Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

Ukraine hawana chaguo jingine zaidi ya kupigana. Huwezi kuuliza eti wanapata faida gani!! Adui ameingia nchini kwao ametwaa maeneo, utakaa kimya?

Kwa upabde wa NATO, kumbuka kuna mataifa wanachama wa NATO yaliyokuwa sehemu ya USSR ambayo tayari yalikwishatishiwa na Russia, nayo kuvamiwa. Kama Russia angefanikiwa alichokitaka kwa Ukraine, next yangekuwa ni hayo mataifa. Mataifa haya yanaiona Ukraine inapigana kwa niaba ya mataifa yao pia.

Wachangiaji na Pro Russia wengi wanashindwa kuelewa dhana hii kuhusu NATO na ushiriki wa nchi zilizojiunga NATO kuisaidia Ukraine.

NATO ni entity inayojitegema na ina resources zake (Financing, Military equipment na Human resources). Inachangiwa financing na wanachama wake tu. Inanunua vifaa vya kivita kwa mahitaji yake kwa technology inayoitaka kwa mazingira ua wakati husika. Siyo kwamba inapewa donation ya silaha kama nchi zinavyofanya kwa Ukraine la hasha.

Watu wengi wanafikiri USA, German, UK and allies kuisaidia kifedha, kujenga uwezo na vifaa vya kivita Ukraine kuwa ndo NATO anapigana na Russia. Hakuna kitu Russia anachokiogopa kama akiingia battle direct na NATO, hiyo mistake Russia hatakuja aifanye maana anajua hatachukia round. Russia anajua High precision equipment with high technology millitary equipments anazotumia NATO. Hakuna military equipment ambayo NATO anazitumie zimeenda Ukraine. Hata USA, German vifaa anavyotoa vina technology ya chini kuliko anavyotumia NATO.

Ushiriki wa NATO ni kutoa wataalam wa kuwafundisha Wanajeshi wa Ukraine kwenye vifaa vinavyotolewa kwa Ukraine maana yeye NATO amevitumia sana siku za nyuma ana uzoefu mkubwa sana kuhusu hivo vifaa. Pia kuwapa military tactical. Lakini siyo kwamba NATO anapeleka majeshi yake au vifaa vyake kwa Ukraine.
 
Hapo kwenye SQM uko sahihi kweli!!!?? Yaani mji uwe na SQM 53!!!???
Kama unaona takwimu haiko sawa tupe ya kwako ili watu walinganishe. Hoja hujibiwa kwa hoja siyo porojo. wewe unaona ni issue ya typo error ndogo hivo ya SQM badala ya SQKM.

Mimi nimetoa takwimu ya Bakhmut na Soledar zina ukubwa kiasi gani. Jumla ni 53.9SQKM
 
Mkuu umeanza mada vizuri sana kuelezea umuhimu wa Bakhmurt kwa ufasaha kabisa.

Lakini maswali yako yanajijibu yenyewe kwenye hoja yako.

Kwenye swali 1, nguvu kubwa sio kumiliki eneo bali kukalia eneo ili kuwezesha operation kwenye mingine. Hii sio kwa Urusi tu hata Ukraine imefanya hivyo kwa kujua kuippteza Bakhmurt ni kupoteza maeneo mengi yanayolindwa strategically na Bakhmurt. Ni kama hapa Tanzania poppte unapoona kuna kambi ya jeshi hilo eneo ni mahsusi kulinda maeneo fulani nyeti.

Swali 2: swali lina ukakasi kwa maana umeifanya Urusi kwa miazi 15 imechukua mile 59. Hii si kweli chukua eneo lote la Ukraine lilichukuliwa gawanya na miezi ndio ujue kwa kipindi chote amefanikiwa kwa kiasi gani kwa siku, week, Mwezi au miezi 15. Ni kweli maeneo hayo mawili yalikua na ugumu sana kwa sababu tu ya unyeti wake.

