Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Dr. Shika (r.i.p)
Aliwahi kusema ukihojiwa na warusi(kgb)
unahojiwa uku unachunwa ngozi kdg kdg na pemben Kuna mchoma nyama mahili, anachukua nyama yako anaipaka viungo vingi na kuichoma akiwapa mbwa waile uku mahojiano yako yakiendelea😃
Duh 🤣😂😁
 
Ni miaka miwili sio kuwaua tu viongozi wa ukraine bali ilitaka ichukue nchi nzima ya ukraine lakin mpaka sahivi wameshindwa
Acha uongo lini Urusi alisema anataka kuchukua nchi yote? Na wala ufahamu kwa nini Urusi anayachukua hayo maeneo. Subirini tu muone Putin atakachakifanya kasema wazi itakuwa adhabu ya wazi.
 
Waislam wanavyowatetea hao magaidi unaona kabisa hii dini ina walakini!

BILA UISLAM DUNIA INGEKUWA MAHALI SALAMA PA KUISHI
 
China haina tatizo lolote na Uislam wala dini yoyote as long as ukifuata principle za serikali iliyopo Beijing.

China mpaka leo ina mgogoro mkubwa na Kanisa katoliki baada kanisa katoliki kujifanya viburi na kugomea sheria za serikali ya China.

Nayo China haitambui waaskofu wanao chaguliwa na papa bila idhini yao.

China na Vatican ziliwahi kuwa na mkataba ambao hakudumu sana mashariti yakavunjwa.

China dini zote zipo chini ya mamlaka kikombe wanacho kunywa waislam China ndicho kikombe hicho hicho wanacho kunywa wakristo na dini zote China hakuna dini yenye special treatment China wakomunisti wale.
Hakuna sehemu nimesema china anawa-treat wakristo vizuri
Penda kujikita kwenye mada

China inatatizo kubwa sana na waislamu
Kama hujaelewa hii heading ya al jazeeea television ya kislamu pole sana
8B9033FB-8622-4268-AF74-549DB8D5935B.png
 
Acha uongo lini Urusi alisema anataka kuchukua nchi yote? Na wala ufahamu kwa nini Urusi anayachukua hayo maeneo. Subirini tu muone Putin atakachakifanya kasema wazi itakuwa adhabu ya wazi.
Uwezo huo hana nyie waislamu endeleeni kumuombea huko msikitini ili afanikiwe
 
Waislam wanavyowatetea hao magaidi unaona kabisa hii dini ina walakini!

BILA UISLAM DUNIA INGEKUWA MAHALI SALAMA PA KUISHI
Unangea kama umekatwa kichwa utapata ugonjwa wa moyo bure kuwachukia Waislam umeishawahi kujiuliza.

Jumla ya wahasiriwa wa kijeshi na raia katika Vita vya Kwanza vya dunia ilikuwa takriban milioni 40 waliuliwa na viaogozi wakiristo hamna hata Muislam mmoja alihusika makadirio yanaanzia karibu vifo milioni 15 hadi 22 na wanajeshi wapatao milioni 23 waliojeruhiwa,
 
Mara ya mwisho nilijua ni watu 16 wameuwawa, sasa hivi naambiwa watu 100. Basi lilikuwa shambulio lenye madhara.
 
Putin Sasa ajue marekani inapopambana na hao kenge huwa anamaanisha nini. Sasa marekani akipambana nao yeye kwa unafiki wake anawapa silaha. Leo wamemgeuka. Ukifuga Simba kakiwa kadogo ni ka pet 🐶 kama kapaka tuu, ila kakikuwa kanakutafuna wewe mwenyewe uliyekuwa unakalisha nyama
 
Uwezo huo hana nyie waislamu endeleeni kumuombea huko msikitini ili afanikiwe
Putin ni Mkiristo mwenzako wewe unapambana na Uislam uwezi utajiumiza moyo wako bure wamepita wenzako toka karne ya 7 🤣

Putin mkoristo mwenzako kasema wazi atatoa adhabu ya wazi kwa wahusika wote.
 
Putin ni Mkiristo mwenzako wewe unapambana na Uislam uwezi utajiumiza moyo wako bure wamepita wenzako toka karne ya 7 🤣

Putin mkoristo mwenzako kasema wazi atatoa adhabu ya wazi kwa wahusika wote.
Wale magaid wa kislamu wanaenda kukutana na mabikra 72 wawashughulikie kwa hiyo kukatwa sikio na mateso ni suna kwenye uislamu
 
Wanaukumbi.

BREAKING: INTERROGATION VIDEO OF MOSCOW TERROR SUSPECT

HE CLAIMS HE WAS RECRUITED VIA TELEGRAM:

'Police: “What did you do in Crocus?”

Suspect: “Shot.”

Police: “Whom?”

Suspect: “People.”

Police: “For what?”

Suspect: “For money. Half a million Rubles.”

Police: “Where did you get the weapons?”

Suspect: “They delivered the weapons themselves.”

Police: “Who are they?”

Suspect: “I don’t know. They wrote by Telegram without a name, without anything.”

BREAKING: VIDEO YA KUHOJIWA YA MTUHUMIWA WA UGAIDI MOSCOW

ANADAI ALIAJIRIWA KUPITIA TELEGRAM:

'Polisi: "Ulifanya nini huko Crocus?"

Mtuhumiwa: "Piga risasi."

Polisi: "Nani?"

Mtuhumiwa: "Watu."

Polisi: "Kwa nini?"

Mtuhumiwa: "Kwa pesa. Rubles nusu milioni."

Polisi: "Ulipata wapi silaha?"

Mshukiwa: "Walikabidhi silaha wenyewe."

Polisi: "Ni akina nani?"

Mtuhumiwa: "Sijui. Waliandika na Telegram bila jina, bila chochote.


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1771504136179077548?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Ila anasema alikua anasikiliza mahubiri ya dini yenu takatifu.....
asee bora wangeajili waarabu tu ambao
20240323_154949.jpg
wanaweza kujilipua kufata bikira mbinguni,,,huyu jamaa alikua anataka kutoroka ili akatumbue dolari zake buku 5
 
Wale magaid wa kislamu wanaenda kukutana na mabikra 72 kwa hiyo kukatwa sikio na mateso ni suna kwenye uislamu
Russian special forces cut off the terrorist's ear near the Ukrainian border where he tried to escape, where the organizers were waiting for him.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom