town that has no obvious tactical, let alone strategic, value.

Wagner, and whoever is paying the company’s bills, were profligate with its people.

In December, a member of the International Legion of Defense of Ukraine, fighting in a group of about a dozen men to the south of the town, called from the front line.

“It’s incredible,” he told me. “Those Wagner guys come in waves of, like, 40 at a time. We kill 35. Five get into a trench or a house, then they send another 40 and we shoot another 35 or so. We’re just cutting them down like grass.”

It was assumed the “musicians,” as pro-Russian groups like to call the mercenaries, were largely prisoners. Yevgeny Prigozhin, the head of the company, likes to call them “recidivists.” These convict recruits, some of them facing long sentences, were offered freedom if they survived six months at the front.

Clearly many did not. Instead, they were thrown into what both sides call the “meat grinder.”

“They’re coming at us all the time. We don’t know why they value Bakhmut so much but we know where they are and we know where to kill them,” said a brigade commander at the end of last year.
Wasiojua kilichokuwa kinaendelea Bakhmut na Soledar hawawezi kukuelewa. Wameshibishwa propaganda za Russia.
 
Ni policy ya nchi zote za NATO hakuna kuiuzia nchi yoyote isiyo mwanachama wa NATO latest version ya silaha.

Silaha nyingi wanazopewa Ukraine na mataifa wanachama wa NATO (siyo NATO), ni zile ziluzotengenezwa zaidi ya miaka 20 iliyopita. Leopard 2 first series tank ilitengenezwa mwaka 1979.
Mapoyoyo yasiyojua yanaimbishwa wimbo wa NATO anapeleka silaha Ukraine. Mara Russia inapigana na NATO. Mara NATO kachakazwa.

Hawajui NATO ina operate namna gani hata NATO Arsenals hawazijui. Russia anaijua NATO ndo maana anaiogopa sana.
 
Wewe ni mpuuzi mmoja tu asiyejua kitu.

Mada yenyewe inaonekana unaokoteza tu vihabari na kuviweka humu.

Hiyo "square mile" umeiandika wapi wewe katika uchafu wako ulioleta hapa? Hivi hata shule kweli wewe unayo ya kutosha?

Eeee Heeee. Sasa umeifanya SQKM; na huko mwanzo ilikuwa SQM?
Upuuzi wangu ndo ulikufanya ukazaliwa na mama yako. Bila kumfanya usingezaliwa.
 
Hiyo ilikuwa ni mbinu ya kudhoofisha, asithubutu kuweka upinzani huko kunakotakiwa; hili nalo wewe huna akili ya kulitambua?
Toka mwanzo, lengo la Urusi lilifahamika ni eneo gani alilenga, lakini kwa watu kama wewe, ninayejua sababu zako za kufifisha akili, unajilazimisha iwe kama unavyota ionekane kuwa ndivyo.

Eneo la Mashariki mwa Ukraine na Crimea, ni maeneo ambayo siku zote Mrusi ana 'interest' nayo. Watu wa maeneo hayo wana asili ya Urusi.
Kabla ya hii vita aliyoingia, tayari kulikuwepo na mapigano kati ya vikosi vya Ukraine na waasi wa maeneo hayo; wewe haya huyajui, lakini unajidai hapa kuwa mjuaji kuliko wengine!
Rafiki yangu Kalamu, kwenye mambo mengi huwa una ufahamu wa kutosha ila kwenye hili inaonekana ni mtupu kabisa. Nenda kachimbue chanzo cha mgogoro. Nitakupa hints kidogo:

Russia haikutaka kabisa USSR ife. Lakini hali mbaya ya uchumi, kuongezeka kwa matendo ya kuihujumu serikali, upinzani mkubwa wa ndani dhidi ya Serikali, ni hali zilizojitokeza sana mwishoni mwa miaka ya 1980. Hali hizo ikailazimu USSR kutafuta urafiki na mataifa ya Magharibi. Urafiki na nchi za magharibi ulipojengeka, USSR ikaomba msaada wa kifedha kutoka nchi za magharibi ili kunusuru uchumi wake. Mataifa ya Magharibi yakaipa masharti USSR, mojawapo ni kuheshimu demokrasia na haki za watu. Na hapo kwenye demokrasia USSR ilitakiwa kuyaachia uhuru wa kuamua mataifa yale aliyokuwa akiyashikilia kwa nguvu, mojawapo Ukraine, yaseme kama yanataka kuendelea kuwa kwenye USSR. Mataifa 14, Estonia, Latvia, Lithuania, Armenia, Georgia, Moldova, Ukraine, Azerbaijan, Belarus, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tajikistan, Turkmenistan, na Uzbekistan, yaliyokuwa yanaunda USSR, yote yakaamua kuwa mataifa huru.