USA amepigana miaka 11 huko Afganistan lakini alishindwa kuyafikia baadha ya maeneo na ndio maana siku tatu tu US walipotangaza kuondoka wenyewe walichukua nchi yao na vifaa vita vyote vya kijeshi vya US vilichukuliwa. Nimekupa huu mfano utambue ugumu wa kufika baadhi ya strategic area au umuhimu wa kuwa na stratevic position over your opponent.

Swali 3:Umelijibu katika maelezo yako kwamba kuanguka kwa Bakhmurt kunaongeza urahisi wa usafirishaji wa vifaa na wapiganaji na kurahisisha kuvamia maeneo mengine. Ingawa lengo la Urusi sio kukalia maeneo ya Ukrain bali kuondoa silaza zote za NATO, kuifanya Ukraine isiingie NATO, na kuondoa element zote za kinazi.

Swali 4 n 5, yanashabihiana. Umetoa mfano wa Kakhiv na kwengine waliwithdraw ndio kwa sababu ya risk kubwa iliyokuwepo ya kubomoa dam na kuvunja Daraja na kugawa wanajeshi waliopo ngambo ambapo wangekosa namna ya kupata msaada wa haraka wa vifaa na hata wapogananaji busara ikaonekana warudi nyuma hadi ngambo ya mto. Sambamba na hilo hata walichokuwa wanataka kukilinda hakipo eneo husika wakarudi nyuma kulinda askari na vifaa badala vipelekwe sehemu yenye uhitaji.

Kumbuka Ukraine anapigana na kikundi cha mgambo well trained Wagner, hawana ndege, hawana air power vyote vipo kwenye jeshi la Urusi. Unawezaje kuhoji uwezo wa Jeshi la Urusi kushilikia eneo husika kama Wagnerwataenda mapumziko.

Tutapata taarifa ya raia wa nchi ngapi wamehusika kupigania Bakhmurt upande wa Ukraine soon tutapata taaifa na wangapi walikuwa neutralized
Nashukuru kwa maoni na mtazamo wako. Ila kwenye hoja #3 imenipa ukakasi sana. Ngoja niulize maswali haya unipe majibu.

"Umesema kwamba lengo la Russia siyo kukalia maeneo ya Ukraine bali kuondoa silaha zote za NATO na kuifanya Ukraine isijiunge na NATO"

1. Russia alipoikalia kwa mabavu Crimea ambayo ni mkoa wa Ukraine tangu 2014 mpaka sasa ameondoa silaha zipi za NATO?

2. Unataka kutuaminisha kuwa Russia kuivamia Ukraine ni njia ya kuondoa silaha za NATO. Je, Ukraine kuna ghala au store ya silaha za NATO. ?

3. NATO ana military base Ukraine?

4. Russia anawezaje kuondoa silaha za NATO ambazo ziko kwenye Military base zake mbali mbali ikiwemo base ya Romania. Kwa nini hajaivamia Romania ambaye ni mwanachama wa NATO na kuna military base ya NATO pale?

5. Russia ana uwezo wa kuizuia Ukraine isijiunge EU au NATO?

6. Kama lengo la Russia siyo kukalia maeneo ya NATO mbona Crimea kaikalia kwa ubabe.
 
Mkuu umeanza mada vizuri sana kuelezea umuhimu wa Bakhmurt kwa ufasaha kabisa.

Lakini maswali yako yanajijibu yenyewe kwenye hoja yako.

Kwenye swali 1, nguvu kubwa sio kumiliki eneo bali kukalia eneo ili kuwezesha operation kwenye mingine. Hii sio kwa Urusi tu hata Ukraine imefanya hivyo kwa kujua kuippteza Bakhmurt ni kupoteza maeneo mengi yanayolindwa strategically na Bakhmurt. Ni kama hapa Tanzania poppte unapoona kuna kambi ya jeshi hilo eneo ni mahsusi kulinda maeneo fulani nyeti.

