Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Hata wewe mashoga wa US na Ulaya wanaweza kukupa passpoti na kukupa jina la kiislamu kwa hela mbuzi tu
Kwani umekula leo ?
Uzi unahusu shambulio la urusi
We uko bize na ushoga yaan unalazimisha tujadili ushoga pole sana
Alafu stress zako za maisha unazileta kwangu pole

Hakuna tuzo ya matusi pole
 
Wanaukumbi.

BREAKING: INTERROGATION VIDEO OF MOSCOW TERROR SUSPECT

HE CLAIMS HE WAS RECRUITED VIA TELEGRAM:

'Police: “What did you do in Crocus?”

Suspect: “Shot.”

Police: “Whom?”

Suspect: “People.”

Police: “For what?”

Suspect: “For money. Half a million Rubles.”

Police: “Where did you get the weapons?”

Suspect: “They delivered the weapons themselves.”

Police: “Who are they?”

Suspect: “I don’t know. They wrote by Telegram without a name, without anything.”

BREAKING: VIDEO YA KUHOJIWA YA MTUHUMIWA WA UGAIDI MOSCOW

ANADAI ALIAJIRIWA KUPITIA TELEGRAM:

'Polisi: "Ulifanya nini huko Crocus?"

Mtuhumiwa: "Piga risasi."

Polisi: "Nani?"

Mtuhumiwa: "Watu."

Polisi: "Kwa nini?"

Mtuhumiwa: "Kwa pesa. Rubles nusu milioni."

Polisi: "Ulipata wapi silaha?"

Mshukiwa: "Walikabidhi silaha wenyewe."

Polisi: "Ni akina nani?"

Mtuhumiwa: "Sijui. Waliandika na Telegram bila jina, bila chochote.


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1771504136179077548?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hii mbona kama Movie au ni mimi tu naona?
Kuna kitu Putin anataka kuficha hapa au NATO.

Hapa hakuna Guide.

Ni mara ngapi Criminal interogation ambayo ni very sensitivr kiasi hiki inakuwa Published na the Very Special Security Forces tena kwenye hatua za Awali?
 
Isis= Israel = USA

Mtandanganyana humu ila Hamtandanganya Putin ambaye anajua mchezo yote.

1. Isis waliomba msamaha walivyowapiga bahati mbaya Israel
2. Isis wakiumia wanatibiwa Israel
3. Viongozi wa Isis wanaajiriwa Israel/Usa
4. Obama kwa mdomo wake Amewahi kukiri kuwapa msaada Isil
5. Trump kwa mdomo wake amekiri Isis ni zao la Usa
6. Viongozi kibao ambao wamewahi kukamatwa wa isis ni agents wa mosad na picha zao zipo
7. Maofisa mbalimbali wa FBI wamewahi kukiri Isis ni kikundi cha Usa.

Chagua point yoyote hapo juu Nakuekea source isio na mashaka.

Mpuuzi pekee ndio ataamini ISis ni kundi la kiisilamu.
Walioshambulia ni waislamu na ndo magaid yenyewe
 
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema kila aliyehusika kwenye shambulizi lililowaua Watu zaidi ya 100 hadi sasa katika eneo la Crocus City Hall Nchini Urusi atakumbana na adhabu kali ambapo amesisitiza kuwa watamshughulikia kuanzia aliyewatuma hadi waliotekeleza uhalifu huo.

Akihutubia Wananchi wa Urusi leo Putin ameliita shambulizi hilo kuwa ni shambulizi la damu na la kishenzi ambapo amesema kwa sasa nguvu kubwa inaelekezwa kwenye kuwazuia walio nyuma ya shambulizi hilo wasifanye uhalifu mwingine huku pia akitoa pole kwa wote walioguswa na kuumizwa na vifo na majeruhi yaliyotokana na shambulizi hilo.

Shambulizi hilo la kigaidi ambalo Kikundi cha Kigaidi cha ISIS kimedai kuhusika nalo, limetokea usiku wa kuamkia leo ambapo Vijana walioficha sura zao waliwashambulia Watu kwa risasi na kulipua jengo hilo.

Mapema leo Mamlaka za usalama Nchini Urusi zilimfahamisha Rais Putin kwamba zimewakamata Watu 11 wakiwemo wanne ambao wamehusika moja kwa moja na shambulizi hilo, Watu hao wamekamatwa wakiwa wanavuka mpaka wa Urusi na Ukraine na walikuwa na mawasiliano na upande wa Ukraine.
 
Hizi kamba tu, Afghanistan na Xinjiang wapi na wapi? Xinjiang ni Turkic ethnicity people sawa na kina Tajikistan, Uzbekistan, Kazakhstan, Uturuki etc Afghanistan ni kama kina India na Pakistan.

Ugomvi baina ya China na jimbo la Xinjiang ni unatokana sana na Ethnicity, Ethnicity kubwa ya China ni Han people ambao wana wa Opress minorities kama hao Ughuyr wanaopatikana hilo eneo, by appearance Ughuyr sio kama wachina. Ila waisilamu ambao ambao appearance zao ni kama Han kama vile Hui people nao pia wanashirikiana na Han kuwa Opress Ughuyr.
Kwanza Han na Uyghur ni ethnic mbili tofauti.

