Mwanamkiwi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 2,023
- 2,402
- Thread starter
- #61
Kaka usisahau historia halisi. Amin aliwahi kuvamia nchi nyingine, yaani akavamia Kagera. Ukarine haijavamia nchi yoyote.Nchi zote ulizotakwa zili/zinakaliwa kwa.mabavu. Russia haijakalia nchi yoyote kimabavu inajaribu kulinda maslahi yake kwa kumuondoa kiongozi asietaka kusikiliza onyo juu ya hatua hatarishi anazojaribu kutaka kumfanyia. Nimetoa mfano wa Amini alivyoondolewa Uganda.
Kinyume Ukraine kwa hiari yake ilikabidhi silaha za kinyuklia (zilizobaki huko baada ya mwisho wa Umoja wa Kisovyeti ambamo Ukraine ilikuwa jimbo la pili kwa ukubwa) kwa Urusi kwenye mwaka 1994. Mkataba wa Budapest ulitiwa sahihi na Urusi, Marekani na Uingereza pamoja na Ukraine (pia Belarus, Kazakhstan). Hapo Urusi iliahidi kutetea umoja na usalama wa Ukraine.
Nguvu ya ahadi hiyo unaona sasa!
(kama hujui habari hizi, jisomee hapo, angalia marejeo yyanayotajwa! Budapest Memorandum on Security Assurances - Wikipedia)