Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utaratibu wa kawaida kila mwaka kuajiriwa askari wapya. Kwani huko kwenu kwenye amani hamtoi ajira kwa wanajeshi/askari wapya?... hivi kwanini asipeleke kikosi cha makomandoo wachache wakamaliza vita badala ya kuteketeza raia wake hivyo?
Hao 137,000 wanaoajiriwa leo na kuanza kutumika ndani ya muda mfupi ujao (less than 6 months) kwa zaidi ya 80% wanaenda "kustawisha" mapori ya Ukraine I can assure you!
Na hapo alienda kwa mbwembwe na msafara wake wa 65km, ule msafara haupo tena.Watu wanasema hii sio Vita ni special operation ya kawaida tu, unapoteza wanajeshi 45k hiyo operation gani?
Umeelewa vipi hapo kwenye Kutumika 2023? Kwani mwanajeshi kutumika ni mpaka aende vitani? Hapa kwenue hawatumiki? Mna vita?Sasa ndio waanze kutumika 2023, mbona Kama wewe ndio huna akili[emoji3]