Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Tetesi: Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za nyuklia

Umeelewa swali lkn?Nimeuliza bomb Hilo likipigwa Ukraine Ni madhara gani Tz itayapata?
Kama vita inspiganwa huko lakini Tz kila kitu kimepanda na huko hakuna total ban ya exports ya bidhaa je bomu likipigwa kusiwe kuna utoaji wa bidhaa huko Tanzania itakuwaje. Huu ndo wajati wa Tz kuuza ndege zake na kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji maana vita ikishakolea tutaziweka packing na hakutakuwa na wakuzinunua maisha yatakuwa magumu zidi ya hapa maana mwaka huu hakuna mavuno yakutosha
 
Ikitokea vya nyukilia itakuwa fursa kubwa kwa waafrika kuwa superpower, tutakuwa tunawadhibiti kuja Africa na kuwatoza pwsa nying kwa visa, watatutegemea chakula kwa muda mrefu.i
Hivi unaijua nyuklia kweli wewe au unaijua WW3 kweli wewe 😃 au unaanza kujipa faida za kua super power bila kujua ikipigwa WW3 dunia nzima lazima iingize majeshi vitani sio wewe wala sio kenya mfano RUSSIA ana kombora la SATAN I NA SATAN II haya tu yanatosha ukigeuza TZ vumbi ikipigwa vita ya dunia au ikitumia kunyuklia ni sawa na kusema ndio mwisho wa kuishi kwa viumbe hai katika hii dunia ila inategemea itatumika kwa kiasi kipi ndo maana kila mtu hataki vita ya nuclear wewe tayari unawaza kuwa super power 😁
 
Kama vita inspiganwa huko lakini Tz kila kitu kimepanda na huko hakuna total ban ya exports ya bidhaa je bomu likipigwa kusiwe kuna utoaji wa bidhaa huko Tanzania itakuwaje. Huu ndo wajati wa Tz kuuza ndege zake na kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji maana vita ikishakolea tutaziweka packing na hakutakuwa na wakuzinunua maisha yatakuwa magumu zidi ya hapa maana mwaka huu hakuna mavuno yakutosha
Na unajua 70% ya mbolea tunayotumia hapa Tz inatoka Russia sio?
 
Hivi unaijua nyuklia kweli wewe au unaijua WW3 kweli wewe 😃 au unaanza kujipa faida za kua super power bila kujua ikipigwa WW3 dunia nzima lazima iingize majeshi vitani sio wewe wala sio kenya mfano RUSSIA ana kombora la SATAN I NA SATAN II haya tu yanatosha ukigeuza TZ vumbi ikipigwa vita ya dunia au ikitumia kunyuklia ni sawa na kusema ndio mwisho wa kuishi kwa viumbe hai katika hii dunia ila inategemea itatumika kwa kiasi kipi ndo maana kila mtu hataki vita ya nuclear wewe tayari unawaza kuwa super power 😁
Unajua tofauti ya Tactical vs Strategic nuclear weapons?
 
This is sad, sikujua before Russia wana silaha za Nyuklia, kumbe walikua wana wasema North Korea tu buree...inaelekea labda nchi nyingi zina hizo silaha za Nyuklia...yakifumuka ya kufumuka huko tobaaaa...
Inanesha sio mfwatiliaji wa historia. Duniani ni nchi mbili tu zenye hifadhi kubwa ya silaha za nuklia nazo ni Urusi na Marekani. Labda kidogo na china ila Hao wengine share yao ni ndogo!
 
Hamna kitu kama hcho boss , hzo ni imagination tuu , yeye kama anatumia atumie tuu , na maisha yataendelea, mda wote wenzake walikuwa wanajipanga namna ya kudhibiti hzo nyuklia endapo atazitumia, ndo mana sa hv wamemwacha hata akitumia fresh tuu
Then watamtandika kama Hitler alivyotandikwa.
 
