Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
Urusi yaanza mazoezi ya kutumia makombora ya nyuklia ni saa chache baada USA kukubali kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonaje ukijifunza Kiswahili kwanza?Urusi yaanza mazoezi ya kutumia makombola ya nyuklia ni saa chache baada USA kukubali kuipatia Ukraine makombola ya masafa marefu
Kuchapia kidogo sio kigezo cha kujifunza kukosea ni sifa ya mwanadamu yoyote hakuna mkamilifuUnaonaje ukijifunza Kiswahili kwanza?
Jambo kubwa hili boss. Si mazoezi tu, Ni mazoezi dhidi ya maangamizi ya ulimwengu. Russia kujaribu nuklia Ni hatari coz si NATO Wala us atavumilia watApigana na tutakwishaMpak mazoezi tunahabarishwa ....!!
Wacheza mpira hua wanafanya mazoezi kila siku nje ya uwanja wa mpira kwani siku ya mechi hua wakiingia uwanja hua wanabutua tu si wanapasha kwanza misuli joto ndo anachikifanya urusi huwezi ingia vitani bila kujipangaMpak mazoezi tunahabarishwa ....!! Si unapiga tuu
Hamna kitu kama hcho boss , hzo ni imagination tuu , yeye kama anatumia atumie tuu , na maisha yataendelea, mda wote wenzake walikuwa wanajipanga namna ya kudhibiti hzo nyuklia endapo atazitumia, ndo mana sa hv wamemwacha hata akitumia fresh tuuJambo kubwa hili boss. Si mazoezi tu, Ni mazoezi dhidi ya maangamizi ya ulimwengu. Russia kujaribu nuklia Ni hatari coz si NATO Wala us atavumilia watApigana na tutakwisha
Hamna kitu kama hcho boss , hzo ni imagination tuu , yeye kama anatumia atumie tuu , na maisha yataendelea, mda wote wenzake walikuwa wanajipanga namna ya kumdhibiti , ndo mana sa hv wamemwacha
Wacheza mpira hua wanafanya mazoezi kila siku nje ya uwanja wa mpira kwani siku ya mechi hua wakiingia uwanja hua wanabutua tu si wanapasha kwa misuli jotoMpak mazoezi tunahabarishwa ....!! Si unapiga tuu
Sio kwamba anazo siraha za nyuklia tu na bado yeye ndio kunara wa sihara za nyuklia ndio nchi yenye siraha nyingi zaidi dunia za nyuklia na mfumo imara wa angaThis is sad, sikujua before Russia wana silaha za Nyuklia, kumbe walikua wana wasema North Korea tu buree...inaelekea labda nchi nyingi zina hizo silaha za Nyuklia...yakifumuka ya kufumuka huko tobaaaa...
Umri wako inawezekana ulipaswa kuwa darasan ila kwa sababu za jeuri upo mtaaniHamna kitu kama hcho boss , hzo ni imagination tuu , yeye kama anatumia atumie tuu , na maisha yataendelea, mda wote wenzake walikuwa wanajipanga namna ya kudhibiti hzo nyuklia endapo atazitumia, ndo mana sa hv wamemwacha hata akitumia fresh tuu
Kwani hayo mazoezi walikua bado hawajaanzaga tu mpk leo?Urusi yaanza mazoezi ya kutumia makombora ya nyuklia ni saa chache baada USA kukubali kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu
Nahisi labda walikuwepo wanamuachia afanye maujinga yake tu, akaona labda wanamuogopa, kumbe walikua wanamfanyia timing tu...
Nyuklia sio suala la kukulupukia ndugu na halifanyiwi mazoezi hovyo hovyo kitendo cha wewe kufanya tu mazoezi ni tangazo tosha kwa adui na hata asiekua adui yako kuwa yuko hatari maana kufanya mazoezi ni kama kuhatarisha usalama wa mwingine ndo maana muda wote huwa hawafanyi mazoezi ya hizo siraha we mwangalie north korea kitendo kufanya tu mzoezi tayari akaanza kusakamwa na vitisho vya USAKwani hayo mazoezi walikua bado hawajaanzaga tu mpk leo?
Wacheza mpira hua wanafanya mazoezi kila siku nje ya uwanja wa mpira kwani siku ya mechi hua wakiingia uwanja hua wanabutua tu si wanapasha kwa misuli joto
Sio kwamba anazo siraha za nyuklia tu na bado yeye ndio kunara wa sihara za nyuklia ndio nchi yenye siraha nyingi zaidi dunia za nyuklia na mfumo imara wa anga
Huenda anatoka kanda isiyo na rUnaonaje ukijifunza Kiswahili kwanza?
Putin anafikiri hizo silaha anazo peke yake. Ajaribu tu aone kitakachotokea.Urusi yaanza mazoezi ya kutumia makombora ya nyuklia ni saa chache baada USA kukubali kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu
ni maamuzi yangu tu ya kutumia herufiHuenda anatoka kanda isiyo na r