Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Asante, embu nielimishe mkuu, niliona mahali humu ..wanasema tulime vitu vyetu Tanzania/Africa sababu hii vita italeta njaa huko kwa wanaopigana hivyo tutapewapelekea huko , ama tuki import vyakula vyao vitakua na mionzi hivyo sio salama kuvila, je yakipigwa hayo mabomu ya Nyuklia si dunia nzima inakua affected mfumo wa hewa, maji au???? haiwezekani mabomu ya Nyuklia yakapigwa huko Marekani halafu bado Tanzania tukaathirika na hizo Nyuklia hata kama hatupo kwenye eneo la vita? usinicheke eti..
Inategemea yatatumika kwa kiasi kipi kama urusi ikitumia kwa ukraine inaweza kubadili hali kutoka urusi vs ukraine kuwa WW3 vita ya tatu ya dunia na urusi imeapa yoyote atakajaribu kuingia pua atajibiwa kwa nyuklia yakitokea haya lazima athari zitafika mpaka huku afrika maana nyuklia itatumika kwa kiasi kikubwa lakini kama urusi ataipiga ukraine pekee na nyuklia athari haziwezi kufika huku afrika labla kama njaa na nyingine mfano uchumi kuyumba kwani kwa dunia ina mhitaji urusi kuliko urusi anavo hitaji dunia maana akitumia nyuklia ataongezewa vikwazo ambayo vitatuathiri mpaka sisi waafrika kuhusu chakula kitakua vizuri tu endapo haitazuka WW3 mbali na hapo mjipange maana vita haina macho kwa kifupi sisi hatuathiriki kwa chochote na hiyo nyuklia mpaka itakapotumika kwa wingi lakini itaacha madhara kwa ukraine na hata baadhi ya nchi alizopakana nazo inategemea na umbali gani litakapo angushiwa hilo bomu
 
This is sad, sikujua before Russia wana silaha za Nyuklia, kumbe walikua wana wasema North Korea tu buree...inaelekea labda nchi nyingi zina hizo silaha za Nyuklia...yakifumuka ya kufumuka huko tobaaaa...

Pale Ulaya nzima hakuna nchi ambayo inaifikia Urusi kwa stocks za silaha na hakuna nchi ambayo itaenda vitani peke take dhidi ya Urusi.

Watu wanasahau kujua kua pale Ukraine Urusi hajafanya vita serious kabisa yaani ile full engagement,bali kutokana na Ukraine kuwatumia wananchi kama ngao,amechagua maeneo kadhaa ya kushambulia kuidhohofisha Ukraine ili isaini agreements.

Ukraine ashambuliwe kwa makombora ndani ya Urusi, halfu tuone. Ama hata hao wafadhili wake waingie wazi wazi vitani kama walivyofanya Libya,Iraq,Syria, Afghanistan etc halafu tuone kama Vita ya 3 ya dunia haitalipuka!!
 
Inategemea yatatumika kwa kiasi kipi kama urusi ikitumia kwa ukraine inaweza kubadili hali kutoka urusi vs ukraine kuwa WW3 vita ya tatu ya dunia na urusi imeapa yoyote atakajaribu kuingia pua atajibiwa kwa nyuklia yakitokea haya lazima athari zitafika mpaka huku afrika maana nyuklia itatumika kwa kiasi kikubwa lakini kama urusi ataipiga ukraine pekee na nyuklia athari haziwezi kufika huku afrika labla kama njaa na nyingine mfano uchumi kuyumba kwani kwa dunia ina mhitaji urusi kuliko urusi anavo hitaji dunia maana akitumia nyuklia ataongezewa vikwazo ambayo vitatuathiri mpaka sisi waafrika kuhusu chakula kitakua vizuri tu endapo haitazuka WW3 mbali na hapo mjipange maana vita haina macho kwa kifupi sisi hatuathiriki kwa chochote na hiyo nyuklia mpaka itakapotumika kwa wingi lakini itaacha madhara kwa ukraine na hata baadhi ya nchi alizopakana nazo inategemea na umbali gani litakapo angushiwa hilo bomu
ASante mkuu kwa kunielimisha, Urusi anataka kutufuta uso wa dunia haki ya nani, saa nyingine unaweza kuwa smart ila usiwe wise...huyu Putin ndio mmoja wao...lol...nimeona hapo News, wanasema Ukraine haitatumia silaha za Marekani kwa sasa..mimi nahisi ni wazo zuri,wameona dunia nzima tutaisha...sababu Putin is soo dangerous for the world, sijui ndio Devil mwenyewe..au ndio kiama kinakuja sasa..tutubu
 
