Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?


Mbona hapa umeshajibu kila kitu; Wagner ni irregular troops, kama irregular troops ikiondoka na kukabidhi regular troops mbona hapo ndipo mambo yatakuwa rahisi zaidi.
 
Kwahiyo wewe umeona kweli kuhakikisha usalama na kuwepo kwa Russia ni gharama ndogo kweli? Analysis yako ni ya layman militarily kuna sehemu ndogo 10km lakini ina umuhimu kuliko eneo lenye 10000 Square kilometer, nani kakwabia kwa 30.000 jeshi ndo walikufa Russia katimia macenary sio Red army......bado urusi inanguvu hata Nato inakubali kabisa.
Huyu Covax unajua wanajeshi au watu 30,000/- military personnel kuuwa na kuchukua bankut ni ktu kirahis hivyo

Hawa wanauliw wengi ndio wanasonga mbele , ni kwamba mrusi[emoji635][emoji635][emoji112][emoji106] [emoji880][emoji561] Hana huruma tena na nyie pro Ukraine

Kuchukua bamut ni Hasara kulko faida inaana VIONGOZI wote wa kirusi walivyoanzia operations na kuiendelea wao ni wajinga na wew ndio unajua value of security issues.
@fant orange [emoji521][emoji521]
 
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Kwamba unazo hizo siri ukiwa mJumbe wa NAT0 huko buza na kinondon B[emoji16][emoji16]
 
Punguza hasira Mkuu. Mpaka sasa hali halisi ya uwanja wa mapambano inajulikana. NATO wanaisaidia Ujkraine kwa silaha na kila kitu lakini hakuna cha maana walichofanikiwa zaidi ya kuharibu uchumi wa nchi za Magharibi.
Hebu tupia ushahidi unaoonyesha kuwa majeshi ya NATO yanapigana Ukraine au NATO Arsenal zinazotumika Ukraine.
 
Bro acha uongo! Hivi Leopard tanks siyo advanced weapon ya NATO? Patriot Missile System haimo kwenye NATO arsenal?
Hakuna Leopard 2 Tank inayotumiwa na NATO iliyopelekwa Ukraine.

Ngoja tukupe shule kidogo uelimike ili tongotongo na kamasi zikutoke

1. Leopard Tank zina series. Kuna Leopard 1 Series na Leopard 2 series. Mfano Leopard 2 ina series A1, A2 mpaka A7+.

2. Leopard 2 Tank zilizopelekwa Ukraine kutoka nchi washirika ni series ya 2A1 na 2A2 pekee na si zaidi ya hapo. Kuna nchi zingine zimetoa Leopard 1A6 tanks. Ni kwamba miamba hawa wanazitoa sababu zimepitwa na technology ili wa replenish kwa modern Tanks kama 2A6 au 2A7+.

3. Leopard 2 Tanks zinazotumiwa na NATO ni 2A6, 2A7 na 2A7+. Ni more sophisticated and Advanced Tanks

4. Hivo hivo Patriot air defense systems zina series MIM-104A - 104F with PAC-1 to PAC-3. respectively. Hivyo hakuna Patriot system iliyopelekwa Ukraine wanayotumia NATO. NATO wanatumia very advance Air defense systems za Patriot.

Hitimisho
Tunapowaambia kuwa hakuna NATO Arsenals zinazotumika Ukraine mtuelewe.

NATO, USA, German, UK & allies hawawezi kutumia sasa hivi NATO Arsenals siyo wajinga kiasi hicho.

Ndiyo maana wanampa Ukraine dozi ndogo ndogo na wanamwambia kuwa hata hizi tunazokupa usipige nje ya mipaka.
 
