Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

Urusi: Ukraine imejaribu kumuua Rais Putin kwa shambulizi la drone Ikulu ya Kremlin

Ingekuwa Russia inashambulika kirahisi hivyo sasa hv hata haipo!

Kuna kitu kinatengenezewa uhalali hapo........tutakijua na kukiona hv punde!!
Hizi zilikuwapo toka mwaka jana.
 

Kumbe kuna mtu kapigwa jana ndani, lazima aone machungu ya vita

Ukraine inajaribu lipa kisasi kwa Raia 23 waliouawa juzi.

Sasa Putin ni aamue atumie Nukes au aondoke Ukraine

Uzuri hizo drone zimetengenezwa na Ukraine wenyewe.

Wacha tusubiri majibu yake ndani ya hizi siku 3.
---

Russia claimed Wednesday that Ukraine tried to assassinate President Vladimir Putin in an overnight drone attack on the Kremlin.

The accusation, made without providing evidence and without immediate reaction from Kyiv, was the latest in a string of reported incidents inside Russia and far from the war's front lines.

In a statement on the Kremlin's website, Putin's press service said that Russian military and special services had disabled two attacking drones that were "aimed at the Kremlin."

It blamed the alleged attack on Ukraine and said that no one was hurt by falling debris from the alleged drone attack in the heart of Moscow.

"We regard these actions as a planned terrorist act and an attempt on the life of the president, carried out on the eve of Victory Day," the statement said, referring to the May 9 celebration of the Soviet Union’s victory over Nazi Germany in World War II.

"The Russian side reserves the right to take retaliatory measures where and when it sees fit," it added.

There was no immediate official reaction from Kyiv to the alleged thwarted assassination attempt. Russia has frequently accused Ukraine of planning attacks inside the country, often met with denials from Ukraine.

NBC News has reached out to the Ukrainian government for comment.

Following the news, Andriy Yermak, Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy’s chief of staff, posted three fire emojis on his Telegram channel without any commentary, but deleted the post shortly after.

Russian war hawks have also weighed in.

“Maybe it will kick off for real now?” Margarita Simonyan, head of the Russian state broadcaster RT, posted on Telegram.

Simonyan is one of the most vocal pro-war public figures in the country.

Kremlin spokesman Dmitry Peskov told state news agency RIA Novosti that Putin was not in the Kremlin at the time of the alleged attack, and was working out of a presidential residence near Moscow. The Kremlin said the president’s schedule was unaffected by the incident.

Peskov added that plans to hold the Victory Day parade in Red Square remain in place, according to the agency.

Some military analysts, however, questioned whether the alleged incident could be seen as an assassination attempt.

"This looks like #Ukraine (assuming it was Ukraine) is trying to bring the war home to #Russia, by hitting symbolic targets," said Michael A. Horowitz, a geopolitical and security analyst, and head of intelligence at Le Beck consultancy, in a tweet.

The alleged incident comes 14 months into Russia’s invasion of Ukraine and ahead of an expected counteroffensive by Kyiv's military.
Msikilizeni msemaje mkuu wa Ikulu wa Merikani, ndio mtajua kinacho endelea nyuma ya pazia - Zelenensky na genge lake hawana ubavu wa utaka kumuua Rais Putin - kuna watu wanampa kiburi hicho, nina wasi wasi hata Drones hizo zina kuwa assembled Ukraine kama kiiini macho kuzuga Dunia kwamba Ukraine ndio kuaunda Drones hizo hata Putin akilengwa/uwawa walaimiwe wa Ukraine kumbe muuaji alisi lakini nfio wanawatumia Ukraine kutekeleza malengo yao ya siku nyingi namely killing Putin at all cost forgetting that Russians too gotta such capability of eliminating the President of the Nation planning all these nonsense,

As I said the drone may be assembled in Ukrain as a smoke screen but the brains behind eliminating Putin are well known those are they one supplying electronic navigation and control systems, satellite signals for dgps to aid cordinates in zeroing on designated targets - I am sure Russian military and intelligence knows everything and who are culprit - who ever is handling Zelensky this time Zelensky has gone too far - whatever happens to him no one will be sorry and if there is still a nation or ana aliiance that are still determined to eliminate Putin that will trigger WW3 for sure which USA won't win no matterr what - Russian had been preparing for this type of battles years on end - they know how to intercept all ICBMs SLBM and land based, cruise missiles etc - It won't be easy for US/NATO to defeat Russians USA, thermonuclear arsenal notwithstanding, as I said Russians knows how to neutralise them with easy.
 
