Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Uko right, ni war criminals, mimi mtu anayeingilia nchi nyingine ananiudhi sana,ila anayetaka kutuangamiza wote duniani, ananiudhi zaidi...lol... ila hao war criminals sio kweli kuwa hakuna aliyewaita war criminals, at least kwa watu wanaopenda justice ama fairness hao ni criminals, sema hawajapelekwa into justice, ila ipo siku watajibu matendo mbele ya judge/brought to justice kama sio hapa duniani then kwa sir God....lol
Urussi anatakaje kuiangamiza dunia?kwani US ilipoipiga makombora ya atomic Japan dunia iliangamia?
 
USA ndo anayataka yote haya hua anapenda uchochezi mno yeye na washirika wake NATO urusi hana baya ila USA anachochea kama sana ni mchochezi kuna kipidi yeye alivamia libya na iraq akauwa pasipo hatia hakuna alie mpigia kelele kisa tu wengi ni washirika wake leo urusi anatetea usalama wake USA yeye anachochea vita ata kule TAIWAN vs CHINA anachochea yeye soon utasikia unazuka mgogoro katika ya taiwan na china ila urusi hana baya na dunia na ameapa ataifuta kwenye uso wa dunia nchi itayojaribu kuhatarisha usalama wake hata hivo hawezi kuipiga ukraine na nyuklia badala ya yake atapigwa nayo USA tena kaapa kutumia makambola ya SATAN I NA SATAN II urusi sio mbaya mbaya ni USA na washirika wake
Mkuu,nasikia Marekani huwa inafanya uchochezi kama ina 'interests' na nchi fulani, sasa sijajua Taiwan na China ana 'interests' gani hapo??? nielimishe tafadhali...?..pili kwa faida yangu na wale wengine waliokuwa hawafuatilii hii vita..Mrusi anatetea usalama wake kwa kuipiga Marekani??? huoni hii inataharisha usalama wa dunia?, as kama ulivyosema Marekani ina washirika wake... huoni akiipiga Marekani, inamaanisha Marekani na washirika wake watataka kuipiga Urusi? na mimi sijui kama washirika wa Marekani nao hawana hayo Manyuklia yao..mweehh?...
 
Very sad, Marekani kuipiga Iraq kwa kuituhumu ina ' weapons of mass destruction'' wakati kuna kina Putin, nao walikosea...hivi hio Nyuklia si ndio hio hio.. weapon of mass destruction au?!.. msinicheke eti, najifunza kutoka kwenu...
US Walienda kuiba tu Gold reserves za Iraq huku wakileta porojo za WMD.
Screenshot_20220412-002702.jpg
 
This is sad, sikujua before Russia wana silaha za Nyuklia, kumbe walikua wana wasema North Korea tu buree...inaelekea labda nchi nyingi zina hizo silaha za Nyuklia...yakifumuka ya kufumuka huko tobaaaa...
Marekani mwenyewe anazo,
Wakati huo huo anakemea wenzake wasiwe nazo

Nilichogundua:
ukiwa na nyuklia, huonewi kijinga jinga, hata Ukraine angekua na nyuklia. Urusi asingetia maguu
 
Vipi Marekani alipomuondoa Gadafi Libya?!! Ilikua sahihi?!! Gadafi alikua tishio kwa dunia kwa kipi?!! Je walipomuondoa Sadam Iraq?!! Je walipojaribu kumuondoa Assad Syria Ila wakashindwa baada ya Urusi kuingia?!! Je walipotaka kumuondoa raisi wa Venezuela?!!

Marekani ndio anaongoza kwa kumiliki hizo silaha na ndio anaongoza kwa kuanzisha vita kwa maslahi ya kiuchumi tu,hakuna hatari anayoleta?!! Dunia ili iwe na amani,kunahitajia mataifa makubwa na mababe zaidi yasiyo rafiki ili kuwepo na balance of power!!!

Katazame leo baraza la usalama la kimataifa,mataifa yenye kura za veto!!!

Bila ya hivyo USA angeiweka kiganjani dunia nzima!!
Mnhhhhh, kwa hio Marekani nayo ina silaha za Nyuklia?!... tobaaa!....kwa kweli hii vita itaibua mengi, labda na Tanzania nayo tuna ka mtambo ketu ka Nyuklia... 😀 😀✌️✌️...

You are missing the point mkuu, balance of power kwa kutu wipe us all...?? no way...

