Urusi yalalamika zuio la magari ya Warusi kuingia Uropa kutaathiri Warusi wa kawaida

Urusi yalalamika zuio la magari ya Warusi kuingia Uropa kutaathiri Warusi wa kawaida

Mambo ya kitoto toto kila saa, sawa msafara ni mrefu sana sasa tuonyeshe video clips ambazo walao Javellin moja ilikuea inalipua kifaru zaidi ya kumoja na kuzuia msafara usimame - sisi tulikuwa tunaona msafara unaendelea kama kawaidi vinalipuliwa vifaru kimoja au viwili,lakini sio kwa wingi kivile mambo yote yalikuwa yanaonekana kwenye luninga bwana, damage ya zana za kivita za Urusi ulikuwa ndogo sana ndio maana zana karibu zote pamoja na wanajeshi wa Urusi waliwasili nchini Belorussian bila wasi wasi.
Wewe jinga kabisa yaani. Msafara uliteketezwa mpaka Askari walikuwa wanalia, mpaka Putin akaanza kuilalalamikia England. Maana mzigo wa waingereza ule
 
Wewe jinga kabisa yaani. Msafara uliteketezwa mpaka Askari walikuwa wanalia, mpaka Putin akaanza kuilalalamikia England. Maana mzigo wa waingereza ule
Wewe ndyo taira kabisa msafara upi uliolipuliwa mnakuja na hadithi zenu za abunuasi apa yani kifaru kilipuliwe alafu alama ya V au Z ibakie kkama imechorwa saivi mnatuona sisi watoto sana embu rudishheni ata eneo moja tu maana bakhmut imewatoa jasho miezi 10 sasa maana ayo mengine kuyarudishha imeshakuwa hadithi
 
Back
Top Bottom