Supapawa anatishiwa mpaka ikulu kizembe hivi....hehehe
 
Duh. Hawa watoto wa Zelensky Mkandamizaji inaonekana wamejichokea kuishi. Ngoja putin awasaidie kwenda kwa baba kwa haraka na wepesi zaidi
Hii ninamashaka nayo unaonekana mpango wa kremrin si Ukrein!, Nadhani Urusi anataka kuongeza kipigo cha kulipiza trani yake kwahiyo anaongezea ongezea uzito
 
You talk too much, calm down boy.
Msikilizeni msemaje mkuu wa Ikulu wa Merikani, ndio mtajua kinacho endelea nyuma ya pazia - Zelenensky na genge lake hawana ubavu wa utaka kumuua Rais Putin - kuna watu wanampa kiburi hicho, nina wasi wasi hata Drones hizo zina kuwa assembled Ukraine kama kiiini macho kuzuga Dunia kwamba Ukraine ndio kuaunda Drones hizo hata Putin akilengwa/uwawa walaimiwe wa Ukraine kumbe muuaji alisi lakini nfio wanawatumia Ukraine kutekeleza malengo yao ya siku nyingi namely killing Putin at all cost forgetting that Russians too gotta such capability of eliminating the President of the Nation planning all these nonsense,

As I said the drone may be assembled in Ukrain as a smoke screen but the brains behind eliminating Putin are well known those are they one supplying electronic navigation and control systems, satellite signals for dgps to aid cordinates in zeroing on designated targets - I am sure Russian military and intelligence knows everything and who are culprit - who ever is handling Zelensky this time Zelensky has gone too far - whatever happens to him no one will be sorry and if there is still a nation or ana aliiance that are still determined to eliminate Putin that will trigger WW3 for sure which USA won't win no matterr what - Russian had been preparing for this type of battles years on end - they know how to intercept all ICBMs SLBM and land based, cruise missiles etc - It won't be easy for US/NATO to defeat Russians USA, thermonuclear arsenal notwithstanding, as I said Russians knows how to neutralise them with easy.
 
mnavyoa andika muwe na utafit kabla , warusi wenyew wanalia wanakuwa koloni la china kisa hii vita , yaan kila bidhaa hadi technology inaanza kuwa chini ya China
Leta utafiti wako na wewe.,, acha kulialia bwana yenu ndo hivo tena samwaleko
_20230504_081211.JPG
_20230504_081240.JPG
_20230504_081324.JPG
_20230504_081302.JPG
 

Kumbe kuna mtu kapigwa jana ndani, lazima aone machungu ya vita

Ukraine inajaribu lipa kisasi kwa Raia 23 waliouawa juzi.

Sasa Putin ni aamue atumie Nukes au aondoke Ukraine

Uzuri hizo drone zimetengenezwa na Ukraine wenyewe.

Wacha tusubiri majibu yake ndani ya hizi siku 3.
---

Russia claimed Wednesday that Ukraine tried to assassinate President Vladimir Putin in an overnight drone attack on the Kremlin.

The accusation, made without providing evidence and without immediate reaction from Kyiv, was the latest in a string of reported incidents inside Russia and far from the war's front lines.

In a statement on the Kremlin's website, Putin's press service said that Russian military and special services had disabled two attacking drones that were "aimed at the Kremlin."

It blamed the alleged attack on Ukraine and said that no one was hurt by falling debris from the alleged drone attack in the heart of Moscow.

"We regard these actions as a planned terrorist act and an attempt on the life of the president, carried out on the eve of Victory Day," the statement said, referring to the May 9 celebration of the Soviet Union’s victory over Nazi Germany in World War II.

"The Russian side reserves the right to take retaliatory measures where and when it sees fit," it added.

There was no immediate official reaction from Kyiv to the alleged thwarted assassination attempt. Russia has frequently accused Ukraine of planning attacks inside the country, often met with denials from Ukraine.

NBC News has reached out to the Ukrainian government for comment.

Following the news, Andriy Yermak, Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy’s chief of staff, posted three fire emojis on his Telegram channel without any commentary, but deleted the post shortly after.

Russian war hawks have also weighed in.

“Maybe it will kick off for real now?” Margarita Simonyan, head of the Russian state broadcaster RT, posted on Telegram.

