Urusi ni taifa lililolipia gharama kubwa kwenye Vita ya Pili ya Dunia 1939-1945

Urusi ni taifa lililolipia gharama kubwa kwenye Vita ya Pili ya Dunia 1939-1945

Pearce

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
667
Reaction score
1,582
TAIFA la Urusi lilikuwa chanzo cha Vita ya Dunia, Wakati Siasa za kifashisti zinazaliwa na kushamiri hasa Ulaya na Utanuzi wa mipaka kwa kuvamia nchi jirani

Molotov-Ribbentrop Pact 1939
Malengo wakigawana Ulaya Mashariki na Ndio ikawa chanzo cha vita ya pili ya Dunia sababu hatua za awali kabisa Soviet akavamia Finland.

Akinogewa ndipo akatafuta kupata mkataba wa kuwa mwanachama wa Axis Power, lakini Hitler alikuwa na malengo zaidi wakamnyamazia

Pengine hilo ndio kosa lililoifanya Soviet kulipa gharama kubwa kuanzia kiuchumi mpaka population ya watu wake

Inakadiliwa Soviet ilipoteza watu zaidi ya milioni 27

Ndio kinachoisumbua Urusi Leo Anaposema Multipolar World au Sphere of influence ni kujaribu kugawana Ulimwengu mezani akiamini yeye bado ni Soviet Union, na wakati huo wengi wenzake wa Warsaw Pact wakiwa kinyume chake na hata kushirikiana na adui zake (USA, UK, France) kumkabili na dhana yake ya Multipolar World lakini nyuma yake ni Imperialism.
 
TAIFA la Urusi lilikuwa chanzo cha Vita ya Dunia, Wakati Siasa za kifashisti zinazaliwa na kushamiri hasa Ulaya na Utanuzi wa mipaka kwa kuvamia nchi jirani

Molotov-Ribbentrop Pact 1939
Malengo wakigawana Ulaya Mashariki na Ndio ikawa chanzo cha vita ya pili ya Dunia sababu hatua za awali kabisa Soviet akavamia Finland.

Akinogewa ndipo akatafuta kupata mkataba wa kuwa mwanachama wa Axis Power, lakini Hitler alikuwa na malengo zaidi wakamnyamazia

Pengine hilo ndio kosa lililoifanya Soviet kulipa gharama kubwa kuanzia kiuchumi mpaka population ya watu wake

Inakadiliwa Soviet ilipoteza watu zaidi ya milioni 27

Ndio kinachoisumbua Urusi Leo Anaposema Multipolar World au Sphere of influence ni kujaribu kugawana Ulimwengu mezani akiamini yeye bado ni Soviet Union, na wakati huo wengi wenzake wa Warsaw Pact wakiwa kinyume chake na hata kushirikiana na adui zake (USA, UK, France) kumkabili na dhana yake ya Multipolar World lakini nyuma yake ni Imperialism.
USSR ndio ililipa hizo gharama ambapo nchi kama Ukraine, Georgia, Urusi n.k walishiriki kwenye hilo.

USSR ilisaidiwa Sana na Marekani kupitia Lend lease program kwa kupatiwa chakula, mavazi na silaha.

T14 Armata
 
Naona siku hizi vijana wa upinde mkishapindwa mnakuja kujiandikia ujinga tu kama kuku aliyekatwa kichwa
 
USSR ndio ililipa hizo gharama ambapo nchi kama Ukraine, Georgia, Urusi n.k walishiriki kwenye hilo.

USSR ilisaidiwa Sana na Marekani kupitia Lend lease program kwa kupatiwa chakula, mavazi na silaha.

T14 Armata
Usssr walikuwa wanajiweza hiyo Misaada kwa sababu ya alliance tu.
 
