Urusi: Rais Putin aagiza wanajeshi wapya 137,000 kuajiriwa

Urusi: Rais Putin aagiza wanajeshi wapya 137,000 kuajiriwa

Usitegemee hii VITA WARUSI kushindwa.labda wamalize silaha zote mpaka za NUCLEAR.usalama wao ni kitu muhimu sana kwao
Soma historia chief. Walivyoingia afghanistan walisema hivyo hivyo marekan kawatengeneza wale wavaa vipedo mrusi alihenyeshwa mpaka akakubali yaishe akajiondokea na ndio kinachotokea hapo ukreini. Unawekewa vikwazo halafu huku watoto wa mjin wanatumia hela zako kumpa ukrein silaha mpaka ufilisike. Na asili ya vita hali ikiwa Mbaya wanajesh wanakugeuka.
 
Ivi unaelewa vizuri kiswahili.hii vita uwezi fananisha na vita vya AFGHANISTAN.kule hana ndugu wala hayupo hatarini kusogelewa na adui zake.yani yupo tayari kuondoka SYRIA ila sio UKRAINE.MAREKANI kwenyewe kakimbia AFGHANISTAN kwa sababu anapata hasara tu pasipo maana yoyote ile
Soma historia chief. Walivyoingia afghanistan walisema hivyo hivyo marekan kawatengeneza wale wavaa vipedo mrusi alihenyeshwa mpaka akakubali yaishe akajiondokea na ndio kinachotokea hapo ukreini. Unawekewa vikwazo halafu huku watoto wa mjin wanatumia hela zako kumpa ukrein silaha mpaka ufilisike. Na asili ya vita hali ikiwa Mbaya wanajesh wanakugeuka.
 
... hivi kwanini asipeleke kikosi cha makomandoo wachache wakamaliza vita badala ya kuteketeza raia wake hivyo?

Hao 137,000 wanaoajiriwa leo na kuanza kutumika ndani ya muda mfupi ujao (less than 6 months) kwa zaidi ya 80% wanaenda "kustawisha" mapori ya Ukraine I can assure you!
Nazidi kuamini habar za US kuwa Russia kapoteza askari zaidi ya 80,000.
 
Soma historia chief. Walivyoingia afghanistan walisema hivyo hivyo marekan kawatengeneza wale wavaa vipedo mrusi alihenyeshwa mpaka akakubali yaishe akajiondokea na ndio kinachotokea hapo ukreini. Unawekewa vikwazo halafu huku watoto wa mjin wanatumia hela zako kumpa ukrein silaha mpaka ufilisike. Na asili ya vita hali ikiwa Mbaya wanajesh wanakugeuka.
Usicheze na wavaa vipedo, si bora mrusi alishindwa kwasababu alikuwa peke yake. Je hao NATO wakiongozwa na babalao USA?? Zaidi ya nchi 30 zimekula nduki
 
Hiv
Ivi unaelewa vizuri kiswahili.hii vita uwezi fananisha na vita vya AFGHANISTAN.kule hana ndugu wala hayupo hatarini kusogelewa na adui zake.yani yupo tayari kuondoka SYRIA ila sio UKRAINE.MAREKANI kwenyewe kakimbia AFGHANISTAN kwa sababu anapata hasara tu pasipo maana yoyote i

Ivi unaelewa vizuri kiswahili.hii vita uwezi fananisha na vita vya AFGHANISTAN.kule hana ndugu wala hayupo hatarini kusogelewa na adui zake.yani yupo tayari kuondoka SYRIA ila sio UKRAINE.MAREKANI kwenyewe kakimbia AFGHANISTAN kwa sababu anapata hasara tu pasipo maana yoyote ile
Hii vita sio rahisi kwa Russia kama unavyofikiria chief. Urusi ilipigana na wachechen wakanyoosha mikono mapema tena wale jamaa walikuwa wanapigana na kesho tu. Hapo Georgia waliwapa kichapo hata mwez haukuisha nakuchukua jimbo napo walikuwa wanapigana na jeshi. Hapo wanapigana na wananchi pamojana jeshi mzee wakipata sapot ya westerners. Urusi sio ya kuipiga ukrein miez mzee ilikuwa ishu ya wiki 3 mzigo umeisha ngoma imekuwa ngumu maana wananchi wamekuwa wazalendo kama waafghan na ndicho imeifanya vita ngumu
 
Hiv



Hii vita sio rahisi kwa Russia kama unavyofikiria chief. Urusi ilipigana na wachechen wakanyoosha mikono mapema tena wale jamaa walikuwa wanapigana na kesho tu. Hapo Georgia waliwapa kichapo hata mwez haukuisha nakuchukua jimbo napo walikuwa wanapigana na jeshi. Hapo wanapigana na wananchi pamojana jeshi mzee wakipata sapot ya westerners. Urusi sio ya kuipiga ukrein miez mzee ilikuwa ishu ya wiki 3 mzigo umeisha ngoma imekuwa ngumu maana wananchi wamekuwa wazalendo kama waafghan na ndicho imeifanya vita ngumu
Wewe jamaa nafikili utakuwa na MAKENGEZA
 
Usicheze na wavaa vipedo, si bora mrusi alishindwa kwasababu alikuwa peke yake. Je hao NATO wakiongozwa na babalao USA?? Zaidi ya nchi 30 zimekula nduki
Afghan ingekuwa na mafuta mzungu asingewaachia chief pale ni hasara kwake
 
... hivi kwanini asipeleke kikosi cha makomandoo wachache wakamaliza vita badala ya kuteketeza raia wake hivyo?

