Mwanamkiwi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 2,023
- 2,402
Uvamizi wa Ukraine pamoja na maelezo ya rais wa Urusi ni jaribio la kuanzisha ukoloni mpya. Nchi nyingi zinadai Urusi itoke tena katika nchi jirani na kulipia fidia.
Balozi wa Kenya alihotubia Umoja wa Mataifa akilaumu matendo ya Urusi. Tanzania ni kimya. Kwa nini?
Serikali haielewi ni nini kinachoendelea?
Serikali haijali kinachoendelea (kinyume na hotuba zote eti taifa linapinga ukoloni na kujivunia) ?
Serikali inaogopa kusema kitu kuhusu rafiki wa China?
Balozi wa Kenya alihotubia Umoja wa Mataifa akilaumu matendo ya Urusi. Tanzania ni kimya. Kwa nini?
Serikali haielewi ni nini kinachoendelea?
Serikali haijali kinachoendelea (kinyume na hotuba zote eti taifa linapinga ukoloni na kujivunia) ?
Serikali inaogopa kusema kitu kuhusu rafiki wa China?