Urusi wathibitisha shambulizi la ghala la mafuta Lviv

Urusi wathibitisha shambulizi la ghala la mafuta Lviv

bernard10

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2021
Posts
410
Reaction score
732
Jeshi la Urusi,

Limethibitisha kwa njia ya video SHAMBULIZI lao huko Magharibi mwa lviv karibu na mpaka wa Poland ambalo shambulizi hilo lilipigwa kwa njia ya Rocket lililenga ghala la mafuta (fuel Depot) jumamosi.

Wazili waulinzi wa Urusi alisema eneo hilo lilikuwa likihudumia majeshi y Ukraine eneo la Ukraine Magharibi pia Karibu na kiyv.

Urusi pia wanadai kuharibu karakana ya Eneo la matengenezo ya kituo Cha Radio (Lviv Radio repair plant), ambacho kinatoa huduma ya Mawasiliano ya Radar kwa vikosi vya UKRAINE (vifaru na jeshi la anga).

Hi ilikuwa mda mfupi baada ya Raisi Biden kumuita Putin "butcher" na nukuu yake yakutaka Putin atoke madarakani.


Screenshot_20220328-171750~2.jpg
Screenshot_20220328-172335~2.jpg
Screenshot_20220328-172742~2.jpg
Screenshot_20220328-173033~2.jpg
 
Inasemekana kuwa Urusi wamelipua vinu vya mafuta katika mji ulio karibu na Poland wakati Biden akifanya ziara nchini humo.

Ulipuaji huu ni salamu ya kebehi kuwa Urusi ana uwezo wa kurusha bomu karibu kabisa na Poland na katika muda ambao ulinzi wa USA umeimarishwa.

kama wangeamua kulipua eneo la mkutano wangeweza ila wameonesha ustaarabu tu.
 
Nani kaonesha dharau kwa mwenzake Kati ya US na Urusi? Marekani kaweka vikwazo Urusi bado akaamua kutembelea Poland tena mpakani Ukraine bila wasiwasi? Huku akiendesha mikutano ya hadhara na kuacha US yake bila wasiwasi wowote? Akiwa hapohapo jirani anaamua kutuma mizinga 1500 Ukraine? jingalao achana ujinga ktk nchi kama hizi za uchumi wa kati chini.
Sisi tukiamka asubuhi ni CCM, CDM, ACT na Mrema kuoa. Nothing more. Wenzetu ni tofauti.
 
Nani kaonesha dharau kwa mwenzake Kati ya US na Urusi? Marekani kaweka vikwazo Urusi bado akaamua kutembelea Poland tena mpakani Ukraine bila wasiwasi? Huku akiendesha mikutano ya hadhara na kuacha US yake bila wasiwasi wowote? Akiwa hapohapo jirani anaamua kutuma mizinga 1500 Ukraine? jingalao achana ujinga ktk nchi kama hizi za uchumi wa kati chini.
Sisi tukiamka asubuhi ni CCM, CDM, ACT na Mrema kuoa. Nothing more. Wenzetu ni tofauti.
Pro putin sijui wanafikilia kwa kutumia nini, yaani nikajua kulipua poland, yaani mtu kalipua karibu na poland then wanajisifu, yaani ni sawa na Tz ikalipue kagera ili kuichokoza Uganda 😂😂
 
Pro putin sijui wanafikilia kwa kutumia nini, yaani nikajua kulipua poland, yaani mtu kalipua karibu na poland then wanajisifu, yaani ni sawa na Tz ikalipue kagera ili kuichokoza Uganda 😂😂
Hahahahah. ......wapi wapi?! Ndo Ile 'wametufunga lakini chenga twawala sana'
 
Inasemekana kuwa Urusi wamelipua vinu vya mafuta katika mji ulio karibu na Poland wakati Biden akifanya ziara nchini humo.
Ulipuaji huu ni salamu ya kebehi kuwa Urusi ana uwezo wa kurusha bomu karibu kabisa na Poland na katika muda ambao ulinzi wa USA umeimarishwa.
kama wangeamua kulipua eneo la mkutano wangeweza ila wameonesha ustaarabu tu.
Basi na Potin akatembelee karibu na mpaka wa Estonia afanye mkutano
 
Back
Top Bottom