Urusi yakumbwa na uhaba wa mafuta, ilhali ndio inaongoza kwenye uzalishaji wa mafuta

Urusi yakumbwa na uhaba wa mafuta, ilhali ndio inaongoza kwenye uzalishaji wa mafuta

Kwa sababu urusi alishaona nini Ukraine alikuwa anataka kufanya kwa hiyo akaanza kuchukua hatua kurudisha maeneo yake aliyompa ukraine.yake maeneo aliyochukua urusi ni maeneo yalikuwa wa urusi na yanamali sana kwa hiyo Marekani alikuwa ananyemelea utajiri huo.nataka wajinga waamke.
Ramani ipi inaonyesha haya ni maeneo ya urusi ndani ya Ukraine? Kila taifa lingeamua kufanya upuuzi kama huo unaofanywa na urusi Kurdish maeneo yao dunia ingekalika

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom