Urusi yalalamikia Marekani kuhusu mashambulizi ya drones zinazopiga Moscow

Urusi yalalamikia Marekani kuhusu mashambulizi ya drones zinazopiga Moscow

Hizi dhana za kufikiri Zelensky ana haki ya kituniana misuli na Super Power ndio lotaichakaza Ukraine nzima back to STONE AGE ERA na raia wengi kupoteza maisha

Mbona tangu mwanzo mambo yalikuwa simple sana: Urusi kutokana na kuwa concern na usalama wake ilisema Ukraine hasijiunge na NATO - simple and clear, mwanzo Zelensky alikubaliana na masharti ya Urusi, baadae Boris Johnson pamoja na Biden wakamwambia Zelensky hasikibaliane na masharti ya Urusi, wao watampatia misaada ya kijeshi na silaha - hivi kwa akili za kawaida US/NATO wanafikiri Ukraine pamoja na misaada lukuki kutoka magharibi wanaweza kweli kuishinda kivita Urusi???

Sasa tunapiga ndani kila siku Ukraine washambulia mji wa Shebekino, Urusi kwa makombora, Urusi ndani ndani
 
Vita sio mkate wa kila siku eti uukimbilie bali na janga linalopaswa kuepukwa kwa gharama yoyote ile.

Hata ukishinda vita ila unabaki na mapengo mengi either kiuchumi, kisiasa, kijamii et al.

Hivyo epeka vita siyo chakula hicho
Ni kweli lakini waswahili wanasema,Maji ukiyavulia nguo lazima uyaoge! Vita vimeshatokea kilichobaki ni kuona mwisho wake! Huenda vita ikamalizika kwenye meza ya mazungumzo.
 
Hizi dhana za kufikiri Zelensky ana haki ya kituniana misuli na Super Power ndio lotaichakaza Ukraine nzima back to STONE AGE ERA na raia wengi kupoteza maisha

Mbona tangu mwanzo mambo yalikuwa simple sana: Urusi kutokana na kuwa concern na usalama wake ilisema Ukraine hasijiunge na NATO - simple and clear, mwanzo Zelensky alikubaliana na masharti ya Urusi, baadae Boris Johnson pamoja na Biden wakamwambia Zelensky hasikibaliane na masharti ya Urusi, wao watampatia misaada ya kijeshi na silaha - hivi kwa akili za kawaida US/NATO wanafikiri Ukraine pamoja na misaada lukuki kutoka magharibi wanaweza kweli kuishinda kivita Urusi???
Swali langu halijalenga huko. Swali langu ni kwanini Urusi akishambuliwa analalamika licha ya kua yeye anarusha makombora karibia kila siku
 
Swali langu halijalenga huko. Swali langu ni kwanini Urusi akishambuliwa analalamika licha ya kua yeye anarusha makombora karibia kila siku
Mbona jibu ni simple-Ukraine isikilize concerns za usalama wa Taifa la URUSI kwamba Ukraine isijiunge na ushirika wa NATO ambao wanaweza kutumia airidhi ya Ukraine kujenga military base ya NATO na kuweka short range tactical nuclear missiles na ndege za vita kuishambulia Urusi kwa kushtukiza ndani ya muda mfupi.

Warusi si wajinga kama mnavyo wafikiria - watttnaona mbali sana ndio maana wapo radhi kufanya lolote kuhakisha hawachezewi na NATO specifically the USA kwa kutumia Ukraine kama daraja la kuvuruga usalama na uchumi wa Urusi - USA na genge lake lote la nchi karibu 30 hawana ubavu wa kushundana na kuishinda Urusi -mwisho wa siku watakuja kuaibika wao baads ya silaha zao zote kutiwa kiberiti na Urusi - hakuna cha Patriot SDS, hakuna cha HIMARS, hakuna cha Abrams/Leopard wala takata gani sijui! Vita hii ya Ukraine ndio itafanya silahaza USA zianze kukosa soko, baada ya Dunia kushuhudia zinavyo chakazawa na silaha za Tzar Putin.t
 
Mbona jibu ni simple-Ukraine isikilize concerns za usalama wa Taifa la URUSI kwamba Ukraine isijiunge na ushirika wa NATO ambao wanaweza kutumia airidhi ya Ukraine kujenga military base ya NATO na kuweka short range tactical nuclear missiles na ndege za vita kuishambulia Urusi kwa kushtukiza ndani ya muda mfupi.