Ni kweli, Marekani ina makando kando yake, labda ilikuwa super power, na kunahitajika balance ila hatari waliyofanya marekani Russia itakua zaidi kwa dunia, which is bad, having saying this sibariki mauaji yaliyofanywa na Marekani before, ila still tunapumua , sio kama Mrusi anavyofanya tupatwe na kiwewe cha kuhofia pumzi zetu wote humu duniani...
 
ASante mkuu kwa kunielimisha, Urusi anataka kutufuta uso wa dunia haki ya nani, saa nyingine unaweza kuwa smart ila usiwe wise...huyu Putin ndio mmoja wao...lol...nimeona hapo News, wanasema Ukraine haitatumia silaha za Marekani kwa sasa..mimi nahisi ni wazo zuri,wameona dunia nzima tutaisha...sababu Putin is soo dangerous for the world, sijui ndio Devil mwenyewe..au ndio kiama kinakuja sasa..tutubu
Ha ha ha ..wee jamaa muoga Sana
Eti "Sijui Putin ndio devil mwenyewe?"[emoji28]
 
Mimi sio mfuatiliaji wa hii vita hivyo sijui source yake, ila nitafurahi humu duniani wakiwaondoa viongozi wote wanaobariki nchi zao kuwa na silaha za Nyuklia, sababu wana intention mbaya sana ya kuangamiza dunia, ni kama unatengeneza Nyuklia ili dunia iwe chini yako, ambayo sio fair wewe sio Mungu kwamba dunia yote iwe chini yako, mimi nahisi Marekani inakosea kutaka kuipiga Russia, Wamuondoe Putin peke yake,decisions zake ndio zinazotaka kuangamiza dunia na sio watu wa Russia...
Marekani kwanza na yeye aziangamize silaha zake za nyuklia,

Sio fair ulalamike wenzako Wana nyuklia, wkt wewe mwnyw unazo za kwako kibao umezificha.
 
Mkuu,nasikia Marekani huwa inafanya uchochezi kama ina 'interests' na nchi fulani, sasa sijajua Taiwan na China ana 'interests' gani hapo??? nielimishe tafadhali...?..pili kwa faida yangu na wale wengine waliokuwa hawafuatilii hii vita..Mrusi anatetea usalama wake kwa kuipiga Marekani??? huoni hii inataharisha usalama wa dunia?, as kama ulivyosema Marekani ina washirika wake... huoni akiipiga Marekani, inamaanisha Marekani na washirika wake watataka kuipiga Urusi? na mimi sijui kama washirika wa Marekani nao hawana hayo Manyuklia yao..mweehh?...
Sababu za marekani kuchochea ch
Mkuu,nasikia Marekani huwa inafanya uchochezi kama ina 'interests' na nchi fulani, sasa sijajua Taiwan na China ana 'interests' gani hapo??? nielimishe tafadhali...?..pili kwa faida yangu na wale wengine waliokuwa hawafuatilii hii vita..Mrusi anatetea usalama wake kwa kuipiga Marekani??? huoni hii inataharisha usalama wa dunia?, as kama ulivyosema Marekani ina washirika wake... huoni akiipiga Marekani, inamaanisha Marekani na washirika wake watataka kuipiga Urusi? na mimi sijui kama washirika wa Marekani nao hawana hayo Manyuklia yao..mweehh?...
Sababu ya USA kuchochea china vs taiwan ni sababu za kiuchumi USA anataka china iingie kwenye mgogoro na taiwan kitu ambacho kitanaweza kuathiri uchumi wa china kwa wakati kama huu china ikiwa kwenye harakati za kupanua uchumi wake pia ziko sababu kadhaa na kadhaa USA kuchochea kwa upande wa urusi hana tatizo na USA ila USA aliihatarisha usalama wa urusi pale alipotaka kuinganisha ukraine na NATO kitu ambacho ni tishio kwa urusi kwani NATO wangeenda kambi yao ya kijeshi mpakani kwa ukraine na urusi kitu ambacho hatari kwa urusi ni sawa na adui kukufata mpaka chumbani urusi iliionya ukraine iache mara moja mpango wa kujiunga na nato lakini ukraine kwa kiburi na majivuno akakaidi hapo ndio mwanzo wa vita hiyo ni kwa ufupi tu ila zipo sababu nyingi ambazo zimechangia hii vita sema USA yeye kamdomo ndo kanamponza kuingia yasio muhusu ukraine na urusi ni habari ndefu ilianzia pale umoja wa kisoviet ulipoagawanyika
 
