Msishangae JF-Expert Member Joined Jul 7, 2020 Posts 363 Reaction score 267 Feb 5, 2022 #21 Vandetta said: Russia Today ikifungiwa ni sawa ila DW ikifungiwa sio sawa... Madhalimu wana run hii dunia Click to expand... Yaani Marekani ni tatizo kubwa duniani
Vandetta said: Russia Today ikifungiwa ni sawa ila DW ikifungiwa sio sawa... Madhalimu wana run hii dunia Click to expand... Yaani Marekani ni tatizo kubwa duniani
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Feb 5, 2022 #22 Marekani ni mafi. KILA MAHALI ananukaga.
Boveta JF-Expert Member Joined Jul 23, 2019 Posts 3,174 Reaction score 3,804 Feb 6, 2022 #23 Wafungue idhaa ya kiswahili, wamatumbi wapate kazi sasa hao RT
Blackcornshman JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 6,514 Reaction score 15,701 Feb 6, 2022 #24 Naby Keita said: RT anakula sahani moja na hao wakina CNN hadi kuna baadhi ya watangazaji wa CNN kawavuta na idhaa yake ya kiingereza imeanza kujulikana na watu wengi wa magharibi......wakichoka propaganda za wakina BBC na CNN wanahamia huko kupata ukweli wa mambo Click to expand... Channel yangu pendwa.
Naby Keita said: RT anakula sahani moja na hao wakina CNN hadi kuna baadhi ya watangazaji wa CNN kawavuta na idhaa yake ya kiingereza imeanza kujulikana na watu wengi wa magharibi......wakichoka propaganda za wakina BBC na CNN wanahamia huko kupata ukweli wa mambo Click to expand... Channel yangu pendwa.
NAWATAFUNA JF-Expert Member Joined Nov 14, 2019 Posts 13,284 Reaction score 24,047 Feb 6, 2022 #25 Mzee Vradmil ajawai kuniangusha.