Mwaka 1991, USSR ikavunjika rasmi, na mwaka huo huo, Urusi ikamiminiwa misaada toka nchi za Magharibi, na ikafungua milango kwa mataifa ya magharibi kwenda kuwekeza Urusi. Mpaka mwaka 2020, kulikuwa na makampuni zaidi ya 3,000 kutoka nchini za magharibi nchini Russia.

Lakini Urusi, haikuwa imependezwa na mataifa haya yaliyokuwa sehemu ya Urusi, kujitenga moja kwa moja na Urusi, iliyataka yaendelee kuwa tegemezi kwa Urusi katika maamuzi.

Njia mojawapo ambayo Urusi ilihakikisha kuwa hilo linatokea na kuendelea kuwepo ni kuhakikisha marais wote katika nchi hizi wanakuwa watu ambao Urusi inawakubali. Hivyo mataifa haya mapya yakawa na marais vibaraka wa Urusi. Baadhi ya hayo mataifa, taratibu, kutokana na nguvu za wananchi, yakajitenga kabisa na Urusi na kujiunga na EEC. Nchi iliyokuwa ina nguvu na ambayo Urusi iliwekeza nguvu nyingi kuhakikisha inaendelea kuwekea serikali kibaraka cha Kremlin ikawa ni Ukraine. Lakini mwaka 2014, wananchi walichachamaa na kufanya maandamano makubwa, na Rais wa wakati huo Victor Yanukovych, alisalimu amri na kukimbia nchi. Baada ya Rais huyu kibaraka wa Urusi kutimliwa, Urusi ikaona wazi kuwa sasa haina maamuzi tena juu ya Ukraine. Ikaanza kuwatumia watu wa mpakani wanaoongea kirusi kuipinga Serikali yao ya Kiev. Urusi ikawa inawapa hawa wapinzani iliowatengeneza silaha na fedha kugharamia vita yao dhidi ya Serikali.

Wapinzani wa Serikali waliotengenezwa na Urusi, walipoonekana kuelemewa katika vita, ndipo Urusi ikaingia vitani moja jwa moja kwa madai inaenda kuokoa maisha ya wale wapinzani wa Serikali iliokuwa imewatengeneza. Na katika vita hivyo ndipo ilipoimega sehemu ya Ukraine, jimbo lote la Cremia. Hata hivyo Urusi wakati wote haikutulia, lengo likiwa kuhakikisha Ukraine lazima irudi kwenye utawala unaotengenezwa Russia.

Ukraine, wananchi wake walivyokuwa wakishuhudia chokochoko za Urusi kwa kupitia wapinzani wanaotengenezwa, wakawa wanaisukuma sana nchi yao kujiunga na NATO ili kupata ulinzi dhidi ya Russia. Kabla ya hilo halijatokea, Urusi ikaona njia pekee ya kuhakikisha hilo halitokei ni kuiangusha Serikali ya Ukraine na kusimika serikali mpya itakayopokea maelekezo toka Kremlin. Maandalizi ya kabla ya hilo kutokea ilihusisha kuwaandaa wananchi kuichukia Serikali iliyokuwepo ili wanajeshi wa Urusi watakapovamia Kiev, waonekane ni wakombozi. Vibaraka waliokuwa wanatumika na Urusi wakamhakikishia Putin kuwa wananchi wengi wa Ukraine hawaitaki kabisa Serikali iliyopo. Ndipo ikaandaliwa operation maalum ambayo lengo lilikuwa kuiondoa Serikali iliyopo, na watu watatu wakuu wa Serikali, akiwemo Rais walitakiwa kuuawa.

Jambo ambalo hawakulitegemea likatokea, wananchi hawakuwataka kabisa askari wa Urusi na wakaungana na askari wa serikali kuwaua askari wa Urusi. Kwa sababu Urusi haikujiandaa kwa hilo, ikabidi waikimbie Kiev, na kwenda mashariki mwa nchi ambako ndiko waliko wale wapinzani waliowatengeneza. Na ndiko waliko mpaka keo.

Kwa hiyo lengo la Urusi kuivamia Kiev ilikuwa ni kuiangusha Serikali ili isimikwe Serikali ambayo itapokea maelekezo toka Kremlin.

Maelezo haya mafupi, nadhani bwana Kalamu yatakupa mwanga kidogo.
 
Upuuzi wangu ndo ulikufanya ukazaliwa na mama yako. Bila kumfanya usingezaliwa.
Ona sasa unavyojidhalilisha mwenyewe.

Sasa hapa unataka nikujibu nini bila kuonekana nami ni mpumbavu kama wewe!
 
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Akili za watu wa upinde bana 😂😂
 
Rafiki yangu Kalamu, kwenye mambo mengi huwa una ufahamu wa kutosha ila kwenye hili inaonekana ni mtupu kabisa. Nenda kachimbue chanzo cha mgogoro. Nitakupa hints kidogo:

Russia haikutaka kabisa USSR ife. Lakini hali mbaya ya uchumi, kuongezeka kwa matendo ya kuihujumu serikali, upinzani mkubwa wa ndani dhidi ya Serikali, ni hali zilizojitokeza sana mwishoni mwa miaka ya 1980. Hali hizo ikailazimu USSR kutafuta urafiki na mataifa ya Magharibi. Urafiki na nchi za magharibi ulipojengeka, USSR ikaomba msaada wa kifedha kutoka nchi za magharibi ili kunusuru uchumi wake. Mataifa ya Magharibi yakaipa masharti USSR, mojawapo ni kuheshimu demokrasia na haki za watu. Na hapo kwenye demokrasia USSR ilitakiwa kuyaachia uhuru wa kuamua mataifa yale aliyokuwa akiyashikilia kwa nguvu, mojawapo Ukraine, yaseme kama yanataka kuendelea kuwa kwenye USSR. Mataifa 14, Estonia, Latvia, Lithuania, Armenia, Georgia, Moldova, Ukraine, Azerbaijan, Belarus, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tajikistan, Turkmenistan, na Uzbekistan, yaliyokuwa yanaunda USSR, yote yakaamua kuwa mataifa huru.

Mwaka 1991, USSR ikavunjika rasmi, na mwaka huo huo, Urusi ikamiminiwa misaada toka nchi za Magharibi, na ikafungua milango kwa mataifa ya magharibi kwenda kuwekeza Urusi. Mpaka mwaka 2020, kulikuwa na makampuni zaidi ya 3,000 kutoka nchini za magharibi nchini Russia.

Lakini Urusi, haikuwa imependezwa na mataifa haya yaliyokuwa sehemu ya Urusi, kujitenga moja kwa moja na Urusi, iliyataka yaendelee kuwa tegemezi kwa Urusi katika maamuzi.

Njia mojawapo ambayo Urusi ilihakikisha kuwa hilo linatokea na kuendelea kuwepo ni kuhakikisha marais wote katika nchi hizi wanakuwa watu ambao Urusi inawakubali. Hivyo mataifa haya mapya yakawa na marais vibaraka wa Urusi. Baadhi ya hayo mataifa, taratibu, kutokana na nguvu za wananchi, yakajitenga kabisa na Urusi na kujiunga na EEC. Nchi iliyokuwa ina nguvu na ambayo Urusi iliwekeza nguvu nyingi kuhakikisha inaendelea kuwekea serikali kibaraka cha Kremlin ikawa ni Ukraine. Lakini mwaka 2014, wananchi walichachamaa na kufanya maandamano makubwa, na Rais wa wakati huo Victor Yanukovych, alisalimu amri na kukimbia nchi. Baada ya Rais huyu kibaraka wa Urusi kutimliwa, Urusi ikaona wazi kuwa sasa haina maamuzi tena juu ya Ukraine. Ikaanza kuwatumia watu wa mpakani wanaoongea kirusi kuipinga Serikali yao ya Kiev. Urusi ikawa inawapa hawa wapinzani iliowatengeneza silaha na fedha kugharamia vita yao dhidi ya Serikali.

Wapinzani wa Serikali waliotengenezwa na Urusi, walipoonekana kuelemewa katika vita, ndipo Urusi ikaingia vitani moja jwa moja kwa madai inaenda kuokoa maisha ya wale wapinzani wa Serikali iliokuwa imewatengeneza. Na katika vita hivyo ndipo ilipoimega sehemu ya Ukraine, jimbo lote la Cremia. Hata hivyo Urusi wakati wote haikutulia, lengo likiwa kuhakikisha Ukraine lazima irudi kwenye utawala unaotengenezwa Russia.