This is sad, sikujua before Russia wana silaha za Nyuklia, kumbe walikua wana wasema North Korea tu buree...inaelekea labda nchi nyingi zina hizo silaha za Nyuklia...yakifumuka ya kufumuka huko tobaaaa...
Na pia ujue Russia ndio inangoza kwa kua na silaha nyingi za nuclear kuliko nchi nyingine yoyote Ile duniani,huyo North Korea nuclear warheads anazo kwny 300's(Mia tatu huko) wkt Russia anazo 6,000's(kwny elfu 6 huko).
 
Pale Ulaya nzima hakuna nchi ambayo inaifikia Urusi kwa stocks za silaha na hakuna nchi ambayo itaenda vitani peke take dhidi ya Urusi.

Watu wanasahau kujua kua pale Ukraine Urusi hajafanya vita serious kabisa yaani ile full engagement,bali kutokana na Ukraine kuwatumia wananchi kama ngao,amechagua maeneo kadhaa ya kushambulia kuidhohofisha Ukraine ili isaini agreements.

Ukraine ashambuliwe kwa makombora ndani ya Urusi, halfu tuone. Ama hata hao wafadhili wake waingie wazi wazi vitani kama walivyofanya Libya,Iraq,Syria, Afghanistan etc halafu tuone kama Vita ya 3 ya dunia haitalipuka!!

Mimi sio mfuatiliaji wa hii vita hivyo sijui source yake, ila nitafurahi humu duniani wakiwaondoa viongozi wote wanaobariki nchi zao kuwa na silaha za Nyuklia, sababu wana intention mbaya sana ya kuangamiza dunia, ni kama unatengeneza Nyuklia ili dunia iwe chini yako, ambayo sio fair wewe sio Mungu kwamba dunia yote iwe chini yako, mimi nahisi Marekani inakosea kutaka kuipiga Russia, Wamuondoe Putin peke yake,decisions zake ndio zinazotaka kuangamiza dunia na sio watu wa Russia...
 
ASante mkuu kwa kunielimisha, Urusi anataka kutufuta uso wa dunia haki ya nani, saa nyingine unaweza kuwa smart ila usiwe wise...huyu Putin ndio mmoja wao...lol...nimeona hapo News, wanasema Ukraine haitatumia silaha za Marekani kwa sasa..mimi nahisi ni wazo zuri,wameona dunia nzima tutaisha...sababu Putin is soo dangerous for the world, sijui ndio Devil mwenyewe..au ndio kiama kinakuja sasa..tutubu
USA ndo anayataka yote haya hua anapenda uchochezi mno yeye na washirika wake NATO urusi hana baya ila USA anachochea kama sana ni mchochezi kuna kipidi yeye alivamia libya na iraq akauwa pasipo hatia hakuna alie mpigia kelele kisa tu wengi ni washirika wake leo urusi anatetea usalama wake USA yeye anachochea vita ata kule TAIWAN vs CHINA anachochea yeye soon utasikia unazuka mgogoro katika ya taiwan na china ila urusi hana baya na dunia na ameapa ataifuta kwenye uso wa dunia nchi itayojaribu kuhatarisha usalama wake hata hivo hawezi kuipiga ukraine na nyuklia badala ya yake atapigwa nayo USA tena kaapa kutumia makambola ya SATAN I NA SATAN II urusi sio mbaya mbaya ni USA na washirika wake
 