Swali 2: swali lina ukakasi kwa maana umeifanya Urusi kwa miazi 15 imechukua mile 59. Hii si kweli chukua eneo lote la Ukraine lilichukuliwa gawanya na miezi ndio ujue kwa kipindi chote amefanikiwa kwa kiasi gani kwa siku, week, Mwezi au miezi 15. Ni kweli maeneo hayo mawili yalikua na ugumu sana kwa sababu tu ya unyeti wake.

USA amepigana miaka 11 huko Afganistan lakini alishindwa kuyafikia baadha ya maeneo na ndio maana siku tatu tu US walipotangaza kuondoka wenyewe walichukua nchi yao na vifaa vita vyote vya kijeshi vya US vilichukuliwa. Nimekupa huu mfano utambue ugumu wa kufika baadhi ya strategic area au umuhimu wa kuwa na stratevic position over your opponent.

Swali 3:Umelijibu katika maelezo yako kwamba kuanguka kwa Bakhmurt kunaongeza urahisi wa usafirishaji wa vifaa na wapiganaji na kurahisisha kuvamia maeneo mengine. Ingawa lengo la Urusi sio kukalia maeneo ya Ukrain bali kuondoa silaza zote za NATO, kuifanya Ukraine isiingie NATO, na kuondoa element zote za kinazi.

Swali 4 n 5, yanashabihiana. Umetoa mfano wa Kakhiv na kwengine waliwithdraw ndio kwa sababu ya risk kubwa iliyokuwepo ya kubomoa dam na kuvunja Daraja na kugawa wanajeshi waliopo ngambo ambapo wangekosa namna ya kupata msaada wa haraka wa vifaa na hata wapogananaji busara ikaonekana warudi nyuma hadi ngambo ya mto. Sambamba na hilo hata walichokuwa wanataka kukilinda hakipo eneo husika wakarudi nyuma kulinda askari na vifaa badala vipelekwe sehemu yenye uhitaji.

Kumbuka Ukraine anapigana na kikundi cha mgambo well trained Wagner, hawana ndege, hawana air power vyote vipo kwenye jeshi la Urusi. Unawezaje kuhoji uwezo wa Jeshi la Urusi kushilikia eneo husika kama Wagnerwataenda mapumziko.

Tutapata taarifa ya raia wa nchi ngapi wamehusika kupigania Bakhmurt upande wa Ukraine soon tutapata taaifa na wangapi walikuwa neutralized
Majibu yangu kuhusu maelezo yako ya #1 &2.

1. Hoja yangu ni kwamba Bakhmut ni Military strategic position na Russia kaichukua. Je, ni kweli ataweza kusonga mbele kwenda kwenye miji mingine niliyoitaja kama lengo kuu la kuikamata Bakhmut.

2. Kama counter attack iliyofanywa na Ukraine kuanzia tarehe 09 - 15/05/2023 imeleta mafanikio makubwa kwa Ukraine kuchukua eneo kubwa alilokuwa amelishikiria Russia tangu January 2022 kwa lengo la kukata logistic supply ya Russia. Je, counter offensive inayosubiliwa kwa hamu ikianza ataweza kumudu kuendelea kuikalia Bakhmut na Soledar?
 
Ufutwe tu, hauna hadhi ya kubaki jf...kama mtoa mada kashindwa kutofautisha sqm na sqkm kuna haja gani ga kubaki na uzi wa ovyo namna hii!!??
Ufutwe kwa sababu huna hoja au unataka kusikia kuwa Russia ni super power anayeichakaza USA na NATO?

Ulipozimulia itakuwa ni ile gongo ya mwanzoni.
 