Nimesoma mistari minne ya mwanzo nikaona hii ni takataka. Kama unataka kuanzisha uzi kwanini usifanye tafiti kabla?
Ujinga Furushi, kusoma hutaki tukusaidiaje? UtafitI upi kama hata mkataba huo haujui unasema nini
 
USSR iishukuru Marekani kwa mchango wake wa kijeshi katika WWII la sivyo Moscow ilikuwa tayari inaenda na maji kwani majeshi ya Nazi yalikuwa chini ya kilomita 25 tu kutoka jiji la Moscow.

Mara ya kwanza USSR walizidiwa nguvu na Hitler na ndio maana USSR ndio ikawa nchi iliyopoteza raia wengi na wapiganaji wengi (milioni 27).
 
Urusi ndiyo iliiokoa dunia kutoka kwa mikono ya Hitler kama isingekuwa Joseph Stalin na baadae Nikita Cruschev dunia ingedondokea mikononi mwa Hitler na ni ukweli usiopingika kwamba at the end US iliisaidia Soviet lakini ule ulikuwa unafiki kwa sababu:

Ujerumani ilikuwa dhofli hali baada ya vita ya kwanza ya dunia na ikaporwa makoloni yake dunia nzima eg Tanganyiika na Afrika mashariki kwa ujumla alipewa mwingereza, swali Ujerumani ilipata wapi uwezo wa kuanzisha ww2 just after 19 yrs?
Ukweli ni kwamba US ndiye alimpa Hitler huo uwezo kwa kufadhili ujenzi wa viwanda vya silaha na fedha na lengo ilikuwa kuisambaratisha Soviet kwani wote Ujerumani na USA walikuwa hawaitaki kwani walikuwa wakipinga ukoloni yaani Soviet haikuamini ktk uchumi wa kutesa wengine au kunyang'anya wengine.

Baada ya vita kulipuka na baadae kuelekea Urusi na baadae Urusi kuanza kuifurusha Ujerumani ndipo US akaingia kuisaidia Soviet ili aonekane mwema baada ya kuona upepo umegeuka, kama huamini jiulize swali moja ni kitu gani kibaya ilichofanya Urusi au hata tangu wakati wa Soviet kilichopelekea US kuichukia kiasi hiki? Tangu kabla hatujazaliwa ni Soviet vs US or RUSSIA vs US ni kwanini? US ilipoona haitoshi ikaunganisha nchi zenye nguvu duniani NATO lakini ni dhidi ya Russia.

Kila nchi iliyokuwa ipo upande wa Urusi ilipata kibano mfano vita ya Vietnam kuanzia 1952 hata ilipokwisha bado US alivamia tena. Ukiacha huko njoo Korea zikipigwa hadi nchi ikakatika zikawa nchi mbili,
Ujerumani yenyewe ilipigwa na Soviet hadi katikati ndipo US akaiomba Soviet iishie hapo ndipo ikatokea Ujerumani Mash. na Magh. sasa kama kweli US ilimsaidia Soviet kwa roho moja hizi vurugu zimetokea wapi?
 
Urusi ndiyo iliiokoa dunia kutoka kwa mikono ya Hitler kama isingekuwa Joseph Stalin na baadae Nikita Cruschev dunia ingedondokea mikononi mwa Hitler na ni ukweli usiopingika kwamba at the end US iliisaidia Soviet lakini ule ulikuwa unafiki kwa sababu:

Ujerumani ilikuwa dhofli hali baada ya vita ya kwanza ya dunia na ikaporwa makoloni yake dunia nzima eg Tanganyiika na Afrika mashariki kwa ujumla alipewa mwingereza, swali Ujerumani ilipata wapi uwezo wa kuanzisha ww2 just after 19 yrs?
Ukweli ni kwamba US ndiye alimpa Hitler huo uwezo kwa kufadhili ujenzi wa viwanda vya silaha na fedha na lengo ilikuwa kuisambaratisha Soviet kwani wote Ujerumani na USA walikuwa hawaitaki kwani walikuwa wakipinga ukoloni yaani Soviet haikuamini ktk uchumi wa kutesa wengine au kunyang'anya wengine.

