Urusi wathibitisha shambulizi la ghala la mafuta Lviv


Eti puttin atoke madarakani 🤣hiyo jeuri anaipata wapi huyo babu🤣 uoga umemzidi
 
Aiseee [emoji16][emoji119]
 
Putin akubali vipi kushindwa wakati Ukraine Ni Kama ipo mikononi mwake anafanya anachotaka

Kama vita ya Ukraine itaendelea, itabadilika na kuwa guerilla warfare. Sio rahisi kushinda guerilla warfare na adui ambae uko ndani ya taifa lake, kwasababu hata raia wa kawaida wanapigana hii vita kitu kinachofanya iwe ngumu kabisa kutofautisha mtu mbaya na mwema kwako. Hata Marekani alishindwa Vietnam miaka ya 70 na Afghanistan hivi majuzi.

For this reason, hautaweza ku-implement law and order kwa namna yotote ile.

Kwahiyo, common sense inamtaka Russia afungashe virago Ukraine bila kuchelewa coz hakunaga budget na manpower inayotosha kuendesha guerilla warfare...Utaishia kupata hasara tu na sifa mbaya duniani.
 
Vikwazo Russia pia kaviweka kwahyo hamn maajabu Biden angekuwa mmbabe angekuja Ukraine kabisa
 
Pro Putin mnatafuta mahali pakufichia aibu inayowakuta Ukraine kama yeye ni mwanaume kweli angepiga moja kwa moja ndani ya ardhi ya Poland halafu ndio angejua kuwa hajui.
Biden angekuwa mwanaume kweli angeingia Poland Urusi Hana ugomvi na Poland ila akitaka yeye na Baba ake US waingie joining form ipo
 
Hivi zile kelele zoote ziko wapi, mpaka leo bado hajaichukua ukraine yote?, Sitaki kuamini eti ukraine anamzuia urusi asiiteke nchi yote pamoja na mikwara yote hiyo.
Nani alikwambia Urusi wanataka kuchukua Ukraine?
 
Pro putin sijui wanafikilia kwa kutumia nini, yaani nikajua kulipua poland, yaani mtu kalipua karibu na poland then wanajisifu, yaani ni sawa na Tz ikalipue kagera ili kuichokoza Uganda 😂😂
Kwani Biden yupo ukraine mkuu.
 
unafanya mazungumzo na aliyekuvamia ndan kwako ? ni akili ni matope ? uhai bila uhuru ni sawa na kifo , ndio maana waafrika tulitawaliwa kirahisi sisi tunajali kuishi tu haijalish ktk mazingira gan
Halafu kuna mtu anasema Biden ni mbabe kuliko putin. Yaani tunabishana kwamba huwezi kuvamia, nimevamia napiga nachapa umefika karibu kuleta umbea napiga hapo hapo. Sasa mbabe nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…