Urusi yaikalia Ufaransa kooni Afrika Magharibi

Urusi yaikalia Ufaransa kooni Afrika Magharibi

19 people, including nine volunteers with the armed forces, were killed in two attacks in jihadist-torn Burkina Faso, local inhabitants and a security source said on Monday.

VOA, February 13 2023
 
Usifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Warejee yaliyo mfika komredi Samora Moses Machel![emoji24][emoji24][emoji24]
 
Armed jihadists stormed a camp housing refugees from neighbouring Mali in western Niger and killed 9 people, a local official said. The attack took place on Wednesday at a camp in the Tahoua region bordering jihadist-hit Mali, a local official said.

AFP, February 4 2023
 
Wameacha kupinduana? Maana huko kila mwanajeshi ana ndoto ya kuwa Rais wa nchi.
Nachoweza kusema ni kuwa Africa magharibi soon watatuacha pakubwa kimaendeleo.
Tuachane na gonjera za misaada ya USAid ni upuuzi mtupu. Heko west Africa
 
Usifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
we mbwiga acha uongo
 
mbona hapa kipindi cha jpm misaada mingi ilipoanza tu kupunguzwa mlikuwa mna hahahaaa!!na kama hadi sasa angekuwepo cjui ingekuwaje?yqqni mshindwe kujitegemea kipindi kizuri mje kujitegemea wakati hakuna kitu kweli!??Huyo aliyekuwa ana kopa kwa siri akiwadanganya wananchi kuwa tunajitegemea.
Waulize waliohaha mimi sio mfuasi wa misaada na kutumainia watu.Wazungu wa magharibi hutumia misaada vibaya.
 
Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
Duuh wew kwako cha maana ni misaada kumbe
 
kitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
Tuanze sisi kwanza, kitu gani cha faida Afrika imeifanyia Urusi tangu Dunia ianze???Hizi tabia za kuona sisi tunapaswa kufanyiwa tuuuuu..ndo vinapelekea tunaendelea kuwa watumwa kwenye nchi zetu wenyewe

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
Na hiyo misaada ife..ili tupate akili..tujitafutie mali zetu....tujitawale na kujisimamia wenyewe

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na kwamba warger group wanatoa ulinzi lakini pia mrusi nae ni mporaji wa Mali za Africa kupitia mikataba yao na nchi husika, mfano pale sudani kwa aliekuwa omary Bashir mwanzilishi wa warger group na kampuni yake ndo wanunuzi wakuu wa dhahabu yote inayozalishwa pale kwa kushirikiana na baadhi ya watu ndani ya serikali hii Iko hivyo hivyo pia CAR, Mpaka Sasa ivi umoja wa mataifa wapo kwenye uchunguzi mzito kuhusu urusi juu ya warger group na vitendo vyao vya kihalifu hapa Africa, na kama unafuatilia mambo warger group kwa nchi za kiafrica wapo kwenye nchi zenye utawala mbovu wa kutofuata Sheria, Katiba, democrasia na pia mapinduzi ya kijeshi kuanzia Syria, mali, Niger ,Burkinafaso ,Libya, sudani, na CAR kwa ushirikiano wa Rwanda na pia hapo msumbiji kumbuka wale wako kimaslah zaidi na wanavuna mabilion ya pesa hapa africa
 
Kitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
Vita vyote vya kumtoa mkoloni Africa ili nchi iwe huru mrusi ameshiriki, kuanzia Algeria, Angola, South Africa, Zimbabwe nk.. ulitaka wakufanyie nini? Wakupikie ugali?
 
Pamoja na kwamba warger group wanatoa ulinzi lakini pia mrusi nae ni mporaji wa Mali za Africa kupitia mikataba yao na nchi husika, mfano pale sudani kwa aliekuwa omary Bashir mwanzilishi wa warger group na kampuni yake ndo wanunuzi wakuu wa dhahabu yote inayozalishwa pale kwa kushirikiana na baadhi ya watu ndani ya serikali hii Iko hivyo hivyo pia CAR, Mpaka Sasa ivi umoja wa mataifa wapo kwenye uchunguzi mzito kuhusu urusi juu ya warger group na vitendo vyao vya kihalifu hapa Africa, na kama unafuatilia mambo warger group kwa nchi za kiafrica wapo kwenye nchi zenye utawala mbovu wa kutofuata Sheria, Katiba, democrasia na pia mapinduzi ya kijeshi kuanzia Syria, mali, Niger ,Burkinafaso ,Libya, sudani, na CAR kwa ushirikiano wa Rwanda na pia hapo msumbiji kumbuka wale wako kimaslah zaidi na wanavuna mabilion ya pesa hapa africa
Afadhali Mrusi analeta amani na ananunua dhahabu..wamagharibi wanapora na kuanzisha Vita vinavyoua watu wengi sana..watu wa upinde bana na kuwatetea mabwana zao 🚮
 