Ukraine, wananchi wake walivyokuwa wakishuhudia chokochoko za Urusi kwa kupitia wapinzani wanaotengenezwa, wakawa wanaisukuma sana nchi yao kujiunga na NATO ili kupata ulinzi dhidi ya Russia. Kabla ya hilo halijatokea, Urusi ikaona njia pekee ya kuhakikisha hilo halitokei ni kuiangusha Serikali ya Ukraine na kusimika serikali mpya itakayopokea maelekezo toka Kremlin. Maandalizi ya kabla ya hilo kutokea ilihusisha kuwaandaa wananchi kuichukia Serikali iliyokuwepo ili wanajeshi wa Urusi watakapovamia Kiev, waonekane ni wakombozi. Vibaraka waliokuwa wanatumika na Urusi wakamhakikishia Putin kuwa wananchi wengi wa Ukraine hawaitaki kabisa Serikali iliyopo. Ndipo ikaandaliwa operation maalum ambayo lengo lilikuwa kuiondoa Serikali iliyopo, na watu watatu wakuu wa Serikali, akiwemo Rais walitakiwa kuuawa.

Jambo ambalo hawakulitegemea likatokea, wananchi hawakuwataka kabisa askari wa Urusi na wakaungana na askari wa serikali kuwaua askari wa Urusi. Kwa sababu Urusi haikujiandaa kwa hilo, ikabidi waikimbie Kiev, na kwenda mashariki mwa nchi ambako ndiko waliko wale wapinzani waliowatengeneza. Na ndiko waliko mpaka keo.

Kwa hiyo lengo la Urusi kuivamia Kiev ilikuwa ni kuiangusha Serikali ili isimikwe Serikali ambayo itapokea maelekezo toka Kremlin.

Maelezo haya mafupi, nadhani bwana Kalamu yatakupa mwanga kidogo.
Huo ni mtazamo wa kimagharibi (watu wa upinde). Tunachojua ni marekani hataki taifa lingine liwe na nguvu kama yeye ili aendelee kupora rasilimali za dunia,wakiongozwa na mayahudi uchwara (Khazarian Jews). Wanataka wamzunguke urusi na nchi za NATO wamdhibiti.Sasa urusi sio ya kihivyo. Watapigwa sana hata kama wameungana nchi zaidi ya 20. Viva Russia!
 
Rafiki yangu Kalamu, kwenye mambo mengi huwa una ufahamu wa kutosha ila kwenye hili inaonekana ni mtupu kabisa. Nenda kachimbue chanzo cha mgogoro. Nitakupa hints kidogo:

Russia haikutaka kabisa USSR ife. Lakini hali mbaya ya uchumi, kuongezeka kwa matendo ya kuihujumu serikali, upinzani mkubwa wa ndani dhidi ya Serikali, ni hali zilizojitokeza sana mwishoni mwa miaka ya 1980. Hali hizo ikailazimu USSR kutafuta urafiki na mataifa ya Magharibi. Urafiki na nchi za magharibi ulipojengeka, USSR ikaomba msaada wa kifedha kutoka nchi za magharibi ili kunusuru uchumi wake. Mataifa ya Magharibi yakaipa masharti USSR, mojawapo ni kuheshimu demokrasia na haki za watu. Na hapo kwenye demokrasia USSR ilitakiwa kuyaachia uhuru wa kuamua mataifa yale aliyokuwa akiyashikilia kwa nguvu, mojawapo Ukraine, yaseme kama yanataka kuendelea kuwa kwenye USSR. Mataifa 14, Estonia, Latvia, Lithuania, Armenia, Georgia, Moldova, Ukraine, Azerbaijan, Belarus, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tajikistan, Turkmenistan, na Uzbekistan, yaliyokuwa yanaunda USSR, yote yakaamua kuwa mataifa huru.

Mwaka 1991, USSR ikavunjika rasmi, na mwaka huo huo, Urusi ikamiminiwa misaada toka nchi za Magharibi, na ikafungua milango kwa mataifa ya magharibi kwenda kuwekeza Urusi. Mpaka mwaka 2020, kulikuwa na makampuni zaidi ya 3,000 kutoka nchini za magharibi nchini Russia.

Lakini Urusi, haikuwa imependezwa na mataifa haya yaliyokuwa sehemu ya Urusi, kujitenga moja kwa moja na Urusi, iliyataka yaendelee kuwa tegemezi kwa Urusi katika maamuzi.