Kweli ni hasara, kwanini ametumia muda mrefu? Lakini Kuna maswali Je idadi ya askali waiiokufa inaakisi uzito wa Vita. Kweli nihao au pungufu au zaidi ,vip adui yake NATO. YEYE amepata faida gani? Tuangalia Kwa jicho la tatu hivi ni vita vya kuchoshana sio kutafuta ushindi wa haraka.Wangetaka haraka wangetumia nyuklia. Pia ilikuepusaha maafa ya askali wengi SASA hivi Urusi anapigana Kwa uangalifu kuliko pale mwanzoni sababu ameshajua kuwa anapigana na NATO na washirika wao. HIVI NI VITA VYA KISASA ZAIDI KUWAHI KUPIGANWA. UNAHITAJI KUMSOMA ADUII WAKATI UNAENDELEA KUPIGANA
.
Screenshot_20230516-205847.jpg
 
Tangu Urusi aivamie Ukraine Feb 2022 ni miezi 15 sasa, kuna mengi tumeona na kusikia kwa kila upande katika uwanja wa vita.

Kuna maeneo matano (5) ambayo Urusi na Ukraine wameyafanya kuwa ni ngome za mapigano. Miji hii ni Bakhmut, Soledar, Avdiivka, Kreminna na Vuhledar.

Katika miji hii miwili tu ndo imekuwa maarufu zaidi ambayo ni Bakhmut na Soledar. Hii ni kwa sababu ina umuhimu wake katika medani za kivita. Miji hii ni millitary strategic positions.

Urusi iliwekeza nguvu kubwa sana Bakhmut na Soledar, kwa maana ya millitary equipments na personnel. Waliwekeza nguvu kubwa kwa sababu waliamini kuwa wakiiteka Soledar na Bakhmut basi itakuwa rahisi kwao kusonga mbele kwenye miji mingine muhimu kama Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka. Bakhmut ndio Center (Military Hub) ya kuifikia miji hii sababu ni makutano ya njia kuu kutoka Horlivka, Luhans'ke, Popasna na Lysychans'k.

Urusi Kuichukua Bakhmut na Soledar kajihakikishia kuwa supply logistic (kwa barabara na Reli) itakuwa imara kwenda frontline.

Ni kweli Bakhmut na Soledar ziko mikononi mwa Urusi kwa 100% hilo halina ubishi, akibisha mtu basi ujue tangu akiwa tumboni alikuwa mbishi. Lakini ukweli ni kwamba Hasara ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Nakiri kuwa pande zote mbili zimepoteza resources kubwa (military equipment and personel). Lakini zaidi Urusi imepoteza wanajeshi wake wengi zaidi ya 30,000 waliokufa achilia mbali majeruhi kwa eneo dogo lenye jumla ya SQKM 53.9. Bakhmut ina SQKM 41.6 na Soledar 12.3. Bado nasisitiza Hasara aliyopata Urusi ni kubwa kuliko Faida aliyopata.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Mimi nitauliza maswali machache na mengine mtaongezea;

1. Nguvu kubwa na rasilimali aliyowekeza Urusi kwa miezi 15 kwa Bakhmut na Soledar zenye eneo la jumla ya SQKM 53.9 zimempa hasara au faida?

2. Kama anaweza kupigana kwa miezi 15 na kufanikiwa kuchukua eneo la SQKM 53.9 ambao ni wastani wa SQKM 3.6 kwa mwezi. Itamchukua muda gani kuichukua Ukraine yote kwa eneo ambalo hajalichukua zaidi ya SQKM 482,960 ?

3. Kama imemchukua miezi 15 kuichukua Bakhmut na Soledar tu kwa direction ya Donetsk ni kweli ataweza kuichukua miji ya Slovyansk, Kramatorsk, Sivers'k, na Kostyantynivka, ukizingatia kuwa kila siku Ukraine wanazidi kuimarisha frontline na anga lao?

4. Urusi ataweza kuishikilia Bakhmut na Soledar kwa miezi 3 ijayo.? Au utakuwa ni ushindi wa muda kama ilivyokuwa Kwa Kherson city, Kharkiv na maeneo mengine?

