Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi kweli kwa akili yako S 400 unafananisha na hizo takataka F 15 omba radhiZile S400 SAM kule Syria zimeshindwa kuipa Syria water tight air defence?maana F 15s zinatalii juu ya anga ya Syria!
Allepo ,imeshambuliwa juzi au taarifa hii wewe huna?,after all why Nina vita yangu hapa mpaka wangu wa kusini,ya huko middle east huu sio muda wake kwanguIvi kweli kwa akili yako S 400 unafananisha na hizo takataka F 15 omba radhi
F15s ni takataka je Mig 21 na F6 za ile nchi ya kusadikika itakua ni uozo nheIvi kweli kwa akili yako S 400 unafananisha na hizo takataka F 15 omba radhi
Mkuu hizo ndege zimepelekwa kimkakati kumbuka Kuna Iran ambayo imeanza kununua ndege za SU 35 za Russia na makombora yake wakati huo huo Urussi imeshatangaza kuisadia Palestina na Syria na Sasa Mrusi yupo Milima ya Golan inayoshikiliwa na IsraelNdege hatari kama hii inapelekwa kupambana na watu wanaotumia AK47 RPG
S 400 zipo Syria na Zina endeshwa na warusi wenyewe kumbuka Syria ni Nchi huru inalindwa na Sheria za kimataifa Israel anachofanya ni Ugaidi kuivamia na kukimbia kama swala. Mrusi hajapewa task ya kufunga Anga la Syria..Allepo ,imeshambuliwa juzi au taarifa hii wewe huna?,after all why Nina vita yangu hapa mpaka wangu wa kusini,ya huko middle east huu sio muda wake kwangu
Kwan ule msafari wa kilometer 80 vifaru na magari ya kivita ilikuwaje....msafara uliishiwa mafutaUpo katika kitengo cha Logistics Na Transportation Katika Jeshi La Urusi Au Ni Mahaba Na Uhuru Wa Kikatiba Mkuu?.
Thubutu!Ngoja tuone Russia kama atarusha risasi pale Israel, meri zitakaa halafu ziondoke
Sheikh hapo ni kama hujui Moja ni defence system na nyingine ni fighter jetIvi kweli kwa akili yako S 400 unafananisha na hizo takataka F 15 omba radhi
Kwan ule msafari wa kilometer 80 vifaru na magari ya kivita ilikuwaje....msafara uliishiwa mafuta
Ndogo hizo? Hizo ni silaha kubwa kuliko zote nilizowahi kuzisikia.Kwa hiyo hizi ndiyo silaha za kuangamiza waarabu?
Sheikh hapo ni kama hujui Moja ni defence system na nyingine ni fighter jet
Kifupi umepuyanga
Acha kudandia treni kwa mbele utakuja kupata mimba bila kutarajia we unajua tumeanzia wapiSheikh hapo ni kama hujui Moja ni defence system na nyingine ni fighter jet
Kifupi umepuyanga
Nimeanzia hapo kwenye kisimi so kwa kwa kutulia nikupe utamu......Acha kudandia treni kwa mbele utakuja kupata mimba bila kutarajia we unajua tumeanzia wapi