Njia mojawapo ambayo Urusi ilihakikisha kuwa hilo linatokea na kuendelea kuwepo ni kuhakikisha marais wote katika nchi hizi wanakuwa watu ambao Urusi inawakubali. Hivyo mataifa haya mapya yakawa na marais vibaraka wa Urusi. Baadhi ya hayo mataifa, taratibu, kutokana na nguvu za wananchi, yakajitenga kabisa na Urusi na kujiunga na EEC. Nchi iliyokuwa ina nguvu na ambayo Urusi iliwekeza nguvu nyingi kuhakikisha inaendelea kuwekea serikali kibaraka cha Kremlin ikawa ni Ukraine. Lakini mwaka 2014, wananchi walichachamaa na kufanya maandamano makubwa, na Rais wa wakati huo Victor Yanukovych, alisalimu amri na kukimbia nchi. Baada ya Rais huyu kibaraka wa Urusi kutimliwa, Urusi ikaona wazi kuwa sasa haina maamuzi tena juu ya Ukraine. Ikaanza kuwatumia watu wa mpakani wanaoongea kirusi kuipinga Serikali yao ya Kiev. Urusi ikawa inawapa hawa wapinzani iliowatengeneza silaha na fedha kugharamia vita yao dhidi ya Serikali.

Wapinzani wa Serikali waliotengenezwa na Urusi, walipoonekana kuelemewa katika vita, ndipo Urusi ikaingia vitani moja jwa moja kwa madai inaenda kuokoa maisha ya wale wapinzani wa Serikali iliokuwa imewatengeneza. Na katika vita hivyo ndipo ilipoimega sehemu ya Ukraine, jimbo lote la Cremia. Hata hivyo Urusi wakati wote haikutulia, lengo likiwa kuhakikisha Ukraine lazima irudi kwenye utawala unaotengenezwa Russia.

Ukraine, wananchi wake walivyokuwa wakishuhudia chokochoko za Urusi kwa kupitia wapinzani wanaotengenezwa, wakawa wanaisukuma sana nchi yao kujiunga na NATO ili kupata ulinzi dhidi ya Russia. Kabla ya hilo halijatokea, Urusi ikaona njia pekee ya kuhakikisha hilo halitokei ni kuiangusha Serikali ya Ukraine na kusimika serikali mpya itakayopokea maelekezo toka Kremlin. Maandalizi ya kabla ya hilo kutokea ilihusisha kuwaandaa wananchi kuichukia Serikali iliyokuwepo ili wanajeshi wa Urusi watakapovamia Kiev, waonekane ni wakombozi. Vibaraka waliokuwa wanatumika na Urusi wakamhakikishia Putin kuwa wananchi wengi wa Ukraine hawaitaki kabisa Serikali iliyopo. Ndipo ikaandaliwa operation maalum ambayo lengo lilikuwa kuiondoa Serikali iliyopo, na watu watatu wakuu wa Serikali, akiwemo Rais walitakiwa kuuawa.

Jambo ambalo hawakulitegemea likatokea, wananchi hawakuwataka kabisa askari wa Urusi na wakaungana na askari wa serikali kuwaua askari wa Urusi. Kwa sababu Urusi haikujiandaa kwa hilo, ikabidi waikimbie Kiev, na kwenda mashariki mwa nchi ambako ndiko waliko wale wapinzani waliowatengeneza. Na ndiko waliko mpaka keo.

Kwa hiyo lengo la Urusi kuivamia Kiev ilikuwa ni kuiangusha Serikali ili isimikwe Serikali ambayo itapokea maelekezo toka Kremlin.

Maelezo haya mafupi, nadhani bwana Kalamu yatakupa mwanga kidogo.
Dah!
Ona sasa unayejifanya kichwa kimejaa, na kuwaita wengine "watupu"!

Nikiri, sikusoma hadi mwisho kwa sababu sikuona la maana la kuhangaishia akili na kupotezea muda katika hayo uliyoandika mwanzo kabisa, ambao ni upuuzi mtupu!
Nadharia hii ya nchi za magaharibi kuwa ndio wakoaji wa nchi za mashariki imekuingia sana kichwani kiasi kwamba imekuwa kama bangi inayolewesha

Basi tuseme ni sawa, hali ya USSR ilikuwa mbovu na wakajisalimisha kwa hao 'sponsors' wako. Kwa hiyo katika akili yako hapa unataka Urusi uvurugwe kwa kutokubali kusambaratishwa usalama wake? Hii ni mantiki ya namna gani hii?

Nisiandike gazeti la kipuuzi kama hilo uliloandika hapo juu, sasa juwa tu kwamba Urusu alikataa kujisalimisha kwa hao mabwana zako, na nchi nyingi wameanza kuona ujinga unaofanywa nahao wapuuzi wako wa magharibi.

