Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

ISIS..
ni kama yale mafunzo ya wanafunzi wanayopewa kwa kificho kule dodoma ambayo serikali i.epiga marufuku
WAUAJI hawa sio ISIS.

VIDEO ZOTE ZA MAGAIDI HAWA WAKIHOJIWA, wanakiri kua kuingizwa mkenge na majasusi wa Ukraine.


Sasa Marekan na Ulaya, wameamua kuwalisha wajinga baadhi wa hapa Duniani uongo waamini kua ni ISIS .


Marekan na Ulaya, kuanzia tarehe 8 mwezi huu, walitoa waraka kuwaonya Raia wao juu ya kutotembelea maeneo yenye mikusanyiko.
 
WAUAJI hawa sio ISIS.

VIDEO ZOTE ZA MAGAIDI HAWA WAKIHOJIWA, wanakiri kua kuingizwa mkenge na majasusi wa Ukraine.


Sasa Marekan na Ulaya, wameamua kuwalisha wajinga baadhi wa hapa Duniani uongo waamini kua ni ISIS .


Marekan na Ulaya, kuanzia tarehe 8 mwezi huu, walitoa waraka kuwaonya Raia wao juu ya kutotembelea maeneo yenye mikusanyiko.
UKraine imekuwa mbuzi wa kafara shida ya bwana putin alicheza na mbwa msikitini acha wamtie adabu
Hawa watu wa msimamo mkali hawafai kabisa
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1771519439810244855?t=hZSolnghSvla9IlrHDQMXw&s=19
 
njaa hizi dola 5500 inamponza anakubali kufanya ugaidi. mimi hata unipe matrilioni bwana we sikubali huo upuuzi.

“A lie can travel half way around the world while the truth is putting on its shoes.”​


Haiingii akilini??????????
 
Nao walikuwa na matukio mengi ya namna hii kule Xinjiang wamepakana na Afghanistan.

Kuanzia miaka ya 90 matukio ya kujilipua na kushambulia watu kwa risasi yalichachamaa sana kwa sasa pamepoa.

Kuna kitu walikifanya wanajua wao wenyewe wakomunisti wale.
Hizi kamba tu, Afghanistan na Xinjiang wapi na wapi? Xinjiang ni Turkic ethnicity people sawa na kina Tajikistan, Uzbekistan, Kazakhstan, Uturuki etc Afghanistan ni kama kina India na Pakistan.

Ugomvi baina ya China na jimbo la Xinjiang ni unatokana sana na Ethnicity, Ethnicity kubwa ya China ni Han people ambao wana wa Opress minorities kama hao Ughuyr wanaopatikana hilo eneo, by appearance Ughuyr sio kama wachina. Ila waisilamu ambao ambao appearance zao ni kama Han kama vile Hui people nao pia wanashirikiana na Han kuwa Opress Ughuyr.
 
kwani kuna mpya tena wakati magaidi wa islamic wahhabi kutoka tajikistan 🤣🤣
Isis= Israel = USA

Mtandanganyana humu ila Hamtandanganya Putin ambaye anajua mchezo yote.

1. Isis waliomba msamaha walivyowapiga bahati mbaya Israel
2. Isis wakiumia wanatibiwa Israel
3. Viongozi wa Isis wanaajiriwa Israel/Usa
4. Obama kwa mdomo wake Amewahi kukiri kuwapa msaada Isil
5. Trump kwa mdomo wake amekiri Isis ni zao la Usa
6. Viongozi kibao ambao wamewahi kukamatwa wa isis ni agents wa mosad na picha zao zipo
7. Maofisa mbalimbali wa FBI wamewahi kukiri Isis ni kikundi cha Usa.

Chagua point yoyote hapo juu Nakuekea source isio na mashaka.

Mpuuzi pekee ndio ataamini ISis ni kundi la kiisilamu.
 
Back
Top Bottom