ASante mkuu kwa kunielimisha, Urusi anataka kutufuta uso wa dunia haki ya nani, saa nyingine unaweza kuwa smart ila usiwe wise...huyu Putin ndio mmoja wao...lol...nimeona hapo News, wanasema Ukraine haitatumia silaha za Marekani kwa sasa..mimi nahisi ni wazo zuri,wameona dunia nzima tutaisha...sababu Putin is soo dangerous for the world, sijui ndio Devil mwenyewe..au ndio kiama kinakuja sasa..tutubu
[emoji1][emoji1][emoji1] aisee.
Screenshot_20220324-015904.jpg
 
Na pia ujue Russia ndio inangoza kwa kua na silaha nyingi za nuclear kuliko nchi nyingine yoyote Ile duniani,huyo North Korea nuclear warheads anazo kwny 300's(Mia tatu huko) wkt Russia anazo 6,000's(kwny elfu 6 huko).

Very sad, Marekani kuipiga Iraq kwa kuituhumu ina ' weapons of mass destruction'' wakati kuna kina Putin, nao walikosea...hivi hio Nyuklia si ndio hio hio.. weapon of mass destruction au?!.. msinicheke eti, najifunza kutoka kwenu...
 
[emoji1][emoji1][emoji1] aisee.View attachment 2247802

Uko right, ni war criminals, mimi mtu anayeingilia nchi nyingine ananiudhi sana,ila anayetaka kutuangamiza wote duniani, ananiudhi zaidi...lol... ila hao war criminals sio kweli kuwa hakuna aliyewaita war criminals, at least kwa watu wanaopenda justice ama fairness hao ni war criminals, sema hawajapelekwa into justice, ila ipo siku watajibu matendo mbele ya judge/brought to justice kama sio hapa duniani then kwa sir God....lol
 
Very sad, Marekani kuipiga Iraq kwa kuituhumu ina ' weapons of mass destruction'' wakati kuna kina Putin, nao walikosea...hivi hio Nyuklia si ndio hio hio.. weapon of mass destruction au?!.. msinicheke eti, najifunza kutoka kwenu...
Huo uongo hawakua na siraha za weapon of mass destruction bali walilenga kumtoa sadam hussein kama walivomtoa muammar gaddaf kule libya USA ilivoona tuhuma zimekua nyingi ndio wakaanza kusema sababu ni kuwa iraq ina siraha za weapon of mass destruction pia inatunza vikundi vya kigaidi kumbe lengo la ni kung'oa sadam hussein kama walivomng'oa muammar gadaf pale libya USA huwa hawapendi viongozi imara bali wanataka kila mtu awe kibaraka wao bado tena waliingia sirya kwa kisingizio cha kwamba sirya inamiliki siraha za kemikal wakati shida yao ni ile ile ya kama kama alivofanya kwa gadaf na saddam
 
Mimi sio mfuatiliaji wa hii vita hivyo sijui source yake, ila nitafurahi humu duniani wakiwaondoa viongozi wote wanaobariki nchi zao kuwa na silaha za Nyuklia, sababu wana intention mbaya sana ya kuangamiza dunia, ni kama unatengeneza Nyuklia ili dunia iwe chini yako, ambayo sio fair wewe sio Mungu kwamba dunia yote iwe chini yako, mimi nahisi Marekani inakosea kutaka kuipiga Russia, Wamuondoe Putin peke yake,decisions zake ndio zinazotaka kuangamiza dunia na sio watu wa Russia...

Vipi Marekani alipomuondoa Gadafi Libya?!! Ilikua sahihi?!! Gadafi alikua tishio kwa dunia kwa kipi?!! Je walipomuondoa Sadam Iraq?!! Je walipojaribu kumuondoa Assad Syria Ila wakashindwa baada ya Urusi kuingia?!! Je walipotaka kumuondoa raisi wa Venezuela?!!

Marekani ndio anaongoza kwa kumiliki hizo silaha na ndio anaongoza kwa kuanzisha vita kwa maslahi ya kiuchumi tu,hakuna hatari anayoleta?!! Dunia ili iwe na amani,kunahitajia mataifa makubwa na mababe zaidi yasiyo rafiki ili kuwepo na balance of power!!!

Katazame leo baraza la usalama la kimataifa,mataifa yenye kura za veto!!!

Bila ya hivyo USA angeiweka kiganjani dunia nzima!!
 
Back
Top Bottom