Sasa watafanya nini? Hawawezii kuitawala duni tena, hata kwa kutumia nguvu za silaha. Hiyo G7 si umeona walivyoigwaya China?

Wewe kuniita mimi kuwa "mtupu" kwenye mambo haya, halafu unaweka taarifa ya kipuuzi kama hiyo uliyoweka hapo ni kuonyesha jinsi gani ulivyolemewa na ushabiki wa nchi hizo, pengine kula yako ndiko huko inakotokea. Hata kama hivyo ndivto, mambo usiyoyajua ni bora kuyanyamazia kuliko kujionyresha ulivyo mtupu juu yake.
 
Rafiki yangu Kalamu, kwenye mambo mengi huwa una ufahamu wa kutosha ila kwenye hili inaonekana ni mtupu kabisa. Nenda kachimbue chanzo cha mgogoro. Nitakupa hints kidogo:

Russia haikutaka kabisa USSR ife. Lakini hali mbaya ya uchumi, kuongezeka kwa matendo ya kuihujumu serikali, upinzani mkubwa wa ndani dhidi ya Serikali, ni hali zilizojitokeza sana mwishoni mwa miaka ya 1980. Hali hizo ikailazimu USSR kutafuta urafiki na mataifa ya Magharibi. Urafiki na nchi za magharibi ulipojengeka, USSR ikaomba msaada wa kifedha kutoka nchi za magharibi ili kunusuru uchumi wake. Mataifa ya Magharibi yakaipa masharti USSR, mojawapo ni kuheshimu demokrasia na haki za watu. Na hapo kwenye demokrasia USSR ilitakiwa kuyaachia uhuru wa kuamua mataifa yale aliyokuwa akiyashikilia kwa nguvu, mojawapo Ukraine, yaseme kama yanataka kuendelea kuwa kwenye USSR. Mataifa 14, Estonia, Latvia, Lithuania, Armenia, Georgia, Moldova, Ukraine, Azerbaijan, Belarus, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tajikistan, Turkmenistan, na Uzbekistan, yaliyokuwa yanaunda USSR, yote yakaamua kuwa mataifa huru.

Mwaka 1991, USSR ikavunjika rasmi, na mwaka huo huo, Urusi ikamiminiwa misaada toka nchi za Magharibi, na ikafungua milango kwa mataifa ya magharibi kwenda kuwekeza Urusi. Mpaka mwaka 2020, kulikuwa na makampuni zaidi ya 3,000 kutoka nchini za magharibi nchini Russia.

Lakini Urusi, haikuwa imependezwa na mataifa haya yaliyokuwa sehemu ya Urusi, kujitenga moja kwa moja na Urusi, iliyataka yaendelee kuwa tegemezi kwa Urusi katika maamuzi.

Njia mojawapo ambayo Urusi ilihakikisha kuwa hilo linatokea na kuendelea kuwepo ni kuhakikisha marais wote katika nchi hizi wanakuwa watu ambao Urusi inawakubali. Hivyo mataifa haya mapya yakawa na marais vibaraka wa Urusi. Baadhi ya hayo mataifa, taratibu, kutokana na nguvu za wananchi, yakajitenga kabisa na Urusi na kujiunga na EEC. Nchi iliyokuwa ina nguvu na ambayo Urusi iliwekeza nguvu nyingi kuhakikisha inaendelea kuwekea serikali kibaraka cha Kremlin ikawa ni Ukraine. Lakini mwaka 2014, wananchi walichachamaa na kufanya maandamano makubwa, na Rais wa wakati huo Victor Yanukovych, alisalimu amri na kukimbia nchi. Baada ya Rais huyu kibaraka wa Urusi kutimliwa, Urusi ikaona wazi kuwa sasa haina maamuzi tena juu ya Ukraine. Ikaanza kuwatumia watu wa mpakani wanaoongea kirusi kuipinga Serikali yao ya Kiev. Urusi ikawa inawapa hawa wapinzani iliowatengeneza silaha na fedha kugharamia vita yao dhidi ya Serikali.

Wapinzani wa Serikali waliotengenezwa na Urusi, walipoonekana kuelemewa katika vita, ndipo Urusi ikaingia vitani moja jwa moja kwa madai inaenda kuokoa maisha ya wale wapinzani wa Serikali iliokuwa imewatengeneza. Na katika vita hivyo ndipo ilipoimega sehemu ya Ukraine, jimbo lote la Cremia. Hata hivyo Urusi wakati wote haikutulia, lengo likiwa kuhakikisha Ukraine lazima irudi kwenye utawala unaotengenezwa Russia.