5. Kwa kuwa Prigozhin amesema tarehe 25/05/2023 atawaachia Russian Regular troops ili wakapate mapumzika na mafunzo zaidi. Je, Russia regular troops watamudu peke yao kuushikilia mji wa Bakhmut bila Wagner?
Mkuu jaribu kufuatilia page ya YouTube ya mtu anaitwa Alexander Mercouris, ni pro-Russia lakini ana habari za uhakika sana hizi MSM zote naona kama hawamfikii.
Leo nilikua naangalia, alisema counter offensive yoyote ya Ukraine Bakhmut, itashindwa vibaya sana na itawaachia Ukraine majeraha ambayo hawataweza kuyatibu.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru kwa maoni na mtazamo wako. Ila kwenye hoja #3 imenipa ukakasi sana. Ngoja niulize maswali haya unipe majibu.

"Umesema kwamba lengo la Russia siyo kukalia maeneo ya Ukraine bali kuondoa silaha zote za NATO na kuifanya Ukraine isijiunge na NATO"

1. Russia alipoikalia kwa mabavu Crimea ambayo ni mkoa wa Ukraine tangu 2014 mpaka sasa ameondoa silaha zipi za NATO?

2. Unataka kutuaminisha kuwa Russia kuivamia Ukraine ni njia ya kuondoa silaha za NATO. Je, Ukraine kuna ghala au store ya silaha za NATO. ?

3. NATO ana military base Ukraine?

4. Russia anawezaje kuondoa silaha za NATO ambazo ziko kwenye Military base zake mbali mbali ikiwemo base ya Romania. Kwa nini hajaivamia Romania ambaye ni mwanachama wa NATO na kuna military base ya NATO pale?

5. Russia ana uwezo wa kuizuia Ukraine isijiunge EU au NATO?

6. Kama lengo la Russia siyo kukalia maeneo ya NATO mbona Crimea kaikalia kwa ubabe.
Boss No buddy knows ni ipi hasa aim ya Russia kufanya hii anayoita Special Ops ... Ingawa wana aminisha ulimwengu juu ya hizo sababu zao but maswali unayouliza hakuna mtu atakaeweza kukujibu directly isipokuwa Uongozi wa Russia pekee na hii ni Kwasabab naamini wao wanataka tusikie tunachotaka kusikia na kuamini pia bt kwa mtazamo wangu naona kuna zaidi ya hizo sababu zao ingawa czijui ni zipi hasa
 
1. Nina lengo la kuwaMfanyabiashara tajiri, ila usije kesho tu ukasema 'Mbona hadi leo hujawa tajiri kumbe hata hilo sio lengo lako kweli, utakuwa na malengo mengine wewe'.
2. Nikijibu kama ulivyoulizwa ntasema labda SMO imepelekea hiyo vita unayosema. Kama ambavyo ukinikuta nimekuwa mwanasiasa baada ya kuwa mfanyabiashara tajiri usishangae.
3. Hahahahaah, Ndiyo...... maadui zake.
Unaulizwa maswali. Tunategemea ujibu badala yake unakuja na porojo. Kama huna hoja bora ukae kimya kuliko kuanika hadharani uwezo wa uelewa wako ulivyo na ukomo wa fikra zako
 
Mkuu jaribu kufuatilia page ya YouTube ya mtu anaitwa Alexander Mercouris, ni pro-Russia lakini ana habari za uhakika sana hizi MSM zote naona kama hawamfikii.
Leo nilikua naangalia, alisema counter offensive yoyote ya Ukraine Bakhmut, itashindwa vibaya sana na itawaachia Ukraine majeraha ambayo hawataweza kuyatibu.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Tayari umeshasema ni Pro Russia (Propagandist) then unategemea output ipi?. Unaweza kupata embe kwenye mti wa mpera?

What facts he laid down?
 