Baada ya vita kulipuka na baadae kuelekea Urusi na baadae Urusi kuanza kuifurusha Ujerumani ndipo US akaingia kuisaidia Soviet ili aonekane mwema baada ya kuona upepo umegeuka, kama huamini jiulize swali moja ni kitu gani kibaya ilichofanya Urusi au hata tangu wakati wa Soviet kilichopelekea US kuichukia kiasi hiki? Tangu kabla hatujazaliwa ni Soviet vs US or RUSSIA vs US ni kwanini? US ilipoona haitoshi ikaunganisha nchi zenye nguvu duniani NATO lakini ni dhidi ya Russia.

Kila nchi iliyokuwa ipo upande wa Urusi ilipata kibano mfano vita ya Vietnam kuanzia 1952 hata ilipokwisha bado US alivamia tena. Ukiacha huko njoo Korea zikipigwa hadi nchi ikakatika zikawa nchi mbili,
Ujerumani yenyewe ilipigwa na Soviet hadi katikati ndipo US akaiomba Soviet iishie hapo ndipo ikatokea Ujerumani Mash. na Magh. sasa kama kweli US ilimsaidia Soviet kwa roho moja hizi vurugu zimetokea wapi?
Mkuu umetisha sana sababu ni vijana wachache sana wameweza Kuandika historia Yao wenyewe mpya kabisa

Ambayo si African school of thought, Bourgeoisie wala Marxist wanaifahamu au walijaribu andika

Yaani ni historia ya kivyakovyako kimpango wako

Itabidi wakujengee sanamu lako kwenye ofisi za makao makuu ya jamii forum na chapisho lako liwe kwenye vitabu vinanze fundishwa vyuoni
 
Urusi ndiyo iliiokoa dunia kutoka kwa mikono ya Hitler kama isingekuwa Joseph Stalin na baadae Nikita Cruschev dunia ingedondokea mikononi mwa Hitler na ni ukweli usiopingika kwamba at the end US iliisaidia Soviet lakini ule ulikuwa unafiki kwa sababu:

Ujerumani ilikuwa dhofli hali baada ya vita ya kwanza ya dunia na ikaporwa makoloni yake dunia nzima eg Tanganyiika na Afrika mashariki kwa ujumla alipewa mwingereza, swali Ujerumani ilipata wapi uwezo wa kuanzisha ww2 just after 19 yrs?
Ukweli ni kwamba US ndiye alimpa Hitler huo uwezo kwa kufadhili ujenzi wa viwanda vya silaha na fedha na lengo ilikuwa kuisambaratisha Soviet kwani wote Ujerumani na USA walikuwa hawaitaki kwani walikuwa wakipinga ukoloni yaani Soviet haikuamini ktk uchumi wa kutesa wengine au kunyang'anya wengine.

Baada ya vita kulipuka na baadae kuelekea Urusi na baadae Urusi kuanza kuifurusha Ujerumani ndipo US akaingia kuisaidia Soviet ili aonekane mwema baada ya kuona upepo umegeuka, kama huamini jiulize swali moja ni kitu gani kibaya ilichofanya Urusi au hata tangu wakati wa Soviet kilichopelekea US kuichukia kiasi hiki? Tangu kabla hatujazaliwa ni Soviet vs US or RUSSIA vs US ni kwanini? US ilipoona haitoshi ikaunganisha nchi zenye nguvu duniani NATO lakini ni dhidi ya Russia.