Ukraine, wananchi wake walivyokuwa wakishuhudia chokochoko za Urusi kwa kupitia wapinzani wanaotengenezwa, wakawa wanaisukuma sana nchi yao kujiunga na NATO ili kupata ulinzi dhidi ya Russia. Kabla ya hilo halijatokea, Urusi ikaona njia pekee ya kuhakikisha hilo halitokei ni kuiangusha Serikali ya Ukraine na kusimika serikali mpya itakayopokea maelekezo toka Kremlin. Maandalizi ya kabla ya hilo kutokea ilihusisha kuwaandaa wananchi kuichukia Serikali iliyokuwepo ili wanajeshi wa Urusi watakapovamia Kiev, waonekane ni wakombozi. Vibaraka waliokuwa wanatumika na Urusi wakamhakikishia Putin kuwa wananchi wengi wa Ukraine hawaitaki kabisa Serikali iliyopo. Ndipo ikaandaliwa operation maalum ambayo lengo lilikuwa kuiondoa Serikali iliyopo, na watu watatu wakuu wa Serikali, akiwemo Rais walitakiwa kuuawa.

Jambo ambalo hawakulitegemea likatokea, wananchi hawakuwataka kabisa askari wa Urusi na wakaungana na askari wa serikali kuwaua askari wa Urusi. Kwa sababu Urusi haikujiandaa kwa hilo, ikabidi waikimbie Kiev, na kwenda mashariki mwa nchi ambako ndiko waliko wale wapinzani waliowatengeneza. Na ndiko waliko mpaka keo.

Kwa hiyo lengo la Urusi kuivamia Kiev ilikuwa ni kuiangusha Serikali ili isimikwe Serikali ambayo itapokea maelekezo toka Kremlin.

Maelezo haya mafupi, nadhani bwana Kalamu yatakupa mwanga kidogo.
1. Sidhani kama yule kichwa maji atakuelewa.

2. Watu wengi hawajui nini kimetokea mpaka vita ikaibuka. Wanafikiri vita imeanza Feb 2022. Hawajui nini kilichokuwa kinaendelea DONBAS kwa miaka mingi.

3. Endelea kuwaelimisha.
 
1. Sidhani kama yule kichwa maji atakuelewa.

2. Watu wengi hawajui nini kimetokea mpaka vita ikaibuka. Wanafikiri vita imeanza Feb 2022. Hawajui nini kilichokuwa kinaendelea DONBAS kwa miaka mingi.

3. Endelea kuwaelimisha.
Tutaendelea kuwaelimisha lakini wabishi huwa hawaelimiki.
 
Ona sasa unavyojidhalilisha mwenyewe.

Sasa hapa unataka nikujibu nini bila kuonekana nami ni mpumbavu kama wewe!
Hapo jamaa kaniabisha sana.

Huwa na kawaida kuwaheshimu wakongwe humu JF nikiamini kwanza wana umri wa kutosha kuweza kuwa na busara.

Lakini imekuwa tofauti kwa baadhi ya members
 
Rafiki yangu Kalamu, kwenye mambo mengi huwa una ufahamu wa kutosha ila kwenye hili inaonekana ni mtupu kabisa. Nenda kachimbue chanzo cha mgogoro. Nitakupa hints kidogo:

Russia haikutaka kabisa USSR ife. Lakini hali mbaya ya uchumi, kuongezeka kwa matendo ya kuihujumu serikali, upinzani mkubwa wa ndani dhidi ya Serikali, ni hali zilizojitokeza sana mwishoni mwa miaka ya 1980. Hali hizo ikailazimu USSR kutafuta urafiki na mataifa ya Magharibi. Urafiki na nchi za magharibi ulipojengeka, USSR ikaomba msaada wa kifedha kutoka nchi za magharibi ili kunusuru uchumi wake. Mataifa ya Magharibi yakaipa masharti USSR, mojawapo ni kuheshimu demokrasia na haki za watu. Na hapo kwenye demokrasia USSR ilitakiwa kuyaachia uhuru wa kuamua mataifa yale aliyokuwa akiyashikilia kwa nguvu, mojawapo Ukraine, yaseme kama yanataka kuendelea kuwa kwenye USSR. Mataifa 14, Estonia, Latvia, Lithuania, Armenia, Georgia, Moldova, Ukraine, Azerbaijan, Belarus, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Tajikistan, Turkmenistan, na Uzbekistan, yaliyokuwa yanaunda USSR, yote yakaamua kuwa mataifa huru.

