Urusi yakumbwa na uhaba wa mafuta, ilhali ndio inaongoza kwenye uzalishaji wa mafuta

Mbona Urusi ameshashirikiana na Cuba hadi Venezuela na Marekani wala hakuwahi kuzivamia!
 
Kwa mfano hela gani zinazofanya biashara?
 
Mbona Urusi ameshashirikiana na Cuba hadi Venezuela na Marekani wala hakuwahi kuzivamia!
Alafu kuvamia sio mpaka mtu aje kwako.mtu anaweza kukupa vikwazo mpaka unateseka kuliko aliyevitani.
 
ivi ufala na ufacken ni nini? nikusambaza habari ambazo ni 100% propaganda mchana kweupe, ni sawa na chizi mmoja kuamka kesho nakusema tanzania nzima hakuna maji ya kunywa shwaini mkubwa.
 
kwamba anaitetea dunia kwa kuivamia ukraine ? hv una akili timamu ? hv kati ya ukraine na russia nan ni htr kwa usañama wa dunia? Russia ana makolon na kavamia nchi nying tu je ukraine kafanya hivyo?
Marekani anatetea dunia?
 
Mbona picha zinajisema ni za mwaka 2011?
 
Hizi stori mnazodanganyana huko vijiwe vya kahawa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kwani urusi alivyoivamia Ukraine na kuchukua crimea nayo ni hii hi sababu ya kushirikiana na marekani

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kwani urusi alivyoivamia Ukraine na kuchukua crimea nayo ni hii hi sababu ya kushirikiana na marekani

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kwa sababu urusi alishaona nini Ukraine alikuwa anataka kufanya kwa hiyo akaanza kuchukua hatua kurudisha maeneo yake aliyompa ukraine.yake maeneo aliyochukua urusi ni maeneo yalikuwa wa urusi na yanamali sana kwa hiyo Marekani alikuwa ananyemelea utajiri huo.nataka wajinga waamke.
 
Mbona ushainga maziwa makuu matatu yapo Africa yapo Tanzania lakini kuna shida ya maji mpaka keshokutwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…