Mkuu,nasikia Marekani huwa inafanya uchochezi kama ina 'interests' na nchi fulani, sasa sijajua Taiwan na China ana 'interests' gani hapo??? nielimishe tafadhali...?..pili kwa faida yangu na wale wengine waliokuwa hawafuatilii hii vita..Mrusi anatetea usalama wake kwa kuipiga Marekani??? huoni hii inataharisha usalama wa dunia?, as kama ulivyosema Marekani ina washirika wake... huoni akiipiga Marekani, inamaanisha Marekani na washirika wake watataka kuipiga Urusi? na mimi sijui kama washirika wa Marekani nao hawana hayo Manyuklia yao..mweehh?...
Sababu za marekani kuchochea ch
Mkuu,nasikia Marekani huwa inafanya uchochezi kama ina 'interests' na nchi fulani, sasa sijajua Taiwan na China ana 'interests' gani hapo??? nielimishe tafadhali...?..pili kwa faida yangu na wale wengine waliokuwa hawafuatilii hii vita..Mrusi anatetea usalama wake kwa kuipiga Marekani??? huoni hii inataharisha usalama wa dunia?, as kama ulivyosema Marekani ina washirika wake... huoni akiipiga Marekani, inamaanisha Marekani na washirika wake watataka kuipiga Urusi? na mimi sijui kama washirika wa Marekani nao hawana hayo Manyuklia yao..mweehh?...
Sababu ya USA kuchochea china vs taiwan ni sababu za kiuchumi USA anataka china iingie kwenye mgogoro na taiwan kitu ambacho kitanaweza kuathiri uchumi wa china kwa wakati kama huu china ikiwa kwenye harakati za kupanua uchumi wake pia ziko sababu kadhaa na kadhaa USA kuchochea kwa upande wa urusi hana tatizo na USA ila USA aliihatarisha usalama wa urusi pale alipotaka kuinganisha ukraine na NATO kitu ambacho ni tishio kwa urusi kwani NATO wangeenda kambi yao ya kijeshi mpakani kwa ukraine na urusi kitu ambacho hatari kwa urusi ni sawa na adui kukufata mpaka chumbani urusi iliionya ukraine iache mara moja mpango wa kujiunga na nato lakini ukraine kwa kiburi na majivuno akakaidi hapo ndio mwanzo wa vita hiyo ni kwa ufupi tu ila zipo sababu nyingi ambazo zimechangia hii vita sema USA yeye kamdomo ndo kanamponza kuingia yasio muhusu ukraine na urusi ni habari ndefu ilianzia pale umoja wa kisoviet ulipoagawanyika
 
Very sad, Marekani kuipiga Iraq kwa kuituhumu ina ' weapons of mass destruction'' wakati kuna kina Putin, nao walikosea...hivi hio Nyuklia si ndio hio hio.. weapon of mass destruction au?!.. msinicheke eti, najifunza kutoka kwenu...
Yeye mwnyw USA hizo nyuklia mbona anazo
 
Very sad, Marekani kuipiga Iraq kwa kuituhumu ina ' weapons of mass destruction'' wakati kuna kina Putin, nao walikosea...hivi hio Nyuklia si ndio hio hio.. weapon of mass destruction au?!.. msinicheke eti, najifunza kutoka kwenu...
WMD zipo za aina nyingi sana lakini mojawapo ni nuclear weapons na zingine ni kama biological weapons and so on.
Lakini silaha za nyuklia ni hatar zaidi na athari zake ni za muda mrefu
 
Mnhhhhh, kwa hio Marekani nayo ina silaha za Nyuklia?!... tobaaa!....kwa kweli hii vita itaibua mengi, labda na Tanzania nayo tuna ka mtambo ketu ka Nyuklia... 😀 😀✌️✌️...

You are missing the point mkuu, balance of power kwa kutu wipe us all...?? no way...

Ni kweli, Marekani ina makando kando yake, labda ilikuwa super power, na kunahitajika balance ila hatari waliyofanya marekani Russia itakua zaidi kwa dunia, which is bad, having saying this sibariki mauaji yaliyofanywa na Marekani before, ila still tunapumua , sio kama Mrusi anavyofanya tupatwe na kiwewe cha kuhofia pumzi zetu wote humu duniani...
Ina hukufahamu kuhusu mabomu hatari anayomiliki USA?!! Hujawahi kusoma ama kuona ubaya wa bomu la Marekani kule Japan-Hiroshima?!!
 
Back
Top Bottom