Urusi wathibitisha shambulizi la ghala la mafuta Lviv

Urusi wathibitisha shambulizi la ghala la mafuta Lviv

Jeshi la Urusi,

Limethibitisha kwa njia ya video SHAMBULIZI lao huko Magharibi mwa lviv karibu na mpaka wa Poland ambalo shambulizi hilo lilipigwa kwa njia ya Rocket lililenga ghala la mafuta (fuel Depot) jumamosi.

Wazili waulinzi wa Urusi alisema eneo hilo lilikuwa likihudumia majeshi y Ukraine eneo la Ukraine Magharibi pia Karibu na kiyv.

Urusi pia wanadai kuharibu karakana ya Eneo la matengenezo ya kituo Cha Radio (Lviv Radio repair plant), ambacho kinatoa huduma ya Mawasiliano ya Radar kwa vikosi vya UKRAINE (vifaru na jeshi la anga).

Hi ilikuwa mda mfupi baada ya Raisi Biden kumuita Putin "butcher" na nukuu yake yakutaka Putin atoke madarakani.


View attachment 2167170View attachment 2167171View attachment 2167172View attachment 2167173

Eti puttin atoke madarakani 🤣hiyo jeuri anaipata wapi huyo babu🤣 uoga umemzidi
 
Inasemekana kuwa Urusi wamelipua vinu vya mafuta katika mji ulio karibu na Poland wakati Biden akifanya ziara nchini humo.

Ulipuaji huu ni salamu ya kebehi kuwa Urusi ana uwezo wa kurusha bomu karibu kabisa na Poland na katika muda ambao ulinzi wa USA umeimarishwa.

kama wangeamua kulipua eneo la mkutano wangeweza ila wameonesha ustaarabu tu.
Aiseee [emoji16][emoji119]
 
Putin akubali vipi kushindwa wakati Ukraine Ni Kama ipo mikononi mwake anafanya anachotaka

Kama vita ya Ukraine itaendelea, itabadilika na kuwa guerilla warfare. Sio rahisi kushinda guerilla warfare na adui ambae uko ndani ya taifa lake, kwasababu hata raia wa kawaida wanapigana hii vita kitu kinachofanya iwe ngumu kabisa kutofautisha mtu mbaya na mwema kwako. Hata Marekani alishindwa Vietnam miaka ya 70 na Afghanistan hivi majuzi.

For this reason, hautaweza ku-implement law and order kwa namna yotote ile.

Kwahiyo, common sense inamtaka Russia afungashe virago Ukraine bila kuchelewa coz hakunaga budget na manpower inayotosha kuendesha guerilla warfare...Utaishia kupata hasara tu na sifa mbaya duniani.
 
Nani kaonesha dharau kwa mwenzake Kati ya US na Urusi? Marekani kaweka vikwazo Urusi bado akaamua kutembelea Poland tena mpakani Ukraine bila wasiwasi? Huku akiendesha mikutano ya hadhara na kuacha US yake bila wasiwasi wowote? Akiwa hapohapo jirani anaamua kutuma mizinga 1500 Ukraine? jingalao achana ujinga ktk nchi kama hizi za uchumi wa kati chini.
Sisi tukiamka asubuhi ni CCM, CDM, ACT na Mrema kuoa. Nothing more. Wenzetu ni tofauti.
Vikwazo Russia pia kaviweka kwahyo hamn maajabu Biden angekuwa mmbabe angekuja Ukraine kabisa
 
Pro Putin mnatafuta mahali pakufichia aibu inayowakuta Ukraine kama yeye ni mwanaume kweli angepiga moja kwa moja ndani ya ardhi ya Poland halafu ndio angejua kuwa hajui.
Biden angekuwa mwanaume kweli angeingia Poland Urusi Hana ugomvi na Poland ila akitaka yeye na Baba ake US waingie joining form ipo
 
Hivi zile kelele zoote ziko wapi, mpaka leo bado hajaichukua ukraine yote?, Sitaki kuamini eti ukraine anamzuia urusi asiiteke nchi yote pamoja na mikwara yote hiyo.
Nani alikwambia Urusi wanataka kuchukua Ukraine?
 
unafanya mazungumzo na aliyekuvamia ndan kwako ? ni akili ni matope ? uhai bila uhuru ni sawa na kifo , ndio maana waafrika tulitawaliwa kirahisi sisi tunajali kuishi tu haijalish ktk mazingira gan
Halafu kuna mtu anasema Biden ni mbabe kuliko putin. Yaani tunabishana kwamba huwezi kuvamia, nimevamia napiga nachapa umefika karibu kuleta umbea napiga hapo hapo. Sasa mbabe nani
 
Back
Top Bottom