Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Kama umenisoma previous posst mimi mambo ya Nyuklia siyajui vizuri, Mkuu fulani hapo juu kaniambia tatizo sio Nyuklia chache, bali ikiwa nyingi kwenye vita ndio wote duniani hatuko salama,
Huyo aliye reply post yako inaonyesha hakuna anachokijuwa kuhusu nyuklia.
Wakati marekani anaipiga Japan na nyuklia 1945 Fat boy na Little boy zilikuwa ni silaha ndogo sana kiuwezo/capability ukilinganisha na hizi za leo.Hizo nyuklia za wakati huo uzito wake haukuzid hata kg 50.
But today silaha zina hata megaton 1000 na kuendelea.Kwa mfano silaha la Urusi inayoitwa Sartan 1 ina weka ku flat Ufaransa yote ndani ya muda mfupi.
 
Sababu za marekani kuchochea ch

Sababu ya USA kuchochea china vs taiwan ni sababu za kiuchumi USA anataka china iingie kwenye mgogoro na taiwan kitu ambacho kitanaweza kuathiri uchumi wa china kwa wakati kama huu china ikiwa kwenye harakati za kupanua uchumi wake pia ziko sababu kadhaa na kadhaa USA kuchochea kwa upande wa urusi hana tatizo na USA ila USA aliihatarisha usalama wa urusi pale alipotaka kuinganisha ukraine na NATO kitu ambacho ni tishio kwa urusi kwani NATO wangeenda kambi yao ya kijeshi mpakani kwa ukraine na urusi kitu ambacho hatari kwa urusi ni sawa na adui kukufata mpaka chumbani urusi iliionya ukraine iache mara moja mpango wa kujiunga na nato lakini ukraine kwa kiburi na majivuno akakaidi hapo ndio mwanzo wa vita hiyo ni kwa ufupi tu ila zipo sababu nyingi ambazo zimechangia hii vita sema USA yeye kamdomo ndo kanamponza kuingia yasio muhusu ukraine na urusi ni habari ndefu ilianzia pale umoja wa kisoviet ulipoagawanyika

nimejifunza mengi na naendelea kujifunza mengi kutoka kwako, asante kwa uvumilivu,lol, nielimishe again kwa faida yangu na wengine, kwa nini Marekani inataka China idhoofike kiuchumi sababu nachojua USA ni kubwa kiuchumi kwa China, ..thanks kwa kunielezea source ya hii vita, i wish wangetoa viongozi wote wenye decisions za kuingia vitani, kwa sababu ni watu wengine tofauti ndio wanalipa hii price za decisions zao, wao weko kwenye ulinzi maradufu, hawasogelewi hata na inzi, halafu wananchi wa kawaida ndio wanauwawa...
 
Huyo aliye reply post yako inaonyesha hakuna anachokijuwa kuhusu nyuklia.
Wakati marekani anaipiga Japan na nyuklia 1945 Fat boy na Little boy zilikuwa ni silaha ndogo sana kiuwezo/capability ukilinganisha na hizi za leo.Hizo nyuklia za wakati huo uzito wake haukuzid hata kg 50.
But today silaha zina hata megaton 1000 na kuendelea.Kwa mfano silaha la Urusi inayoitwa Sartan 1 ina weka ku flat Ufaransa yote ndani ya muda mfupi.
Asante mkuu, kuna hatari kubwa sana mbele yetu, huyo ni Russia tu, na wengine wakiweka zao, hakuna hata nzi atakaye survive...
 
Inategemea yatatumika kwa kiasi kipi kama urusi ikitumia kwa ukraine inaweza kubadili hali kutoka urusi vs ukraine kuwa WW3 vita ya tatu ya dunia na urusi imeapa yoyote atakajaribu kuingia pua atajibiwa kwa nyuklia yakitokea haya lazima athari zitafika mpaka huku afrika maana nyuklia itatumika kwa kiasi kikubwa lakini kama urusi ataipiga ukraine pekee na nyuklia athari haziwezi kufika huku afrika labla kama njaa na nyingine mfano uchumi kuyumba kwani kwa dunia ina mhitaji urusi kuliko urusi anavo hitaji dunia maana akitumia nyuklia ataongezewa vikwazo ambayo vitatuathiri mpaka sisi waafrika kuhusu chakula kitakua vizuri tu endapo haitazuka WW3 mbali na hapo mjipange maana vita haina macho kwa kifupi sisi hatuathiriki kwa chochote na hiyo nyuklia mpaka itakapotumika kwa wingi lakini itaacha madhara kwa ukraine na hata baadhi ya nchi alizopakana nazo inategemea na umbali gani litakapo angushiwa hilo bomu
Ujinga Tu , Kwani hizo nuclear war heads anazo yeye Tu ? au Kwa akili yako fupi kama kisoda unafikiri akijaribu kuzitumia mataifa mengine yatamwacha Tu na kumwangalia au sio ?
 