Hao 137,000 wanaoajiriwa leo na kuanza kutumika ndani ya muda mfupi ujao (less than 6 months) kwa zaidi ya 80% wanaenda "kustawisha" mapori ya Ukraine I can assure you!
Hapa ndo ulipo ugumu wa kazi za jeshi, unaweza tamani kuwa Mwalimu ghafra
 
Lazima Urusi tujiweke tayari.
Ni mpumbavu pekee tu ndiye ataweza kupeleka jeshi vitani bila kufanya bulk recruiting
 
Leo Agosti 25, 2022 Putin ametia saini amri ya kuongeza ukubwa Jeshi kutoka Wanajeshi Milioni 1.9 hadi Milioni 2.04 ikiwa ni miezi 6 tangu kuanza Vita baina yake na Ukraine.

Kwa mujibu wa agizo lililotolewa leo kupitia Wizara ya Sheria, ongezeko hilo linajumuisha ajira mpya za Wanajeshi 137,000 ambao wanatakiwa kutumika kuanzia Januari 1,2023.

Agizo hilo linakuja wakati nchi za Magharibi pamoja na Ukraine zikidai kuwa idadi halisi ya Wanajeshi wa Urusi waliouawa kwenye vita inayoendelea ni takriban 45,000.

=============

Russian President Vladimir Putin signed a decree on Thursday to increase the size of Russia's armed forces from 1.9 million to 2.04 million as the war in Ukraine enters its seventh month.

Moscow has not revealed any losses in the conflict since its first weeks, but Western officials and the Kyiv government say they number in the thousands.

The increase includes a 137,000 boost in the number of combat personnel to 1.15 million. It comes into effect on Jan 1, according to the decree published on the government's legislative portal.

The last time Putin fixed the size of the Russian army was in November 2017, when the number of combat personnel was set at 1.01 million from a total armed forces headcount, including non-combatants, of 1.9 million.

Russia has not said how many casualties it has suffered in Ukraine since the first weeks of the campaign, when it said 1,351 of its soldiers had been killed.

Western estimates say the actual number could be at least 10 times that, while Ukraine says it has killed or wounded at least 45,000 Russian troops since the conlfict - which Moscow calls a special military operation - started on Feb. 24.

Kyiv has also been reluctant to publish information on how many of its soldiers have died in the war, but on Monday the head of Ukraine's armed forces said almost 9,000 service personnel had been killed in a rare update.

REUTERS
Hakuna jipya hapo anachofanya ni kureplenish jeshi lililochakazwa huko Ukraine
 
baada ya mwezi wote wameliwa tena vichwa maamae zao wacha wakajijeruhi wenyewe nao ili waondoshwe vitani., urusi imefeli sana
 
Wengi wenu humu hamna akili kwa kufikiria Russia anaongeza wanajeshi kwa sababu ya wanajeshi waliokufa ktk vita ya Ukraine. Russia a ajiandaa kwa vitakubwa sana kwani kuna dalili zote huko mbeleni vita kati ya Russia na NATO haikwepeki au kuna vita moja kubwa sana inakuja kutokea na sio mbali sana kutoka sasa
Sasa ndio waanze kutumika 2023, mbona Kama wewe ndio huna akili[emoji3]
 
Undugu wa kulazimisha uliuona wapi wewe mmatumbi??
Ivi unaelewa vizuri kiswahili.hii vita uwezi fananisha na vita vya AFGHANISTAN.kule hana ndugu wala hayupo hatarini kusogelewa na adui zake.yani yupo tayari kuondoka SYRIA ila sio UKRAINE.MAREKANI kwenyewe kakimbia AFGHANISTAN kwa sababu anapata hasara tu pasipo maana yoyote ile
 
Majimbo yote ya kusini kuna watu wa asili ya URUSI.majimbo yote ya kusini UKRAINE kuyalinda itakuwa ngumu maana viongozi mpaka wamanchi wao wanashirikiana na WARUSI.ila majimbo mengine kama KIEV au BUCHA ni ngumu URUSI kuyakalia hata kama atayachukua yana asilimia kubwa kurudi.

Hiv



Hii vita sio rahisi kwa Russia kama unavyofikiria chief. Urusi ilipigana na wachechen wakanyoosha mikono mapema tena wale jamaa walikuwa wanapigana na kesho tu. Hapo Georgia waliwapa kichapo hata mwez haukuisha nakuchukua jimbo napo walikuwa wanapigana na jeshi. Hapo wanapigana na wananchi pamojana jeshi mzee wakipata sapot ya westerners. Urusi sio ya kuipiga ukrein miez mzee ilikuwa ishu ya wiki 3 mzigo umeisha ngoma imekuwa ngumu maana wananchi wamekuwa wazalendo kama waafghan na ndicho imeifanya vita ngumu
images%20(59).jpeg
 
Back
Top Bottom