Thanks ni kweli sifuatilii siasa za kimataifa, kama wewe uko smart mbona ungekua usha ninote muda mrefu tu kwenye hii topic 🤣🤣🤣☺️☺️☺️☺️, ila ndio maana kuna JF, wengi tu hatufuatilii hizo siasa za kimataifa, ila tumejifunza kwenu ma pro wa kufuatilia hizo siasa, tena ndani ya muda mfupi, ndio raha ya JF,lol,

Thanks, je hizo nchi 13, je hakuna washirika wa Marekani kweli??... manake balaa atiii...
Basi nakushauri kuanzia leo ebu jipe muda walau kidogo wa kudodosa kuhusu siasa za mataifa makubwa si unajuwa hawa ndo wana ongoza dunia.
Kwa nchi zinazomliki
Thanks ni kweli sifuatilii siasa za kimataifa, kama wewe uko smart mbona ungekua usha ninote muda mrefu tu kwenye hii topic 🤣🤣🤣☺️☺️☺️☺️, ila ndio maana kuna JF, wengi tu hatufuatilii hizo siasa za kimataifa, ila tumejifunza kwenu ma pro wa kufuatilia hizo siasa, tena ndani ya muda mfupi, ndio raha ya JF,lol,

Thanks, je hizo nchi 13, je hakuna washirika wa Marekani kweli??... manake balaa atiii...
Nakushauri kuanzia leo yaani hapa anza kufuatilia siasa za mataifa makubwa si unajuwa hawa ndo wanaofanya maamuzi ya dunia.
Katika nchi zinazomiliki silaha za nyuklia nchi nyingi ni washirika wa Marekani na zilizobaki zipo nyutro na zingine chache zipo upande wa urusi.
Lakini bado si chochote kile kwa sababu hizo nchi arsenal zao ni kidogo sana compered na Russia.Lakini tunapo angalia nyuklia huwa tuna angalia vitu vingi kama vile uwezo wake(payload),deliver system na Speed ya ku hit target.Kwa mambo hayo Marekani na Urusi wamewaacha mbali sana tena sana hao waliobaki.
Note.Urusi ana miliki hypersonic missile ambayo can carry nyuklia weapons
 
Wacheza mpira hua wanafanya mazoezi kila siku nje ya uwanja wa mpira kwani siku ya mechi hua wakiingia uwanja hua wanabutua tu si wanapasha kwa misuli joto

Sio kwamba anazo siraha za nyuklia tu na bado yeye ndio kunara wa sihara za nyuklia ndio nchi yenye siraha nyingi zaidi dunia za nyuklia na mfumo imara wa anga
Kama angekuwa na mfumo imara wa anga, asingepiga kelele. kwasababu silaha alizopatiwa Ukraine haziwezi kufua dafu kwenye mifumo yake.
 
Kama angekuwa na mfumo imara wa anga, asingepiga kelele. kwasababu silaha alizopatiwa Ukraine haziwezi kufua dafu kwenye mifumo yake.
Rudia ule mstari wa mwana FA "Hata mchawi anafiwa atakiwa kiboko kiasi gani kuna mahali atazidiwa" Sio ukiwa imara utaweza kuzuia yote na atakama unaweza kuzuia yote siku zote vita ni tahadhari ni lazima umuheshimu adui hata kama ni dhaifu huwezi jua yajayo ila tahadhari ni muhimu
 
Hivi unaijua nyuklia kweli wewe au unaijua WW3 kweli wewe 😃 au unaanza kujipa faida za kua super power bila kujua ikipigwa WW3 dunia nzima lazima iingize majeshi vitani sio wewe wala sio kenya mfano RUSSIA ana kombora la SATAN I NA SATAN II haya tu yanatosha ukigeuza TZ vumbi ikipigwa vita ya dunia au ikitumia kunyuklia ni sawa na kusema ndio mwisho wa kuishi kwa viumbe hai katika hii dunia ila inategemea itatumika kwa kiasi kipi ndo maana kila mtu hataki vita ya nuclear wewe tayari unawaza
Wapigane ulaya na marekani Mimi nahusika vipi, ww1 na 2 mataifa ya afrika yalikuwa yanatawaliwa ndio maana mababu zetu walilazimishwa kupigana lakini ww3 no nchi yenyewe itakayoamua kupigana na sio kulazimishwa kwa kifupi naombea sana wapigane tuanze kuwapokea kama wakimbizi
kuwa 😁
 
