Urusi yaingia Mgogoro/ vita ya Kibiashara na China

Urusi yaingia Mgogoro/ vita ya Kibiashara na China

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Katika hali ambayo inaonesha kuwa ni kudhibiti bidhaa za China nchini Russia. Serikali ya Putin imeongeza kodi ya bidhaa za China ili kulinda bidhaa zake. Jambo ambalo limeshtua kidogo watu wengine kutokana na ukaribu ambao mataifa haya yamekuwa yakijaribu kujenga dhidi ya NATO.

PATA HABARI KAMILI

================

Russia has imposed a 55.65% tariff on China-made furniture parts, a trade war salvo that has raised hard new questions about Moscow and Beijing’s “no limits” partnership with US President-elect Donald Trump’s inauguration on the horizon.

Since autumn 2024, the customs department of Russia’s eastern city of Vladivostok has re-categorized furniture sliding rail components as bearing types, resulting in a drastic increase in tariffs from zero to 55.65%. The city now handles 90% of China’s furniture parts imports into Russia.

Forbes first reported the protectionist move on November 26, and Russian media widely cited it on November 27. Sergey Zmievsky, president of Almaz, a Russian furniture company, told Forbes that sliding parts can account for 30% of the costs of making kitchen furniture.

The Association of Furniture and Woodworking Enterprises of Russia (AMDPR) said the new tariff would bankrupt Russian importers of furniture components and create an additional 15% cost for local furniture makers.

AMDPR president Alexander Shestakov said importing a finished piece of furniture, which is only subject to a 9-12% tariff, is now more profitable than producing it domestically. He said the targeted components are currently not produced in Russia, which imports about US$1.3 billion of these furniture parts annually, mainly from China.

He added that furniture parts importers now must pay up to 2 to 2.5 million rubles ($19,969 to $24,962) worth of tariffs for each container, causing many to send them back to China rather than take delivery.

Source: Asia Times
 
putin mpumbav pumbav tu, anaongozwa na mihemuko tuu, hadi leoo hajawahi aminii kale kamsafara kake ka kuiteka kiev kalipoishia mazeee dah..mchina anvumilia tu jamaa..mikwara mingiii kila leo lakini miaka mitatu sasa hana lolote...wenzake wanacheza chess, yeye anadunda apo ikulu na anatisha kila leo eti nitalipua nuclear!😄 si ajaribu aonee utamu wakee sasaa...sasa hivi wako apo chemba apo moscow wanazunguka zunguka na mwenzake mzee assad wanashangaa shangaa dunia inavoenda kasii....yaani ni kama mapanya buku wawili shimonii mazee
 
Hakuna mwenye ubavu wa kuzuia bidhaa za china hata nchi za ulaya walijaribu kila njia lkn bado wanahitaji bidhaa za china
Na ukisema ukomae ujitenge na bidhaa za china utaumia mwenyewe tu
 
China anazalisha kwa wingi na bei zake ziko chini
Yaani ni hatari sana, yeye akizalisha anaangalia soko la watu bilioni 8. Ambayo ni dunia nzima. Sasa mataifa mengine yatapambanaje kujikwamua kutoka kwa Dragon products
 
putin mpumbav pumbav tu, anaongozwa na mihemuko tuu, hadi leoo hajawahi aminii kale kamsafara kake ka kuiteka kiev kalipoishia mazeee dah..mchina anvumilia tu jamaa..mikwara mingiii kila leo lakini miaka mitatu sasa hana lolote...wenzake wanacheza chess, yeye anadunda apo ikulu na anatisha kila leo eti nitalipua nuclear!😄 si ajaribu aonee utamu wakee sasaa...sasa hivi wako apo chemba apo moscow wanazunguka zunguka na mwenzake mzee assad wanashangaa shangaa dunia inavoenda kasii....yaani ni kama mapanya buku wawili shimonii mazee
Yaani Putin anayeikalisha collective west, mataifa yenye uchumi mkubwa na uwezo wa kutisha wa kijeshi unamuita mpumbavu?
 
putin mpumbav pumbav tu, anaongozwa na mihemuko tuu, hadi leoo hajawahi aminii kale kamsafara kake ka kuiteka kiev kalipoishia mazeee dah..mchina anvumilia tu jamaa..mikwara mingiii kila leo lakini miaka mitatu sasa hana lolote...wenzake wanacheza chess, yeye anadunda apo ikulu na anatisha kila leo eti nitalipua nuclear![emoji1] si ajaribu aonee utamu wakee sasaa...sasa hivi wako apo chemba apo moscow wanazunguka zunguka na mwenzake mzee assad wanashangaa shangaa dunia inavoenda kasii....yaani ni kama mapanya buku wawili shimonii mazee
Urusi sio Syria
 
putin mpumbav pumbav tu, anaongozwa na mihemuko tuu, hadi leoo hajawahi aminii kale kamsafara kake ka kuiteka kiev kalipoishia mazeee dah..mchina anvumilia tu jamaa..mikwara mingiii kila leo lakini miaka mitatu sasa hana lolote...wenzake wanacheza chess, yeye anadunda apo ikulu na anatisha kila leo eti nitalipua nuclear!😄 si ajaribu aonee utamu wakee sasaa...sasa hivi wako apo chemba apo moscow wanazunguka zunguka na mwenzake mzee assad wanashangaa shangaa dunia inavoenda kasii....yaani ni kama mapanya buku wawili shimonii mazee
Huwa na semaga putin na russia yake ni mandonga mtupu. Maneno mengi action 0
 
Russia has imposed a 55.65% tariff on China-made furniture parts, a trade war salvo that has raised hard new questions about Moscow and Beijing’s “no limits” partnership with US President-elect Donald Trump’s inauguration on the horizon.

Since autumn 2024, the customs department of Russia’s eastern city of Vladivostok has re-categorized furniture sliding rail components as bearing types, resulting in a drastic increase in tariffs from zero to 55.65%. The city now handles 90% of China’s furniture parts imports into Russia.
Urafiki wa BRICS unapata tafsiri halisi
 
Hakuna mwenye ubavu wa kuzuia bidhaa za china hata nchi za ulaya walijaribu kila njia lkn bado wanahitaji bidhaa za china
Na ukisema ukomae ujitenge na bidhaa za china utaumia mwenyewe tu
Kama umeisoma habari ya Mleta mada inazungumzia furniture, kitu kidogo kinakuzwa tu. Hata mimi ningeongeza kodi Furniture za Nje, kama Nchi ina mbao za Kutosha hakuna haja kutumia Mafurniture ambayo ukihama tu yanaharibika.
 
Back
Top Bottom