Umeshajibu kiwa ni military strategic point.
Hata makombola ya patriotic yana gharama kuliko kombola analodungua. Swali je yasirushwe kutuanga makombola?
Drones zina gharama ndogo kuliko kombola sinazotumika kuziangua . Je zisitunguliwe?
Vita ina gharama. Kinachitakiwa ni kushinda
 
1. Kwa hiyo hawa ndo wanajeshi wa NATO. Inaelekea hata combat za NATO huzijui.

2. Unataka kuwadanganya watu kuwa ni majeneza ya wanajeshi waliouawa Ukraine. Usichokijua ni kuwa technolgy imekua sana. Picha inaweza kuwa geolocated na ukajua imepigwa wapi.
Patriot missile battery operators whom killed by Russian force being sent home from Kiev.
[emoji1019][emoji1019][emoji1019][emoji1019]
 
Kupitia uchangiaji kwenye jukwaa hili (jamiiforums) nimejifunza mambo yafuatayo;

1. Watu wengi wapiga propaganda na porojo (Both Pro Russia and Pro Ukraine) wanaojifanya wanaijua hii vita hawana military skills na hawajui hata uwanja wa vita huwa ukoje? Wanafikiri ni kama sinema za Rambo.

2. Hawajui kwa nini USA, German, UK & Allies waliamua kumuunga Ukraine na kumsaidia kwa kumpa silaha na maarifa (Skills) za kivita.

3. Hawajui lengo la Putin kuivamia Ukraine kuanzia Crimea na sasa Ukraine yote. Pro Russia wengi wamekalili Special Military Operation (SMO) na hawajui hata SMO ni nini kwa muktadha wa Kijeshi na malengo yake huwa ni nini hasa.

4. Pro Russia wengi wanaamini kuwa majeshi ya NATO yanapigana Ukraine, kumbe ni propaganda tu za Russia. NATO hajapeleka hata silaha moja ya NATO wala wanajeshi wa NATO zaidi ya kushiriki kwenye vikao vya maamuzi ya nchi washirika (joint coordination committee) kutengeneza strategies (strategic level)

5. PRO Russia wengi wanaamini kuwa USA imepeleka wanajeshi wake frontline kupigana. Wakisikia Raia wa marekani kafa wanaamini kuwa mwanajeshi ambaye yuko in service. Hawajui kuwa Ukraine naye ana wanajeshi wa kujitolea (waliostaafu) kwenye majeshi ya nchi mbali mbali na wameenda kuomba ajira ili wapigane. Hawajui kuwa Ukraine nao wana mercenaries kama walivyo wagner.

6. Hawajui kuwa USA, German & allies wanapeleka wanajeshi wao (in service) si kwa ajili ya kupigana la hasha ni kwa ajili ya kutoa technical support yaani knowlege transfer ili Ukraine wapate uzoefu kuanzia installation, maintenance and support.
Na wewe umeyajuaje haya, upo Russia, au ndo wale wale wa buza
 
Mbona hapa umeshajibu kila kitu; Wagner ni irregular troops, kama irregular troops ikiondoka na kukabidhi regular troops mbona hapo ndipo mambo yatakuwa rahisi zaidi.
Hebu tulia kijana usijiaibishe mbele ya kadamnasi maana wanajua uwezo wako ulipokomea. Tulia ujifunze kwanza. Porojo weka pembeni hapa ni facts tu
 
Kama mleta mada ni dhaifu, wewe utakuwa ni dhaifu mara 4 yake.

Mashambulizi ya mwanzo ya Russia yalikuwa wapi? Kwa kushambulia mji mkuu wa Ukraine, alilenga kitu gani? Ukijibu maswali hayo mawili itajulikana kama unaujua huo mgogoro au unausikia juu juu tu.
Hiyo ilikuwa ni mbinu ya kudhoofisha, asithubutu kuweka upinzani huko kunakotakiwa; hili nalo wewe huna akili ya kulitambua?
Toka mwanzo, lengo la Urusi lilifahamika ni eneo gani alilenga, lakini kwa watu kama wewe, ninayejua sababu zako za kufifisha akili, unajilazimisha iwe kama unavyota ionekane kuwa ndivyo.

Eneo la Mashariki mwa Ukraine na Crimea, ni maeneo ambayo siku zote Mrusi ana 'interest' nayo. Watu wa maeneo hayo wana asili ya Urusi.
Kabla ya hii vita aliyoingia, tayari kulikuwepo na mapigano kati ya vikosi vya Ukraine na waasi wa maeneo hayo; wewe haya huyajui, lakini unajidai hapa kuwa mjuaji kuliko wengine!
 