Uchumi wa china ni unakua kwa kasi kubwa sana kitu ambacho USA hayuko tayari kuona nchi ambayo uchumi wake unakua kwa kasi kiasi kwamba kuna mashirika mbalimbali ya kutoa data duniani yalianza kutoa data kua uchina inawezekana kwa miaka 10 ijayo ikapita USA kiuchumi USA alianza kuchukuilia ni suala la utani tu lakini kadri muda unavoenda uchina ulianza kupunguza utegemezi kwa USA kiasi kwamba hata mitandao ikaanza kuunda mitandao yake binafsi mfano nasikia sasa hivi china hawatumii mfumo google kama injini ya mtandao china ilendelea taratibu kujiona kwenye utegemezi wa USA kwa vitu mbalimbalj badala yake china ikajiunga na urusi USA akachukulia swali tu china haikuishia hapo ikakaa kikao na urusi wakawa mbio kuacha kutumia USD yani dollar ya marekani kama fedha kwenye soko la dunia badala yake wakashauriana watumie mfumo Yuan/rubble wafanye hii ndio sarafu yao ya kimataifa kitu ambacho kitu ambacho kitaathiri sana uchumi wa USA na EU kwani sasa sarafu zinazotumika ni USD na EURO endapo china na urusi watajitoa humo basi uchumi wa USA utashuka hii itaweza kupeleka USA akapitwa kwa mfano sasa hivi tumeona jinsi RUBBLE ya urusi ilivo imarika dhidi ya EURO na USD hii ni baada ya urusi kuwekewa vikwazo vya kiuchumi nae akajibu kwa kusema anaetaka GAS au MAFUTA lazima anunue kwa pesa yetu ya RUBBLE badala ya USD/EURO hebu imagine tu USD/EURO ilivoanguka baada ya putin kutoa kauli ya kununu gas na mafuta kwa ruble badala ya usd na euro jiulize je china USA zikijitoa kabisa kwenye huu mfumo wa USD/EURO itakuaje kwa uchumi wa USA na EU. haikuishia hapo urusi iliwekewa vikwazo china imeonesha ikipingana na EU na USA kuiwekea vikwazo urusi badala yake imeongeza ushirikiano na urusi mfano EU/USA waligomea kununua gas ya urus ila china ikaamua kuendelea kununua hii inaonyesha kwa kiasi china imejipanga sio hapo tu marekanj kupitia shirka lake la ujasusi CIA wanajua hilo kua uchumi wa china ni tishio kwa USA. usishangae maana hata hayati JPM liwaambia "Vita ya uchumi ni ngumu kuliko vita ya siraha" hiki ndio kinaendelea baina na USA na china ni vita ya kiuchumi tena vita ndefu hasa inaweza kugeuka vita ya siraha maana china imejipanga kweli kweli tena kwa kuungana na mrusi ilijua yaweza hii vita ikageka kua ya siraha ndo maana akimbilia kwa mrusi maana kama ikiwa ya siraha mrusi yupo kama ikiwekewa vikwazo vya kiuchumi mrusi yupo ndo maana nikakwambia Dunia inaiitaji urusi kuliko urusi inavoiitaji dunia. Kuhusu suala la viongozi wako sasa sio kwamba wao wamekaa tu huku wananch wanaumia bali wanfanya hayo kwa ajiri ya hao hao wananchi ili waishi kwa amani na uhuru sio mashaka maana amani haiji ila kwa ncha ya upanga hivo kila mmoja atelekeze jukumu lake jeshi kazi yake mwananch kazi yake kiongoz kazi yake
Dunia inamuhitaji Urusi? How? Kwa lipi?
 
Condom ya sh. 300 tu ingetumika tusingepata madhara Kama haya hapa JF.

Budget ya ulinzi ya Russia kwa 2021 Ni $66bil,Ila kwa Sababu mtu ameamua kutumia kichwa kufugia nywele ndio basi tena.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]$66b wenzake wako kwa$700b na hawaringi[emoji2]
 
Back
Top Bottom