Unaulizwa maswali. Tunategemea ujibu badala yake unakuja na porojo. Kama huna hoja bora ukae kimya kuliko kuanika hadharani uwezo wa uelewa wako ulivyo na ukomo wa fikra zako
😆🤣
 
Boss No buddy knows ni ipi hasa aim ya Russia kufanya hii anayoita Special Ops ... Ingawa wana aminisha ulimwengu juu ya hizo sababu zao but maswali unayouliza hakuna mtu atakaeweza kukujibu directly isipokuwa Uongozi wa Russia pekee na hii ni Kwasabab naamini wao wanataka tusikie tunachotaka kusikia na kuamini pia bt kwa mtazamo wangu naona kuna zaidi ya hizo sababu zao ingawa czijui ni zipi hasa
Maswali nayouliza yana very simple logic.
1. kupima uelewa (understanding) na level of thinking ya mhusika.
2. Kuweza kutenganisha porojo na facts. Porojo na facts ni kama maji na mafuta. Ndiyo màana wanashindwa kujibu hoja na akijibu unaona anaelea kama mafuta.
 
Ni mapema sana kusema kuwa Ukraine ataizunguka Bakhmut sijaziona hizo dalili zaidi ya propaganda.

Labda naye anaweza ikamchukua miezi kadhaa kuizunguka Bakhmut kama muda aliochukua Urusi. Counter offensive ikianza itatupa majibu
Dalili utazionaje nawe upo Chole, Kisarawe ndani ndani?
Tuachage ujuaji wa kibongo
 
Madam umekiri kuondoka kwa bakhmut na soledar basi tulia uchumi wa urusi watu waliudharau tangu zamani tu lakin wanaona aibu leo wao kwahiyo na wewe huna tofauti na wao ambao wanapenda kufanya propaganda mwisho wanaumbuka jengine ukileta idadi ya warusi wanaokufa bila kuleta na wa ukraine ni sawa na uzombi tu maana utakua umelinganisha wapi ili kupata idadi iliyo pungua zaidi
 
Maswali nayouliza yana very simple logic.
1. kupima uelewa (understanding) na level of thinking ya mhusika.
2. Kuweza kutenganisha porojo na facts. Porojo na facts ni kama maji na mafuta. Ndiyo màana wanashindwa kujibu hoja na akijibu unaona anaelea kama mafuta.
Boss hapo hamna facts isipokuwa kama utakuwa neutral lakin kama upo biased na sehemu moja hata wew ukipewa fact za upande wa pili hauwez kukubali so kwa nikuonavyo wew upo tayar biased hivyo hata understanding level yako usha i-limit tayar
 
Dalili utazionaje nawe upo Chole, Kisarawe ndani ndani?
Tuachage ujuaji wa kibongo
Kwa hiyo unafikiri watu wote wako Chole au Buza. Pole sana. Usichokijua ni kama usiku wa giza.

Muhimu endelea kuelimika kuhusu hii vita. Nimeona watu wengi ni ushabiki umewajaa badala ya kujawa na facts. Propaganda ndo zina drive watu kuliko facts.

1. Mfano mdogo ni kwamba jana Ukraine walikanusa kuwa Bakhmut haiko under full control ya Russia. Hizo ni propaganda, lakini ukweli Bakhmut city kwa 100% iko under control ya Russia.

2. Mfano mwingine. Russia walipiga propaganda kuwa wameziteketeza HIMARS, lakini hawajawahi kujeruhi hata HIMARS moja. Majuzi wakaja na propaganda na ili trend sana kwa pro Russia kuwa wame destroy Patriot. Lakini ukweli Machine ilikuwa inafanya kazi na Russia walijaribu kujiridhisha kwa kutuma missile zingine zikawa intercepted. USA wako very transparent sana hawafichi ukweli. Waliposema kuwa ni very minor damage na kwamba system bado inafanya kazi.

3. Kuna watu walianza kupiga porojo kuwa eti uchumi wa Russia umepanda kuliko hata baada ya vita. Lakini Putin akawaumbua kwa kusema kuwa Uchumi umeshuka na akataja sababu ni vita na vikwazo ambayo Russia imewekewa na West. Hata kama Putin asingesema hadharani kwa logic ndogo tu huwezi kusema eti uchumi wa Russia umepanda. This is Ridiculous!!!. Labda kwa mtu ambaye hajaenda shule ndo ataamini hilo.
 
Back
Top Bottom