SQM 53.9??? Hili ni eneo dogo hata nusu ya uwanja wa mpira halifiki.
Huyo mleta mada hana ufahamu wowote wa vipimo hivi.
Sasa atakuja hapa kutetea kwamba alikuwa na maana ya "Square Mile".

Na hata kama angekuja na maana hiyo, maelezo yake kivita bado yatakuwa hayana msingi kabisa.
 
Huyo mleta mada hana ufahamu wowote wa vipimo hivi.
Sasa atakuja hapa kutetea kwamba alikuwa na maana ya "Square Mile".

Na hata kama angekuja na maana hiyo, maelezo yake kivita bado yatakuwa hayana msingi kabisa.
Kwa akili yako Square miles 53.9 ni eneo ambalo halizidi uwanja wa mpira. ? Tupe takwimu za total eneo ya Bakhmut na Soledar. Kama huna hoja ukalale. The reality is 53.9 SQKM
 
Hebu tulia kijana usijiaibishe mbele ya kadamnasi maana wanajua uwezo wako ulipokomea. Tulia ujifunze kwanza. Porojo weka pembeni hapa ni facts tu


Tena maswali yako yote umeshajibu Wewe mwenyewe kutoka hapa👇🏻

Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.
 
5. Putin amechezewa changa la macho why kiufupi wanamtaka mkuu wa wagnér na ili kumpata nikumpa tonge la nyama na kwa kuwa nimroho atalifakamia ila kichwa chake ndio hali yao while anafakamia nyama. Nyie tulieni Putin atalia kama ubwa alie acha yatima na mama yake while ana nyonya. Hii vita inapigwa kwa akili kubwa sana kiasi Kuna siri siwezi kuziandika hapa ila tulieni Mrusi atalia kiasi Dunia itasikia. Siku za Putin ni fupi sana kuliko kesho na anajuwa muda wake upo ukingoni. Huwezi pigana vita huna chakula huna pesa.
Takataka hii imeandika uoze..mswahili alishashiba kisamvu na dagaa mchele..baas kutwa kucha ni kucheza vigoma tu! Wewe unasiri kuzid KGB wewe! Ebu tuondolee bangi za msovera hapa.
 
Hivi kwa nini vijana wa zelesky ni mapopoma hivyo? Uzi upo kule nyie mnakuja kuanzisha takataka zingine humu..mood ebu toa hizi takataka..hatutaki dublication jf
 
Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.

Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.

Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.

Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.

Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.

Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQKM 53.9. Bakhmut ina SQKM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;

1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQKM 53.9 zimempa hasara au faida?

2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQKM 53.9 ambao ni wastani wa SQKM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQKM 482,960 ?

3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?

4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?

5. Kwa kuwa Prigozhin amesema tarehe 25/05/2023 atawaachia Russian Regular troops ili wakapate mapumzika na mafunzo zaidi. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
Peleka ujinga wako huko....
 
Kwahiyo wewe umeona kweli kuhakikisha usalama na kuwepo kwa Russia ni gharama ndogo kweli? Analysis yako ni ya layman militarily kuna sehemu ndogo 10km lakini ina umuhimu kuliko eneo lenye 10000 Square kilometer, nani kakwabia kwa 30.000 jeshi ndo walikufa Russia katimia macenary sio Red army......bado urusi inanguvu hata Nato inakubali kabisa.
ulivyoandika kishabiki! utafikiri shabiki wa Yanga!
 
Kwa akili yako unadhani ni Urusi pekee inayopoteza rasilimali kwenye hii vita. Vipi Marekani na nchi nyingine za NATO hawapotezi rasilimali na kuharibu uchumi wao kwa kutuma mabilioni ya fedha na silaha Ukraine yaliyo nje ya bajeti zao?
Mataifa ya Magharibi wanatoa ziada kuisaidia Ukraine lakini Urusi inatoa kile kinachohitajika sana kwa maendeleo ya nchi yake na maisha ya watu wake.