Kila nchi iliyokuwa ipo upande wa Urusi ilipata kibano mfano vita ya Vietnam kuanzia 1952 hata ilipokwisha bado US alivamia tena. Ukiacha huko njoo Korea zikipigwa hadi nchi ikakatika zikawa nchi mbili,
Ujerumani yenyewe ilipigwa na Soviet hadi katikati ndipo US akaiomba Soviet iishie hapo ndipo ikatokea Ujerumani Mash. na Magh. sasa kama kweli US ilimsaidia Soviet kwa roho moja hizi vurugu zimetokea wapi?
USSR ingekuwa na nguvu kihivyo isingeambulia Ujerumani ndogo tu baada ya vita kumalizika na Ujerumani kubwa kutwaliwa na Marekani. Jiulize ilikuwaje.😰😰⁉️
 
USSR ingekuwa na nguvu kihivyo isingeambulia Ujerumani ndogo tu baada ya vita kumalizika na Ujerumani kubwa kutwaliwa na Marekani. Jiulize ilikuwaje.😰😰⁉️
Kipi hasa chanzo cha mgogoro wa kudumu kati ya Russia na US?
 
USSR iishukuru Marekani kwa mchango wake wa kijeshi katika WWII la sivyo Moscow ilikuwa tayari inaenda na maji kwani majeshi ya Nazi yalikuwa chini ya kilomita 25 tu kutoka jiji la Moscow.

Mara ya kwanza USSR walizidiwa nguvu na Hitler na ndio maana USSR ndio ikawa nchi iliyopoteza raia wengi na wapiganaji wengi (milioni 27)huelewi chochote kuhusu Soviet kupozeza watu wengi, Endapo Soviet ingekataa askari na raia wake wasife inama Hitlle alikua kashaikamata dunia yote coz Germany alishapiga wababe wote kikwazo ikawa ni Soviet
 
Urusi ndiyo iliiokoa dunia kutoka kwa mikono ya Hitler kama isingekuwa Joseph Stalin na baadae Nikita Cruschev dunia ingedondokea mikononi mwa Hitler na ni ukweli usiopingika kwamba at the end US iliisaidia Soviet lakini ule ulikuwa unafiki kwa sababu:

Ujerumani ilikuwa dhofli hali baada ya vita ya kwanza ya dunia na ikaporwa makoloni yake dunia nzima eg Tanganyiika na Afrika mashariki kwa ujumla alipewa mwingereza, swali Ujerumani ilipata wapi uwezo wa kuanzisha ww2 just after 19 yrs?
Ukweli ni kwamba US ndiye alimpa Hitler huo uwezo kwa kufadhili ujenzi wa viwanda vya silaha na fedha na lengo ilikuwa kuisambaratisha Soviet kwani wote Ujerumani na USA walikuwa hawaitaki kwani walikuwa wakipinga ukoloni yaani Soviet haikuamini ktk uchumi wa kutesa wengine au kunyang'anya wengine.

Baada ya vita kulipuka na baadae kuelekea Urusi na baadae Urusi kuanza kuifurusha Ujerumani ndipo US akaingia kuisaidia Soviet ili aonekane mwema baada ya kuona upepo umegeuka, kama huamini jiulize swali moja ni kitu gani kibaya ilichofanya Urusi au hata tangu wakati wa Soviet kilichopelekea US kuichukia kiasi hiki? Tangu kabla hatujazaliwa ni Soviet vs US or RUSSIA vs US ni kwanini? US ilipoona haitoshi ikaunganisha nchi zenye nguvu duniani NATO lakini ni dhidi ya Russia.

Kila nchi iliyokuwa ipo upande wa Urusi ilipata kibano mfano vita ya Vietnam kuanzia 1952 hata ilipokwisha bado US alivamia tena. Ukiacha huko njoo Korea zikipigwa hadi nchi ikakatika zikawa nchi mbili,
Ujerumani yenyewe ilipigwa na Soviet hadi katikati ndipo US akaiomba Soviet iishie hapo ndipo ikatokea Ujerumani Mash. na Magh. sasa kama kweli US ilimsaidia Soviet kwa roho moja hizi vurugu zimetokea wapi?
Safi sana mkuu! Umeeleza vizuri.
 
Back
Top Bottom