Ungeleta habari tu hiyo Si ingetosha… mpaka uisindikize na umbea na unazi?
Malizia na Uturuki kuibania Sweeden basi:
Kutoka kamasi ni kawaida kwa mwanaume anapopambana siyo upande wa mashoga.
Urusi anatolewa kamasi it's obvious. ...lakini yeye anawatoa damu Ukraine na mashoga zake 30...
Labda kama una lingine.
Nchi yoyote ya NATO imchokoze badi tuone nani mwanaume.
Urusi siyo Marekani, Urusi anaingia anapochokozwa tu au watu wake wanapoumizwa..
Unaitwaje huo muungano? na unahusisha nchi ngapi?
Usije ukawa unazungumza mambo ya 1980 kweusi.
Usishabikie kitu usichokijua, hii siyo movie ya Rambo.
Taarifa za kijasusi zinaeleza kuwa Putin amekamilisha maandalizi ya matumizi ya NUKE ndiyo maana ya push ya Fin na Swed kuharakisha mchakato wa kuingia NATOwakati huo huo Finland ikasema itakuwa tayari kuruhusu Marekani kuweka Makombora yake ya Nyuklia kule Finland.
Tuonane Bambalaga anagalau tuanzie hapo kwa hii wkend ya mwanzo wa mwezi na kuelekea mwisho wa mwakaHata Digidigi akijiingiza kwenye Target hushambuliwa na Simba zaidi ya 10 Hadi kifo na kufanywa kitoweo. Hiyo haimaanishi kwamba Simba mmoja atamshindwa Digidigi mmoja Bali Ni katika Kuonesha Ni jinsi gani Simba wanaweza kushirikiana hata kwa Jambo Dogo.
Simba mmoja hawezi mkamata digidigi,sababu Simba mzito na hawezi kimbia Masafa marefuHata Digidigi akijiingiza kwenye Target hushambuliwa na Simba zaidi ya 10 Hadi kifo na kufanywa kitoweo. Hiyo haimaanishi kwamba Simba mmoja atamshindwa Digidigi mmoja Bali Ni katika Kuonesha Ni jinsi gani Simba wanaweza kushirikiana hata kwa Jambo Dogo.
Kuna magaidi wanasumbua uturuki. Inadaiwa wanatokea Sweden.Huwa nina wasiwasi na Uturuki waliingiaje kwenye huo muungano, huwa wana ulakini fulani hivi ukizingatia dini yao, kuna siku watazingua.
Ni kama matamko ya Us kwa N korea. Kwan maamuz ya kuvamia Ukraine Si ni baada ya matamko ama?kachokozwa mara ngapi hadi kashikwa kidevu kila siku anatoa matamko na kuchora red lines, alianza kwa kusema atakayeisadia Ukraine kwa silaha ajiandae vita...
Alikidhi akiwa vitani?Hata Ukraine alikidhi tena kwa hati ya dharura mkajinasibu atajiunga vipi tayari kawa mwanachama? 🤣🤣🤣🤣
Ni kama matamko ya Us kwa N korea. Kwan maamuz ya kuvamia Ukraine Si ni baada ya matamko ama?
Wazungu wanafanya vitu kwa umakini mzee, hawakurupuki tu
Mkuu lakini leo hujaamkia yale mambo mambo yetu?Kwa hiyo zitafikia nchi 32 dhaifu kijeshi zimeungana ili kupambana na mwanaume mmoja akichukia?
Ndiyo maana mpuuzi mmoja akisema Urusi ni dhaifu au nchi ya kawaida namtoa maanani.
Urusi ndiye Super power wa ukweli na ndiyo maana nchi dhaifu myingi zinaamua kushirikiana kujilinda dhidi yake.
Usipotoshe,Ukraine anaanza na kuomba kujiunga EU kwanzaHata Ukraine alikidhi tena kwa hati ya dharura mkajinasibu atajiunga vipi tayari kawa mwanachama? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Russia walisema Finland na Sweden ikijiunga NATO atashambulia kitovu cha ulaya kwa nuclear lakini sasa mambo ndo hayo jamaa wanaenda zao NATO mrusi wa gongo la mboto hana la kufanya, anatia huruma putin kila anachokitolea warning watu wanakivunja halafu hana la kufanyaHongereni sana Urusi kwa kuogopwa
Nalog off Z
NATO ndio mbabe wa dunia hii, putini alionya sana hawa jamaa wasijaribu kupeleka ombi la kujiunga na NATO atawafanya majivu lakini lazima tufike mahali Russia amenywea kwa kauli zake uwezo mdogo sana wa kurespondWamechoka kulala vitandani wanataka kulala kwenye mahandaki
He wewe vipi, nchi zinazidi kujiunga NATO kuongeza idadi, Nchi 1 yoyote mwanachama wa NATO kwa Russia jinsi ilivyo dhaifu basi inaweza kupambana na Russia si kwambii umoja wa NATO. Zelensky mukimuita mchekeshaji lakini angalia anavyopiga mzigo na Russia mavi kitambaani mpaka mrusi amelazimika kukodi silaha kutoka Iran na North KoreaNATO inakufa taratibu,Putin akili kubwa.
“We are taking our decisive step by signing Ukraine’s application for accelerated accession to NATO,” Zelenskyy said on Friday.Usipotoshe,Ukraine anaanza na kuomba kujiunga EU kwanza
I hope hata Ukraine wanajutia ubishi waoMaamuzi ya kuvamia Ukraine yalikua ya kukurupuka, Urusi sio kama wazungu, kwenye akili zao wao ni kama Waarab, yaani wanajutia sana hayo maamuzi.