Kumbuka uchumi wa Urusi ni mdogo zaidi ya mara 10 ya uchumi wa US. Uchumi wa Urusi ni mdogo kuliko wa Germany, Uk, France, South Korea, Japan, Italy, halafu hao wenzake ambao wana uchumi mkubwa kuliko yeye Mrusi wanachangia kuisaidia Ukraine.

Marekani hata akitoa 1% ya uchumi wake kuisaidia Ukraine itakuwa ni zaidi ya dola billion 200, ambayo itakuwa ni pesa nyingi sana kwa Ukraine, na itakuwa ni nyingi mno kwa Urusi kuitumia kwenye vita. Na hiyo ni Marekani pekee. Je, mataifa yote ya Magharibi yakiamua kila moja kutumia 1% tu ya mapato ya mataifa yao, itakuwa ni pesa kiasi gani? Na je, Urusi itaweza kutumia kiasi hicho kwa vita tu?

Asikudanganye mtu, vita ni pesa, halafu ndiyo inafuata tekinolojia na ari ya wapiganaji. Kama huna pesa, vingine vyote haviwezi kukupa ushindi.

Ingekuwa Ukraine imeivamia Urusi, Urusi iwe inapigana na mvamizi nchini mwake, nafasi ya ushindi ingekuwa kubwa kwake, lakini kwa vile ameivamia nchi ya watu wengine, na aliyevamiw. a ana ari ya kumwondoa mvamizi, tena akiwa na support kubwa ya mataifa mengine, Urusi kamwe haiwezi kushinda, itakachofanikiwa ni kuiharibu tu Ukraine na kuwaua raia wasio na kosa, lakini naye akijiangamiza kabisa.
 
Bro acha uongo! Hivi Leopard tanks siyo advanced weapon ya NATO? Patriot Missile System haimo kwenye NATO arsenal?
Vyote ulivyovitaja siyo advanced weapons za NATO. NATO wana sera yao, hawauzi silaha yoyote ya latest technology kwa Taifa lolote. Watakapoiweka kwenye market, tayari wanayo iliyo na uwezo mkubwa zaidi.
 
Lini NATO uliwauliza wakakwambia Urusi ana nguvu? Natamani watu wawe wanakuja na reasoning kama hii ya jamaa aliyeweka mambo logically kwamba kama Urusi imetumia muda mwingi kwa eneo dogo kama hilo, je kwa eneo kubwa zaidi itakuwaje? Hiyo ndo logic. Siyo mtu anakuja na ushabiki tu ambao hatuwezi kupima physically wala logically!
Na huo mji, warusi wameuawa kama kuku hadi kiongozi wa Wagner kutamka wazi kuwa wapiganaji wake wameisha, waliosalia anataka wakapumzike, na majeshi ya Urusi yakachukue nafasi zao.

Haya hapa ni maelezo ya kundi la wapiganaji Warusi waliopo Ukraine wanaotaka kumwondoa Putin. Jana wamefanikiwa kuingia Urusi, na kushambulia.

For months Ukrainian commanders in charge of troops on the ground, and the troops themselves, have scratched their heads over why Russia was prepared to invest so much material, and spend so many Russian lives, on trying to capture a town that has no obvious tactical, let alone strategic, value.

Wagner, and whoever is paying the company’s bills, were profligate with its people.

In December, a member of the International Legion of Defense of Ukraine, fighting in a group of about a dozen men to the south of the town, called from the front line.

“It’s incredible,” he told me. “Those Wagner guys come in waves of, like, 40 at a time. We kill 35. Five get into a trench or a house, then they send another 40 and we shoot another 35 or so. We’re just cutting them down like grass.”

It was assumed the “musicians,” as pro-Russian groups like to call the mercenaries, were largely prisoners. Yevgeny Prigozhin, the head of the company, likes to call them “recidivists.” These convict recruits, some of them facing long sentences, were offered freedom if they survived six months at the front.

Clearly many did not. Instead, they were thrown into what both sides call the “meat grinder.”

“They’re coming at us all the time. We don’t know why they value Bakhmut so much but we know where they are and we know where to kill them,” said a brigade commander at the end of last year.
 
Back
Top Bottom