MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Urusi alijaribu kuparamia Ukraine kisa hakutaka wajiunge NATO, sasa ndio kama kafungulia lango kuu, maana Finland na Sweden sasa wameruhusiwa kujiunga NATO, wamekidhi vigezo, ifahamike Finland ina mpaka na Urusi wenye kilomita 1,271.8 km, hiyo ni zaidi ya umbali wa Dar hadi Kigoma au Dar hadi Mwanza au Bukoba, yaani hata umbali wa Dar hadi Kigali bado haujakidhi urefu huo.
Kwa kifupi, NATO ndio kama wamefika mpakani kwa Urusi, na ifahamike sheria za NATO, Urusi hawezi kujichanganya au kujisahau akashambulia hata kakijiji kamoja tu ndani ya mwanachama wa NATO, yeye Urusi ana hulka ya kudhulumu majirani lakini huwa ako makini sana kwa vitaifa vilivyo na uanachama NATO.
=============================
NATO head Jens Stoltenberg said Finland and Sweden had fulfilled the conditions for joining the military alliance, although Turkey said it is not yet possible to judge if the July agreement has been fully implemented.
NATO Secretary General Jens Stoltenberg said on Thursday that Sweden and Finland were ready to join the military alliance.
Stoltenberg said the two Nordic states had delivered on Turkey's demands, paving the way for accession.
"It's time to welcome Finland and Sweden as members of NATO," he told a press conference alongside Turkish Foreign Minister Mevlut Cavusoglu in Istanbul.
"In these dangerous times it is even more important to finalize their accession, to prevent any misunderstanding or miscalculation in Moscow," Stoltenberg added.
Kwa kifupi, NATO ndio kama wamefika mpakani kwa Urusi, na ifahamike sheria za NATO, Urusi hawezi kujichanganya au kujisahau akashambulia hata kakijiji kamoja tu ndani ya mwanachama wa NATO, yeye Urusi ana hulka ya kudhulumu majirani lakini huwa ako makini sana kwa vitaifa vilivyo na uanachama NATO.
=============================
NATO head Jens Stoltenberg said Finland and Sweden had fulfilled the conditions for joining the military alliance, although Turkey said it is not yet possible to judge if the July agreement has been fully implemented.
NATO Secretary General Jens Stoltenberg said on Thursday that Sweden and Finland were ready to join the military alliance.
Stoltenberg said the two Nordic states had delivered on Turkey's demands, paving the way for accession.
"It's time to welcome Finland and Sweden as members of NATO," he told a press conference alongside Turkish Foreign Minister Mevlut Cavusoglu in Istanbul.
"In these dangerous times it is even more important to finalize their accession, to prevent any misunderstanding or miscalculation in Moscow," Stoltenberg added.