Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

Zelensky kaamza kujamba Jamba [emoji16][emoji16][emoji16]

#BREAKING Ukraine says it had 'nothing to do' with alleged Kremlin drone attack
kwan ni mara ya kwanza urusi kujishambulia ?
 
"Kitendo cha kutaka kumuua Rais wa nchi ni ugaidi tena wa wazi Rusia utalipa kea njia inayoona inafaa"

Kwa jinsi ninavyomjua Putin bila kulila kwa tukio hilo itakuwa dharau kubwa hapo tutegemee breaking news kutokea Kiev.
na kuua waukraine sio ugaidi ,nyiny wavaa kobaz kuna kaukichaa fulan hv mnacho
 
hawa wavaa kobaz wanashabikia undez wa Putin ila hawajui warusi halisi wanaumia moyon hawawez ongea ila nyuso za warus zinaonesha , mtu huez ikimbia vita ya nchi juwa kabisa umegundua kuwa ni ya kipumbav
 
na kuua waukraine sio ugaidi ,nyiny wavaa kobaz kuna kaukichaa fulan hv mnacho
Soma vizuri post yangu huwa sikuzote hauna akili ,kuweza kutype ni mafanikio makubwa kwa mtu kama wewe.

Huoni alama za funga semi kwamba nimequote from somewhere na kwamba hayo sio maneno yangu isipokuwa aya ya pili ?
 
Angalia uchumi wa urusi na nchi za ulaya magharibi wakina nani wanasota,,,, Ufaransa kwa sasa ni mwendo wa maandamano tu. Hali ngumu ya maisha
kisa wamezuiliwa kuongea ndo hunajikuta kipofu kuona wanavyoikimbia nchi yao ?
 
Yaani uingereza au Marekani aingie vita ya moja Kwa moja na nuclear superpower?aisee umetoa boko sana
usibishe jiulize kwann alikana kuwa na mpango wa kuivamia ukraine siku mbili kabla ya kuivamia ukraine ?
 
Unajuaje kwamba urusi anatactics zero?ebu tueleze mtaalamu wa vita kutoka buza? hakuna anayetaka vita vya nuclear Kwa Sababu hakuna mshindi kwahiyo marekani au uingereza hawezi kuthubutu kuingia vita na urusi.ebu jaribu kutumia Akili.
hiyo hapo Ukraine ni kielelezo tosha
 
Huyo ni mkubwa. Ni sawa na marekani kupiga mabomu mazito Afghanistan, Ila kurushwa kabomu kamoja ka mkono marekani ni ugaidi
una akili ndogo sana sijivunii kuwa mwafrika iwapo nitagundua nawewe ni mwafrika , akili za kishoga izooo , yaan sawa kuonewa kisa ww mdogo
 
waafrika ni vichaa mpk hapo mnaona sawa raia wema wanaouliwa na urusi huko ukraine ila wanaojitetea ni magaidi , ndio maana tunaitwa nyaniyy
 
kwan urusi anafanya nn ndan ya ukraine mpk iwe kosa ukraine kuingia urusi pia ?
 
Ukishambulia russia km ilikuwa kwa siku makombora 30 utaongezewa inakuwa makombora 100 kwa siku mpk ujute
Na ukiona ukraine wameanza kuingia huko russia, elewa wameshamjua mrusi nje ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…