Asante mkuu, kuna hatari kubwa sana mbele yetu, huyo ni Russia tu, na wengine wakiweka zao, hakuna hata nzi atakaye survive...
Mataifa yenye Nuclear Arsenal kubwa duniani ni Urusi na Marekani, Urusi akiwa ni kiranja wa Ligi.Marekani na Urusi walisha sign mikata mbalimbali kwa lengo la kupunguza Arsenal zao lakini baada ya muda walishindwa kuendelea na mkataba wao.Waliwahi ku sign INF(intermediate Nuclear forces) lakini alipoiingia Trump alivuruga mkataba.Sasa hawa miamba kila mmoja kwa wakati wake huwa anaboresha namna ya ku deliver nyuklia kwa adui yake.Urusi ana kitu ambacho kinasababisha Nyuklia tsunami.Hii ngoma kama itapigwa Uingereza basi kwisha habari zake
 
Ujinga Tu , Kwani hizo nuclear war heads anazo yeye Tu ? au Kwa akili yako fupi kama kisoda unafikiri akijaribu kuzitumia mataifa mengine yatamwacha Tu na kumwangalia au sio ?

Hivi nyie madogo wampumbavu mnaoanzisha mada za kipuuzi hivi huwa mna akili za wapi ? , Hivi hata huwa mnasoma hata history ya Huu ulimwengu kweli nyinyi ?

Mnajua chochote labda kuhusu hii kitu " US-Russia mutual destruction pact "
Mnakurupuka Tu from nowhere baada ya Kula viazi maharagwe yaliyo cha-cha mnakuja kujaza servers humu .

Mods sijui huwa kazi yenu ni nini humu , hawa watoto wapumbav WA Facebook wamezidi kuharibu hii platform kila kukicha Kwa kuanzisha no brainer threads kama hizi , ni ujinga Huu .
 
Huyo aliye reply post yako inaonyesha hakuna anachokijuwa kuhusu nyuklia.
Wakati marekani anaipiga Japan na nyuklia 1945 Fat boy na Little boy zilikuwa ni silaha ndogo sana kiuwezo/capability ukilinganisha na hizi za leo.Hizo nyuklia za wakati huo uzito wake haukuzid hata kg 50.
But today silaha zina hata megaton 1000 na kuendelea.Kwa mfano silaha la Urusi inayoitwa Sartan 1 ina weka ku flat Ufaransa yote ndani ya muda mfupi.
Haya Sasa ngoja nikuulize wewe Gen. Wa jeshi la sungusungua,France yenye ukubwa wa km sq 543,940 ikipigwa bomu ikafutika yote dunia inaathirikaje?
 
Haya Sasa ngoja nikuulize wewe Gen. Wa jeshi la sungusungua,France yenye ukubwa wa km sq 543,940 ikipigwa bomu ikafutika yote dunia inaathirikaje?
Umeelewa kwanza msingi wa reply yangu hapo juu.Kama haujaelewa nakushauri nenda ukasome tena.Sartan 1 ni silaha moja tu ya Nyuklia yenye nuclear warhead nyingi, sasa kama silaha hiyo inaweza kumeza ufaransa yote je vipi zikiwa kama 500 hivi.Umejaribu kuwaza
 
ASante mkuu kwa kunielimisha, Urusi anataka kutufuta uso wa dunia haki ya nani, saa nyingine unaweza kuwa smart ila usiwe wise...huyu Putin ndio mmoja wao...lol...nimeona hapo News, wanasema Ukraine haitatumia silaha za Marekani kwa sasa..mimi nahisi ni wazo zuri,wameona dunia nzima tutaisha...sababu Putin is soo dangerous for the world, sijui ndio Devil mwenyewe..au ndio kiama kinakuja sasa..tutubu
Unawaendekeza hao USA na EU kwa kuwafumbia macho nakati wao ndiyo chanzo cha yote hayo yalipofikia na yanavyoendelea.

