... hivi kwanini asipeleke kikosi cha makomandoo wachache wakamaliza vita badala ya kuteketeza raia wake hivyo?
Hao 137,000 wanaoajiriwa leo na kuanza kutumika ndani ya muda mfupi ujao (less than 6 months) kwa zaidi ya 80% wanaenda "kustawisha" mapori ya Ukraine I can assure you!