Urusi: Mwana kayataka, Finland na Sweden wamekidhi vigezo vya NATO

Urusi: Mwana kayataka, Finland na Sweden wamekidhi vigezo vya NATO

I hope hata Ukraine wanajutia ubishi wao

Wao wako kwao, kwanza hii ndio fursa imejitokeza ya kujitenga na Urusi, hata vitaifa vingine vyote ambavyo huwa kama kwenye gereza la Urusi vinasubiria kuona matokeo, ndio maana Urusi alijaribu sana kutumia nguvu nyingi maana anajua hivi vita vinamuweka pabaya sana kimuonekano, hata China wanajifanya uswahiba naye ila wanachekelea pembeni.
 
Kwa hiyo zitafikia nchi 32 dhaifu kijeshi zimeungana ili kupambana na mwanaume mmoja akichukia?
Ndiyo maana mpuuzi mmoja akisema Urusi ni dhaifu au nchi ya kawaida namtoa maanani.
Urusi ndiye Super power wa ukweli na ndiyo maana nchi dhaifu myingi zinaamua kushirikiana kujilinda dhidi yake.
Akili huna, Russia ni kubwa mara nne na zaidi kuizidi ulaya yote...
Haya Rwanda, Burundi, Lesotho, Swaziland zikiungana zaweza kuikaribia TZ?

Russia surface area take sio masihara
 
Wao wako kwao, kwanza hii ndio fursa imejitokeza ya kujitenga na Urusi, hata vitaifa vingine vyote ambavyo huwa kama kwenye gereza la Urusi vinasubiria kuona matokeo, ndio maana Urusi alijaribu sana kutumia nguvu nyingi maana anajua hivi vita vinamuweka pabaya sana kimuonekano, hata China wanajifanya uswahiba naye ila wanachekelea pembeni.
Umetoa kichwani kwako hii…

Western Hegemony pia inaweza kulala chini baada ya hii vita ndo powers wa east wana support Russia
 
Umetoa kichwani kwako hii…

Western Hegemony pia inaweza kulala chini baada ya hii vita ndo powers wa east wana support Russia

Angefanikisha kuparamia Kyev kwa spidi aliyokusudia, yote hayo yangeeleweka, ila kwa sasa hata Wahindi na Wachina wamemchoka Putin, China ilijaribu kumsaidia mwanzoni lakini kwa alivyo choka mbaya kwa sasa hajui pakutokea.
 
Akili huna, Russia ni kubwa mara nne na zaidi kuizidi ulaya yote...
Haya Rwanda, Burundi, Lesotho, Swaziland zikiungana zaweza kuikaribia TZ?

Russia surface area take sio masihara
Akili hana babaako, unajibu jibu kama tahira.
Bafo inabaki nchi dhaifu 32 zimejiunga kupambana na Urusi. Ukubwa wa eneo haufanyi nchi iwe powerful au dhaifu tumia ubongo vjzuri.
 
Akili hana babaako, unajibu jibu kama tahira.
Bafo inabaki nchi dhaifu 32 zimejiunga kupambana na Urusi. Ukubwa wa eneo haufanyi nchi iwe powerful au dhaifu tumia ubongo vjzuri.
Ukitoa Russia hiyo ulaya iliyobaki unajua ni ndogo kiasi gani?
Russia ni kubwa mara nne zaidi kuliko ulaya kwa hiyo sio jambo rahisi kupigana na nchi kubwa iliyo vizuri kijeshi
 
Back
Top Bottom