Usifikiri Urusi anaipenda Afrika, Urusi yenyewe ni rogue state. Tunamkumbuka vizuri kwenye vita vya Uganda, anadai kulipwa cash, Uganda anauziwa ndege vita, Tanzania tunauziwa makombora ya kuziangusha, yeye anahesabu noti tu. Nchi nyingi za kisoshalisti zimekuwa na mifumo ya uongozi mbovu kupindukia.
Wewe kwenye nchi yako isio yakisoshalist mmeizidi nini RUSSIA

DEMOKRASIA yenu hii mnayoiabudu nimfumo wautawala wahovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa hapa DUNIANI

RUSSIA kamatia hapo hapo tunajua sio kwamba unaipenda saaana hio AFRIKA yetu ila wacha tu tujaribu ladha ya mkoloni mpya tuone itakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu gani cha faida urusi alishawahi kuifanyia africa tangu dunia ianze. na kwa waliofika urusi au kuishi nchi za eastern europe, wataelewa ninachoongea, kwa asili tu watu wa huko ni wabaguzi mno kwa waafrica. ni kweli wamagaribi ni wajinga na ni mafirauni/mapunga lakini kwa upande mwingine wameifaidisha kwa kiasi fulani africa kuliko hata urusi. urusi anakuja africa kwasababu tu anahitaji kulipiza visasi kwa wamagaribi, isingekuwa hivyo asingekuja.
Nyie kitu gani mlishawahi kumfanyia RUSSIA chamaana

Mnapenda kufanyiwa tu kujifanyia wenyewe hamuwezi

Hii DUNIA kwasasa watu wanaangalia WIN WIN situation

Nyie kaeni tu hapo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huna taarifa za kutosha juu ya mizozo ya w.Afrika .juzi tu kuna wanajeshi 10 wa mali wameuawa!!Yeye urusi anachofanya ni kuwapa kazi mamruki wa kundi la wagner kujifanya wanatoa mafunzo kwa majeshi yao.kitakacho tokea sasa ni nchi za ulaya kupunguza /kuacha kutoa misaada kwa nchi hizo.Na urusi pekee yake hatakuwa na uwezo huo.
Bora waache kabisa wasipunguze

Mutategemea kupewa mpaka lini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kwamba warger group wanatoa ulinzi lakini pia mrusi nae ni mporaji wa Mali za Africa kupitia mikataba yao na nchi husika, mfano pale sudani kwa aliekuwa omary Bashir mwanzilishi wa warger group na kampuni yake ndo wanunuzi wakuu wa dhahabu yote inayozalishwa pale kwa kushirikiana na baadhi ya watu ndani ya serikali hii Iko hivyo hivyo pia CAR, Mpaka Sasa ivi umoja wa mataifa wapo kwenye uchunguzi mzito kuhusu urusi juu ya warger group na vitendo vyao vya kihalifu hapa Africa, na kama unafuatilia mambo warger group kwa nchi za kiafrica wapo kwenye nchi zenye utawala mbovu wa kutofuata Sheria, Katiba, democrasia na pia mapinduzi ya kijeshi kuanzia Syria, mali, Niger ,Burkinafaso ,Libya, sudani, na CAR kwa ushirikiano wa Rwanda na pia hapo msumbiji kumbuka wale wako kimaslah zaidi na wanavuna mabilion ya pesa hapa africa
SYRIA ipi na LIBYA gani

PMC ya wagner haina kosa lolote hao US na shost zake wanaona wamepigwa over take ndio wanaanzisha upuuzi wao

Kwanza waijadili PMC mozrat halaf tutaungana nao kuijadilia hii PMC wagner halaf wakamalizane na kundi ka black water kama sijakosea jina

PMC wapewe ulinzi wanaifanya DUNIA kua na balance itakiwayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom