Mnhhhhh, kwa hio Marekani nayo ina silaha za Nyuklia?!... tobaaa!....kwa kweli hii vita itaibua mengi, labda na Tanzania nayo tuna ka mtambo ketu ka Nyuklia... 😀 😀✌️✌️...
You are missing the point mkuu, balance of power kwa kutu wipe us all...?? no way...
Ni kweli, Marekani ina makando kando yake, labda ilikuwa super power, na kunahitajika balance ila hatari waliyofanya marekani Russia itakua zaidi kwa dunia, which is bad, having saying this sibariki mauaji yaliyofanywa na Marekani before, ila still tunapumua , sio kama Mrusi anavyofanya tupatwe na kiwewe cha kuhofia pumzi zetu wote humu duniani...