Putin yuko sahihi kulinda nchi yake kwa 100% dhidi ya adui wake USA.

Mbona RUSSIA ilipotaka kuweka kambi yake Cuba USA ilikuja juu kumtaka RUSSIA itoe kambi zake Cuba la sivyo itaanzisha vita na Cuba?

RUSSIA si ilikubali na ilitoa majeshi yake, sasa kwanini iwe nongwa kwa USA kuambiwa atoe majeshi yake ya NATO pale Ukraine ambapo ni jirani zaidi na Adui wake RUSSIA?
 
Mataifa yenye Nuclear Arsenal kubwa duniani ni Urusi na Marekani, Urusi akiwa ni kiranja wa Ligi.Marekani na Urusi walisha sign mikata mbalimbali kwa lengo la kupunguza Arsenal zao lakini baada ya muda walishindwa kuendelea na mkataba wao.Waliwahi ku sign INF(intermediate Nuclear forces) lakini alipoiingia Trump alivuruga mkataba.Sasa hawa miamba kila mmoja kwa wakati wake huwa anaboresha namna ya ku deliver nyuklia kwa adui yake.Urusi ana kitu ambacho kinasababisha Nyuklia tsunami.Hii ngoma kama itapigwa Uingereza basi kwisha habari zake

Thanks mkuu,US,Russia na wote wanaomiliki silaha za nyuklia ni hatari kwa usalama wa dunia, kibaya mimi naogopa labda nchi nyingi tu duniani zina hizi silaha za nyuklia basi tuu....bora hata North Korea hana unafiki alionyesha kabisa anazo...US mpaka anaingia Iraq kumbe na yeye katulia anazo tuu...mnh
 
Very sad, Marekani kuipiga Iraq kwa kuituhumu ina ' weapons of mass destruction'' wakati kuna kina Putin, nao walikosea...hivi hio Nyuklia si ndio hio hio.. weapon of mass destruction au?!.. msinicheke eti, najifunza kutoka kwenu...
hahaha ila Rebeca 83 sasa unanifurahisha.
 
North Korea anajaribu kill kukicha,mbona hamumsemi?
Tuseme nini mkuu.
Ndio maana nimetoa maoni yangu kuwa Putin anaonekana ananguvu kwa sababu ya show off zake. Hata Kim nae ndio wale wale tu kupenda show off.
Kuna mataifa yako kimya yanasubiri mwenye kihere here aanze.
Si umeona huyo Kim mwenyewe amejikita kufanya majaribio, sasa afanye kweli aone watu watakavyotoka mapangoni na vitu vizito.
 
Unaambiwa yale ya Nagasaki na Hiroshima ni primitive atomic bombs
Ya tekinolojia ya sasa ni noma
Tueleze tu kwa kifupi,kwa mfano TSAR bomb(World nuclear Biggest Bomb) likipigwa Ukraine Ni madhara gani Tz itayapata?
 
Hapa nachoona vita ya tatu inanukia ila tatizo litakuja project ya kwenda sayari ya masi haijakamilika so haitapiganwa kwanza mpk hio project ikamilike ili matajiri na viongozi muhimu wakimbilie huko alafu sisi mbarara tupambane na mungu wetu huku duniani wakati mataifa yenye nguvu yakigeuza dunia jangwa kwa silaha za kemikali
 
Wacheza mpira hua wanafanya mazoezi kila siku nje ya uwanja wa mpira kwani siku ya mechi hua wakiingia uwanja hua wanabutua tu si wanapasha kwa misuli joto

Sio kwamba anazo siraha za nyuklia tu na bado yeye ndio kunara wa sihara za nyuklia ndio nchi yenye siraha nyingi zaidi dunia za nyuklia na mfumo imara wa anga
Eti mfumo imara wa anga? Hivi vichekesho tunavipataje
 
Back
Top Bottom