Simonyan is one of the most vocal pro-war public figures in the country.

Kremlin spokesman Dmitry Peskov told state news agency RIA Novosti that Putin was not in the Kremlin at the time of the alleged attack, and was working out of a presidential residence near Moscow. The Kremlin said the president’s schedule was unaffected by the incident.

Peskov added that plans to hold the Victory Day parade in Red Square remain in place, according to the agency.

Some military analysts, however, questioned whether the alleged incident could be seen as an assassination attempt.

"This looks like #Ukraine (assuming it was Ukraine) is trying to bring the war home to #Russia, by hitting symbolic targets," said Michael A. Horowitz, a geopolitical and security analyst, and head of intelligence at Le Beck consultancy, in a tweet.

The alleged incident comes 14 months into Russia’s invasion of Ukraine and ahead of an expected counteroffensive by Kyiv's military.

Hapo vipi????? Kwa hali ya kawaida ni ngumu kuamini kuwa shambulio limetoka nje ya Urusi!!!!!!!!!!!!

Some commentators have argued that the alleged drone strike on the Kremlin was internally conducted and purposefully staged by Russia.
The Institute for the Study of War said it is "extremely unlikely that two drones could have penetrated multiple layers of air defence and detonated or been shot down just over the heart of the Kremlin in a way that provided spectacular imagery caught nicely on camera".
It said that "Russia likely staged this attack in an attempt to bring the war home to a Russian domestic audience and set conditions for a wider societal mobilisation".

Source:Bbc:04/05/2023
 
Kwa sasa dikteta uchwara Putin yuko anafoka hatari Ikulu na wasaidizi wake wanamuogopa kumwambia tujitoe ukrane kilichobaki ni kumsikiliza na kumjibu " tunalifanyia kazi mkuu" huku wakijua kabisa maji ni ya shingo,,alafu ni ngumu kuacha ugomvi uliouanzisha mwenyewe maana huwa ni aibu mpaka atokee mtu mwenye busara aamue ugomvi ushatepeta,,huku wahuni wamekaa pembeni wanafrahia burudani.Putin kakutana na kakijana katukutu kanamtoa jasho akikimbia atachekwa na ulimwengu sasa afanyeje!? Enyi warusi wa Kashozi,Bunena na Rubale msaidie mwenzenu mawazo
 
Hapo vipi????? Kwa hali ya kawaida ni ngumu kuamini kuwa shambulio limetoka nje ya Urusi!!!!!!!!!!!!

Some commentators have argued that the alleged drone strike on the Kremlin was internally conducted and purposefully staged by Russia.
The Institute for the Study of War said it is "extremely unlikely that two drones could have penetrated multiple layers of air defence and detonated or been shot down just over the heart of the Kremlin in a way that provided spectacular imagery caught nicely on camera".
It said that "Russia likely staged this attack in an attempt to bring the war home to a Russian domestic audience and set conditions for a wider societal mobilisation".

Source:Bbc:04/05/2023
Haya maelezo yanawezekana ndio sahihi zaidi katika hili shambulio la Kremlin.
 
Muda huu wkt vita inaendelea wakandarasi wa langrey wapo Moscow na Kremlin kumsaka Edward Snowden mpiga mbinja aliyekimbia na Siri za pentagon.

Na wanakaribia kumfikia.
hii ni kwa mujibu wa shangazi yangu ambaye Ni mtumishi pale viunga vya Virginia.
 
Kushambuliwa ikulu? Tulivyotangaziwa khs Russia na tunavyojionea ni tofauti kabisa.
 
Kremlin yenyewe ndo imepigwa na drone 2

Haijulikani kama ni Ukraine au Russia imeamua jitekenya na kucheka
Kama kweli drones za UKRAIN zimegusa Ikulu basi Rusia ana maumivu makubwa na hatangazi
 
Angalia uchumi wa urusi na nchi za ulaya magharibi wakina nani wanasota,,,, Ufaransa kwa sasa ni mwendo wa maandamano tu. Hali ngumu ya maisha
France wanaandhama kuongezewa Pencheni kama hapo bongo munavyomlalamikia Samia, hakuna uhusiano maandamano ya France na vita ya Ukrean wala vikwazo alivyoekewa mrusi ni hujitumi tu kutaka kujua mambo ya ulimwengu
 
Back
Top Bottom