URUSI waonya kuwa watazidungua Satelaiti za Elon Mask

URUSI waonya kuwa watazidungua Satelaiti za Elon Mask

Hajampangia mtu, muwe mnaelewa logic behind, satellite hizo ni kwa matumizi ya civilian sio ya kijeshi, sasa unapotumia civilian satellite kwa matumizi ya kivita unaufanya hiyo satellite iwe legitimate target.
Na hicho ndicho alichomaanisha, hajampangia mtu cha kufanya, ila kaonya incase akailipua muwe mnajua kabisa sababu.

Ubaya ni kuwa uwezo wa kuiharibu hiyo Starlink anao.
Aharibu sasa,maneno mengi ya nini? Yale yale ya ngumi za utotoni unaomba wakushike usipigane,wakiacha kukushika unaishia kukimbia mwenyewe.
 
Una nafasi bado yakuendelea kujifunza! Jifungie fanya utafiti wa kutosha juu ya mgogoro wa Urusi na Ukraine utapata majibu.
Mwenye macho aambiwi tazama mlisema ataichukua Ukraine kwa siku tatu Leo ni mwezi wa kumi na kwenda December kwenye maisha usichukulie mambo kirahisi rahisi ndo tatizo lako
 
Mwenye macho aambiwi tazama mlisema ataichukua Ukraine kwa siku tatu Leo ni mwezi wa kumi na kwenda December kwenye maisha usichukulie mambo kirahisi rahisi ndo tatizo lako
Ukiona nchi 30 zinaungana kukwamisha alafu bado upo ngangali we ni wa kutumainiwa! Russia hajawah kuwaza kuichukua Ukraine! Alishawasihi sana Rais Zelesky kuwa asiegemee upande wowote na asije akawaza kukalibisha adui maana nayeye atakuwa adui wa Russia.

Kimsingi mgogoro wa Ukraine na Russia umetokana na sera mbovu ya mambo ya nje ya Ukraine isiyozingatia usalama wa Taifa lao na haki za wananchi wake (reference Misnk Agreement)

Russia anamchapa mwanawe na kumkumbusha kuwa unapaswa kwenda hivi na sio hivo! Kiuhalisia Warusi wenyewe wanalijua taifa la Ukraine na kulipenda kuliko ata Joe Biden ambae anataka kulitumia kama eneo lake la kimkakati kwa Russia.
 
kwahiyo Urusi kuua wananchi wa Ukraine ( raia wa nchi jiran tena anawaua kwenye nchi yao ) ni sawa ila Wanajeshi wa Ukraine kutumia satellite nchini kwao sio sawa ? Hv huko shulen mliishia kuelewa nin sasa ? mbona ubongo mdg hv ? sidhani kama somo la Uraia ulipata hata zaid ya D
Dogo una ubongo mdogo sana.. Wapi Russia wamekataza Ukraine wasitumie satellite? Sisi tumetoa angalizo ya kuwa satellite za kiraia na kibiashara zikitumika kijeshi, zinaingia rasmi kwenye our target. Hilo ni warning. Kazi kwenu
 
Dogo una ubongo mdogo sana.. Wapi Russia wamekataza Ukraine wasitumie satellite? Sisi tumetoa angalizo ya kuwa satellite za kiraia na kibiashara zikitumika kijeshi, zinaingia rasmi kwenye our target. Hilo ni warning. Kazi kwenu
Kwa hiyo wewe unatoa angalizo ukiwa Mkuranga,unadhani basi hata Zelensiky anajua kuwa upo unaishi Duniani kweli?
 
Mwenye macho aambiwi tazama mlisema ataichukua Ukraine kwa siku tatu Leo ni mwezi wa kumi na kwenda December kwenye maisha usichukulie mambo kirahisi rahisi ndo tatizo lako
Putin analalamika anasema mbona mmemchangia? ugomvi ni kwa mmoja kwa mmoja.
 
warusi wamechora mistari myekundu 1200 halafu wanaonya olewake taifa litakalo vuka hio mistar yote litakutana na matokeo wasio yatarajia.
hahah
 
warusi wamechora mistari myekundu 1200 halafu wanaonya olewake taifa litakalo vuka hio mistar yote litakutana na matokeo wasio yatarajia.
hahah
Putin kwishney..... He has very limited options.... navyoona mimi avute majeshi yake nyumbani - akae mezani wazungumze kisha asaidie kuijenga Ukraine mpya.

Hataki watu wanaingia hadi Crimea.
 
Dogo una ubongo mdogo sana.. Wapi Russia wamekataza Ukraine wasitumie satellite? Sisi tumetoa angalizo ya kuwa satellite za kiraia na kibiashara zikitumika kijeshi, zinaingia rasmi kwenye our target. Hilo ni warning. Kazi kwenu
dogo satellite inatumika Ukraine , ww wa urusi ina kuuma nin ? kwan satellite yako nan anakupangia kutumia ? mbona wao wanaua wapinzan kuna mtu kaangaika nao ? Usisapoti uchiz utajivika wasifa usio wako
 
Putin kwishney..... He has very limited options.... navyoona mimi avute majeshi yake nyumbani - akae mezani wazungumze kisha asaidie kuijenga Ukraine mpya.

Hataki watu wanaingia hadi Crimea.
Na wasiwasi na uwezo wako kufikiria hayo maeneo mapya ya urusi hayatarudi milele Ukraine
 
Back
Top Bottom