Hilo neno wachina limebebwa na Han.

Hayo mambo ya Hui achana nayo maana hata wao mara nyingi tu wanakosana na serikali ya Beijing.

Unataka kubisha kuwa Xinjiang na Afghanistan hazijapakana ?

Na unataka kubisha kuwa hakuwepo terrorism Xinjiang hasa miaka ya 2000 ?
 
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema kila aliyehusika kwenye shambulizi lililowaua Watu zaidi ya 100 hadi sasa katika eneo la Crocus City Hall Nchini Urusi atakumbana na adhabu kali ambapo amesisitiza kuwa watamshughulikia kuanzia aliyewatuma hadi waliotekeleza uhalifu huo.

Akihutubia Wananchi wa Urusi leo Putin ameliita shambulizi hilo kuwa ni shambulizi la damu na la kishenzi ambapo amesema kwa sasa nguvu kubwa inaelekezwa kwenye kuwazuia walio nyuma ya shambulizi hilo wasifanye uhalifu mwingine huku pia akitoa pole kwa wote walioguswa na kuumizwa na vifo na majeruhi yaliyotokana na shambulizi hilo.

Shambulizi hilo la kigaidi ambalo Kikundi cha Kigaidi cha ISIS kimedai kuhusika nalo, limetokea usiku wa kuamkia leo ambapo Vijana walioficha sura zao waliwashambulia Watu kwa risasi na kulipua jengo hilo.

Mapema leo Mamlaka za usalama Nchini Urusi zilimfahamisha Rais Putin kwamba zimewakamata Watu 11 wakiwemo wanne ambao wamehusika moja kwa moja na shambulizi hilo, Watu hao wamekamatwa wakiwa wanavuka mpaka wa Urusi na Ukraine na walikuwa na mawasiliano na upande wa Ukraine.
Urusi inasema itawaua viongozi wa Ukraine iwapo watahusishwa na shambulizi la kigaidi mjini Moscow.

Kawasaidie,
Ni miaka miwili sio kuwaua tu viongozi wa ukraine bali ilitaka ichukue nchi nzima ya ukraine lakin mpaka sahivi wameshindwa
 
Hizi kamba tu, Afghanistan na Xinjiang wapi na wapi? Xinjiang ni Turkic ethnicity people sawa na kina Tajikistan, Uzbekistan, Kazakhstan, Uturuki etc Afghanistan ni kama kina India na Pakistan.

Ugomvi baina ya China na jimbo la Xinjiang ni unatokana sana na Ethnicity, Ethnicity kubwa ya China ni Han people ambao wana wa Opress minorities kama hao Ughuyr wanaopatikana hilo eneo, by appearance Ughuyr sio kama wachina. Ila waisilamu ambao ambao appearance zao ni kama Han kama vile Hui people nao pia wanashirikiana na Han kuwa Opress Ughuyr.
82FA847F-1B17-423D-A58D-12F08C6874A1.png
 
Thubutu!

Halafu majuzi hapa huyu Putin eti kashinda uchaguzi 🤣.

Laughable!
The FAKE NEWS about ISIS was released by the Ukrainian Telegram channels and the media, all in order to shift the blame from themselves. The perpetrators are active soldiers in the Ukrainian Army.
 
Kwanza Han na Uyghur ni ethnic mbili tofauti.

Hilo neno wachina limebebwa na Han.

Hao mambo ya Hui achana nayo maana hata wao mara nyingi tu wanakosana serikali ya Beijing.

Unataka kubisha kuwa Xinjiang na Afghanistan hazijapakana ?

Na unataka kubisha kuwa hakuwepo terrorism Xinjiang hasa miaka ya 2000 ?
Waislamu wanajifariji kwamba china hana tatizo na uislamu lakin hakuna nchi ina watreat vibaya waslamu kama china
21F56544-84A5-484B-A8A8-0C3F3733B00A.png
 
Waislamu wanajifariji kwamba china hana tatizo na uislamu lakin hakuna nchi ina watreat vibaya waslamu kama china View attachment 2942685
China haina tatizo lolote na Uislam wala dini yoyote as long as ukifuata principle za serikali iliyopo Beijing.

China mpaka leo ina mgogoro mkubwa na Kanisa katoliki baada ya kanisa katoliki kujifanya viburi na kugomea sheria za serikali ya China.

Nayo China haitambui maaskofu wanao chaguliwa na papa bila idhini yao.

China na Vatican ziliwahi kuwa na mkataba ambao hakudumu sana mashariti yakavunjwa.

China dini zote zipo chini ya mamlaka kikombe wanacho kunywa waislam China ndicho kikombe hicho hicho wanacho kunywa wakristo na dini zote China hakuna dini yenye special treatment China wakomunisti wale.
 
Dr. Shika (r.i.p)
Aliwahi kusema ukihojiwa na warusi(kgb)
unahojiwa uku unachunwa ngozi kdg kdg na pemben Kuna mchoma nyama mahili, anachukua nyama yako anaipaka viungo vingi na kuichoma akiwapa mbwa waile uku mahojiano yako yakiendelea😃
 
Back
Top Bottom