Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Uzembe mkubwa sana. Wanakubali vipi kukamatwa na askari wa Russia wakiwa hai!?
Tena baada ya kupiga tukio kama hili.
Watateseka sana hao jamaa, hapo bado hawajapelekwa kwenye idara ya mahojiano, aisee!
Mtu anaenda kuuwa watu wasio na hatia, halafu anajiita super power, akishiriana na rafiki zake, cha ajabu kwa mateso na mauwaji wanayopitia wapalestina miaka zaidi ya 70 ila hatujawahi kusikia ISIS au ALQAIDA wameingia kulipua Israel