Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Urusi: Video ya kuhojiwa ya mtuhumiwa wa ugaidi Moscow

Attack za namna hii zinaonesha uhalisia wa security za nchi husika . Tofauti na media zinavyopiga propaganda na kuaminisha watu ila watu wakiji organize vizuri wanaweza kufanya lolote. Swali la msingi , hawa jamaa walipita vipi na silaha sehemu tight Kama ile tena kwenye tamasha. What we see in their media is not the reality
 
Bora ungekaa kimya unazidi kuonyesha ujinga wako wewe upo Uloye unapinga msome Papa kabla ya kifo chake.

Pope John Paul II made many apologies. During his long reign as Pope, he apologized to Jews, women, people convicted by the Inquisition, Muslims killed by the Crusaders and almost everyone who had suffered at the hands of the Catholic Church over the years. Even before he became the Pope, he was a prominent editor and supporter of initiatives like the Letter of Reconciliation of the Polish Bishops to the German Bishops from 1965. As Pope, he officially made public apologies for over 100 of these wrongdoings, including:

Christians involved in the African slave trade (14 August 1985, also at various points in the 1990s)
The Church's role in burnings at the stake and the religious wars that followed the Protestant Reformation (May 1995, in the Czech Republic).

Unapoteza muda wako kupambana na Uislam kuna wenzako toka karne ya 7 walikuwa wanapambana na Uislam leo wapo wapi na Uislam upo wapi?
🤣🤣
Uislamu unapambana kuondoa dini nyingine kwa kuwaua ili kuwa na umma ya waislamu tupu dunian kote
 
Attack za namna hii zinaonesha uhalisia wa security za nchi husika . Tofauti na media zinavyopiga propaganda na kuaminisha watu ila watu wakiji organize vizuri wanaweza kufanya lolote. Swali la msingi , hawa jamaa walipita vipi na silaha sehemu tight Kama ile tena kwenye tamasha. What we see in their media is not the reality
Huo ndo ukweli jamaa wameenda na kuanza kutupa risasi hovyo na kurusha mabomu

Alafu putin anaenda malizia hasira ukraine ambao sio kiini cha tatizo
Putin anaongozwa sana na hisia na sio akili na madikteta wote walivyo wanaongozwa sana na hisia
 
Putin ameshaongea
Walikuwa wanaelekea Ukraine na tayari walikuwa wamesha wekewa mazingira ya kupokulewa na kuhifadhiwa.
Halafu mitandao ya mashoga inang'ang'ania ni ISIS
Ukraine wakae mkao wa kuliwa
wale magaid ya msumbiji hukimbilia Tz je kizimkazi huwafadhir pia ?
 
Uislamu unapambana kuondoa dini nyingine kwa kuwaua ili kuwa na umma ya waislamu tupu dunian kote
Wewe ufahamu chochote kuhusu Uislam zaidi ya chuki zako.

Uislam upo wazi haumlazimishi mtu yeyote kuingia kwenye Usilam.

Dunia sasa hivi kuna zaidi ya Waislam 1.9 billion hawa ukiwachukia wewe si unajiumiza tu 😂
 
Kuwa Pakistan na India kuwa taifa moja hilo halipingiki mkuu.
Ila asili ya Pakistan sio uhindi.
Ni sahihi ama sio sahihi inategemea una compare nani huko India sababu India nayo ni kubwa, wahindi wa mashariki obvious hawafanani na Pakistan ila wahindi wa Magharibi ndio wale wale, mfano mzuri ni hao Punjab, wapo kote kote.
 
Ni sahihi ama sio sahihi inategemea una compare nani huko India sababu India nayo ni kubwa, wahindi wa mashariki obvious hawafanani na Pakistan ila wahindi wa Magharibi ndio wale wale, mfano mzuri ni hao Punjab, wapo kote kote.
Ni sawa tu na kusema Kurdi walivyoenea Syria kiasi ni sehemu ya Syria.
Ila kiasili kurdi sio waarabu ni persian descendants.
Hivyo hata Pakistani jamii yao kubwa ni ya wale waliohama toka Central Asia kuja hizi pande za ukingo wa middle and Far east mkuu.
 
Huo ndo ukweli jamaa wameenda na kuanza kutupa risasi hovyo na kurusha mabomu

Alafu putin anaenda malizia hasira ukraine ambao sio kiini cha tatizo
Putin anaongozwa sana na hisia na sio akili na madikteta wote walivyo wanaongozwa sana na hisia
Scholz prevented Russia from launching a nuclear attack on Ukraine, Bild reports.

“We should be grateful to the chancellor, because he with his visit to China helped to prevent a possible nuclear strike by the Russian army on the orders of Putin. The American media already wrote that in the fall of 2022, the U.S. feared a Russian nuclear attack on Ukraine. China was involved in its prevention. After Olaf Scholz's visit to Beijing, the Chinese authorities urged not to use nuclear weapons,” said the leader of the SPD faction in the Bundestag, Rolf Mützenich.
 
Ni sawa tu na kusema Kurdi walivyoenea Syria kiasi ni sehemu ya Syria.
Ila kiasili kurdi sio waarabu ni persian descendants.
Hivyo hata Pakistani jamii yao kubwa ni ya wale waliohama toka Central Asia kuja hizi pande za ukingo wa middle and Far east mkuu.
Unaubishi wa kijinga
Punjab, sindhi, na sairikies hawa ni pure wahindi na wanabagua sana pushtun na balochs ndo maana balochs wanafanya movement mpaka leo wawe na nchi yao ya balochstan na hawa wapo pakistan na iran pia wapo hata shambulio la juzi la iran liliwalenga balochs wanaohishi pakistan

Pushtun na balochs wale ni sawa na wairan
Central asia tajikistan, uzbekstan n.k ile ni jamii ya turkic (turkic people) tofauti na persians au jamii ya wahindi

Turkey, azerbaijan, turkmenstan lugha zao wanasikilizana huku uzbekistan na uygur wa china lugha zao wanasikilizana
 
Ni sahihi ama sio sahihi inategemea una compare nani huko India sababu India nayo ni kubwa, wahindi wa mashariki obvious hawafanani na Pakistan ila wahindi wa Magharibi ndio wale wale, mfano mzuri ni hao Punjab, wapo kote kote.
Waliowengi pakistan ni Punjab, sindhi, na sairikies hawa ni pure wahindi na wanabagua sana pushtun na balochs ndo maana balochs wanafanya movement mpaka leo wawe na nchi yao balochstan hata shambulio la juzi la iran liliwalenga balochs wanaohishi pakistan

Pushtun na balochs wale ni jamii ya persian (wairan)
Central asia tajikistan, uzbekstan n.k ile ni jamii ya turkic (turkic people) tofauti na persians au jamii ya wahindi

Turkey, azerbaijan, turkmenstan lugha zao wanasikilizana huku uzbekistan na uygur wa china lugha zao wanasikilizana
 
Huo ndo ukweli jamaa wameenda na kuanza kutupa risasi hovyo na kurusha mabomu

Alafu putin anaenda malizia hasira ukraine ambao sio kiini cha tatizo
Putin anaongozwa sana na hisia na sio akili na madikteta wote walivyo wanaongozwa sana na hisia
Kwamba nyie mnajua kuliko Putin? Putin anapigana na Isis Syria miaka nenda miaka Rudi, anajua muisilamu ni yupi na makundi feki ni yapi, Isis wanahangaika kweli kujipa responsibility ya hili tukio ila Putin hana time nao.

We jiulize swali moja tu kuna mahusiano gani kati ya makundi ya kiisilamu ya Syria na Ukraine? Haimake sense ianze vita Ukraine halafu eti makundi ya Syria yakimbilie Ukraine yaache vita vya Syria.

Tumeona mengi tu Ukraine kama
1. Wanajeshi wa Ukraine kuvaa uniform za Isis na kujisahau kutoa badge yao
Screenshot 2023-02-22 153457.png

Hii ilirepotiwa kwenye tv ya Denmark bila mwandishi kujua kama hio ni badge ya Isis, baadae huko watu wanaoangalia tv Wakaja kutambua.

2. Makamanda hao hao wanaopigana vita Syria kuhamia Ukraine na vikundi vyao

View: https://twitter.com/Megatron_ron/status/1771506010038899015

Ina make sense kwako nchi yako unapigania halafu itokee vita nchi nyengine ukimbie Nchi yako ukafe unapigania nchi nyengine?

So nyie mnaomeza propaganda za west nzima nzima hamtaelewa ila ushahidi upo wazi Mwenye Isis ni nani.
 
Unaubishi wa kijinga
Punjab, sindhi, na sairikies hawa ni pure wahindi na wanabagua sana pushtun na balochs ndo maana balochs wanafanya movement mpaka leo wawe na nchi yao ya balochstan na hawa wapo pakistan na iran pia wapo hata shambulio la juzi la iran liliwalenga balochs wanaohishi pakistan

Pushtun na balochs wale ni sawa na wairan
Central asia tajikistan, uzbekstan n.k ile ni jamii ya turkic (turkic people) tofauti na persians au jamii ya wahindi

Turkey, azerbaijan, turkmenstan lugha zao wanasikilizana huku uzbekistan na uygur wa china lugha zao wanasikilizana
Hivi unajua hata hayo maneno uliyotaja yana asili ya kihajemi??
Hususan hilo neno Punjab 100% ni persian word.
Aisee una kichwa kigumu sana.
Kwahiyo Punjab na Sindhi kuwabagua Boluchis inamaanisha kuwa hao sio asili ya Persi??
Mbona Turkiye na Iran wanawabagua Kurdis??
Je kurdis sio asili yao??!!
Kafuatilie chimbuko la kitu ndio urejelee hapa.
 
Waliowengi pakistan ni Punjab, sindhi, na sairikies hawa ni pure wahindi na wanabagua sana pushtun na balochs ndo maana balochs wanafanya movement mpaka leo wawe na nchi yao balochstan hata shambulio la juzi la iran liliwalenga balochs wanaohishi pakistan

Pushtun na balochs wale ni jamii ya persian (wairan)
Central asia tajikistan, uzbekstan n.k ile ni jamii ya turkic (turkic people) tofauti na persians au jamii ya wahindi

Turkey, azerbaijan, turkmenstan lugha zao wanasikilizana huku uzbekistan na uygur wa china lugha zao wanasikilizana
Hao Tukriye origin yenyewe wana vinasaba ama udugu na Persian origin.
Kama unavyoona khoi na San.
 
Waliowengi pakistan ni Punjab, sindhi, na sairikies hawa ni pure wahindi na wanabagua sana pushtun na balochs ndo maana balochs wanafanya movement mpaka leo wawe na nchi yao balochstan hata shambulio la juzi la iran liliwalenga balochs wanaohishi pakistan

Pushtun na balochs wale ni jamii ya persian (wairan)
Central asia tajikistan, uzbekstan n.k ile ni jamii ya turkic (turkic people) tofauti na persians au jamii ya wahindi

Turkey, azerbaijan, turkmenstan lugha zao wanasikilizana huku uzbekistan na uygur wa china lugha zao wanasikilizana
Hizo kabila ulizotaja sio kabila halisi za India kijana.
Fuatilia hizo kabila zina asili gani.
Ni sawa Mngoni alivyokuja Tanzania tukamkaribisha na akawa sehemu ya Tanzania na makabila yatambulikayo Tanzania halafu ukatae kuwa chimbuko lake South Afrika na udai kuwa chimbuko lake Tanzania kisa kabila limekua hapo ilhali walihamia toka S.A.
 
Hizo kabila ulizotaja sio kabila halisi za India kijana.
Fuatilia hizo kabila zina asili gani.
Ni sawa Mngoni alivyokuja Tanzania tukamkaribisha na akawa sehemu ya Tanzania na makabila yatambulikayo Tanzania halafu ukatae kuwa chimbuko lake South Afrika na udai kuwa chimbuko lake Tanzania kisa kabila limekua hapo ilhali walihamia toka S.A.
Punjab wako india na pakistan na eneo lao lili gawanywa na cyril radcliff
Ujinga unakusumbua kuna mtu kakuelewesha hapo juu kwamba punjab kabila kubwa pakistan hata india ni moja ya kabila kubwa

Kakaririi juzuu ndo kitu unachojua
 
Hivi unajua hata hayo maneno uliyotaja yana asili ya kihajemi??
Hususan hilo neno Punjab 100% ni persian word.
Aisee una kichwa kigumu sana.
Kwahiyo Punjab na Sindhi kuwabagua Boluchis inamaanisha kuwa hao sio asili ya Persi??
Mbona Turkiye na Iran wanawabagua Kurdis??
Je kurdis sio asili yao??!!
Kafuatilie chimbuko la kitu ndio urejelee hapa.
Punjab ni pure wahindi wewe kakariru juzuu
12A068BB-BE0F-487E-951A-E95F85FB887C.jpeg
 
Sawa Acheni kuoga, msipige mswaki, Acheni civilazition zote zilizoletwa na waisilamu tuone mtaishi vipi?
Kwahiyo unataka kuniambia Kuoga na kupiga mswaki ni Civilization zilizotolewa na Waisilamu?

Naona Umepagawa na Maruhani wewe!
 
Back
Top Bottom