Mwaka 1991, USSR ikavunjika rasmi, na mwaka huo huo, Urusi ikamiminiwa misaada toka nchi za Magharibi, na ikafungua milango kwa mataifa ya magharibi kwenda kuwekeza Urusi. Mpaka mwaka 2020, kulikuwa na makampuni zaidi ya 3,000 kutoka nchini za magharibi nchini Russia.

Lakini Urusi, haikuwa imependezwa na mataifa haya yaliyokuwa sehemu ya Urusi, kujitenga moja kwa moja na Urusi, iliyataka yaendelee kuwa tegemezi kwa Urusi katika maamuzi.

Njia mojawapo ambayo Urusi ilihakikisha kuwa hilo linatokea na kuendelea kuwepo ni kuhakikisha marais wote katika nchi hizi wanakuwa watu ambao Urusi inawakubali. Hivyo mataifa haya mapya yakawa na marais vibaraka wa Urusi. Baadhi ya hayo mataifa, taratibu, kutokana na nguvu za wananchi, yakajitenga kabisa na Urusi na kujiunga na EEC. Nchi iliyokuwa ina nguvu na ambayo Urusi iliwekeza nguvu nyingi kuhakikisha inaendelea kuwekea serikali kibaraka cha Kremlin ikawa ni Ukraine. Lakini mwaka 2014, wananchi walichachamaa na kufanya maandamano makubwa, na Rais wa wakati huo Victor Yanukovych, alisalimu amri na kukimbia nchi. Baada ya Rais huyu kibaraka wa Urusi kutimliwa, Urusi ikaona wazi kuwa sasa haina maamuzi tena juu ya Ukraine. Ikaanza kuwatumia watu wa mpakani wanaoongea kirusi kuipinga Serikali yao ya Kiev. Urusi ikawa inawapa hawa wapinzani iliowatengeneza silaha na fedha kugharamia vita yao dhidi ya Serikali.

Wapinzani wa Serikali waliotengenezwa na Urusi, walipoonekana kuelemewa katika vita, ndipo Urusi ikaingia vitani moja jwa moja kwa madai inaenda kuokoa maisha ya wale wapinzani wa Serikali iliokuwa imewatengeneza. Na katika vita hivyo ndipo ilipoimega sehemu ya Ukraine, jimbo lote la Cremia. Hata hivyo Urusi wakati wote haikutulia, lengo likiwa kuhakikisha Ukraine lazima irudi kwenye utawala unaotengenezwa Russia.

Ukraine, wananchi wake walivyokuwa wakishuhudia chokochoko za Urusi kwa kupitia wapinzani wanaotengenezwa, wakawa wanaisukuma sana nchi yao kujiunga na NATO ili kupata ulinzi dhidi ya Russia. Kabla ya hilo halijatokea, Urusi ikaona njia pekee ya kuhakikisha hilo halitokei ni kuiangusha Serikali ya Ukraine na kusimika serikali mpya itakayopokea maelekezo toka Kremlin. Maandalizi ya kabla ya hilo kutokea ilihusisha kuwaandaa wananchi kuichukia Serikali iliyokuwepo ili wanajeshi wa Urusi watakapovamia Kiev, waonekane ni wakombozi. Vibaraka waliokuwa wanatumika na Urusi wakamhakikishia Putin kuwa wananchi wengi wa Ukraine hawaitaki kabisa Serikali iliyopo. Ndipo ikaandaliwa operation maalum ambayo lengo lilikuwa kuiondoa Serikali iliyopo, na watu watatu wakuu wa Serikali, akiwemo Rais walitakiwa kuuawa.

Jambo ambalo hawakulitegemea likatokea, wananchi hawakuwataka kabisa askari wa Urusi na wakaungana na askari wa serikali kuwaua askari wa Urusi. Kwa sababu Urusi haikujiandaa kwa hilo, ikabidi waikimbie Kiev, na kwenda mashariki mwa nchi ambako ndiko waliko wale wapinzani waliowatengeneza. Na ndiko waliko mpaka keo.

Kwa hiyo lengo la Urusi kuivamia Kiev ilikuwa ni kuiangusha Serikali ili isimikwe Serikali ambayo itapokea maelekezo toka Kremlin.

Maelezo haya mafupi, nadhani bwana Kalamu yatakupa mwanga kidogo.
Hapa hata mi wa darasa la 4 nimepata concept
 
Back
Top Bottom