Warusi si wajinga kama mnavyo wafikiria - watttnaona mbali sana ndio maana wapo radhi kufanya lolote kuhakisha hawachezewi na NATO specifically the USA kwa kutumia Ukraine kama daraja la kuvuruga usalama na uchumi wa Urusi - USA na genge lake lote la nchi karibu 30 hawana ubavu wa kushundana na kuishinda Urusi -mwisho wa siku watakuja kuaibika wao baads ya silaha zao zote kutiwa kiberiti na Urusi - hakuna cha Patriot SDS, hakuna cha HIMARS, hakuna cha Abrams/Leopard wala takata gani sijui! Vita hii ya Ukraine ndio itafanya silahaza USA zianze kukosa soko, baada ya Dunia kushuhudia zinavyo chakazawa na silaha za Tzar Putin.t
Mbona unazunguka sana bila sababu? Swali ni simple tu.

Kwanini urusi akijibiwa analalamika ni ugaidi wakati yeye anarusha mabomu kila siku?.

Kama kaamua kuchagua njia ya mapigano mbona analalamika akijibiwa?
 
Njia bora ya kupigana vita ni meza ya maridhiano ili kuzuia vita isitokee.

Vita huwa ina athari pande zote hivyo ili kuepuka hayo meza ya maridhiano ndo suluhisho.

Bomu likikutembelea halichagui kuwa wewe ni beberu au kapuku linakushughulikia tu.
Tatizo Urusi hakufanya calculations sahihi kuhusu hii vita. Hakufikiri ingeweza chukua hata mwezi matokeo yake imekua vinginevyo.
Kwa ilipofikia si rahisi kwake kushinda maana wabaya wake wamepata pakupenyea.

Hili linaweza kuwa anguko kubwa kwa Putin maana amepata resistance kubwa nchini mwake japo wanaficha.
 
Njia bora ya kupigana vita ni meza ya maridhiano ili kuzuia vita isitokee.

Vita huwa ina athari pande zote hivyo ili kuepuka hayo meza ya maridhiano ndo suluhisho.

Bomu likikutembelea halichagui kuwa wewe ni beberu au kapuku linakushughulikia tu.
Haya ilibid yasemwe hapo awali kipind Ukraine anapitia machungu
 
Hizi dhana za kufikiri Zelensky ana haki ya kituniana misuli na Super Power ndio lotaichakaza Ukraine nzima back to STONE AGE ERA na raia wengi kupoteza maisha

Mbona tangu mwanzo mambo yalikuwa simple sana: Urusi kutokana na kuwa concern na usalama wake ilisema Ukraine hasijiunge na NATO - simple and clear, mwanzo Zelensky alikubaliana na masharti ya Urusi, baadae Boris Johnson pamoja na Biden wakamwambia Zelensky hasikibaliane na masharti ya Urusi, wao watampatia misaada ya kijeshi na silaha - hivi kwa akili za kawaida US/NATO wanafikiri Ukraine pamoja na misaada lukuki kutoka magharibi wanaweza kweli kuishinda kivita Urusi???
Vipi mbona hajaichukua Ukraine kwa wiki mbili?
 
Ni kawaida kulaumiana katika vita! Hapo Russia anatafuta uhalali wa kuendelea kuipiga Ukraine.
Acha aendelee kutafuta uhalali baadae Urusi ikiparanganyika hatutak kusikia mtu anawalaumu mabeberu kama mnavyofanya kwa anguko la Libyia , Palestina na Iraq waliojifanya vichwa maji
 
Mbona jibu ni simple-Ukraine isikilize concerns za usalama wa Taifa la URUSI kwamba Ukraine isijiunge na ushirika wa NATO ambao wanaweza kutumia airidhi ya Ukraine kujenga military base ya NATO na kuweka short range tactical nuclear missiles na ndege za vita kuishambulia Urusi kwa kushtukiza ndani ya muda mfupi.

Warusi si wajinga kama mnavyo wafikiria - watttnaona mbali sana ndio maana wapo radhi kufanya lolote kuhakisha hawachezewi na NATO specifically the USA kwa kutumia Ukraine kama daraja la kuvuruga usalama na uchumi wa Urusi - USA na genge lake lote la nchi karibu 30 hawana ubavu wa kushundana na kuishinda Urusi -mwisho wa siku watakuja kuaibika wao baads ya silaha zao zote kutiwa kiberiti na Urusi - hakuna cha Patriot SDS, hakuna cha HIMARS, hakuna cha Abrams/Leopard wala takata gani sijui! Vita hii ya Ukraine ndio itafanya silahaza USA zianze kukosa soko, baada ya Dunia kushuhudia zinavyo chakazawa na silaha za Tzar Putin.t
Vipi kuhusu Finland? Mchambuzi duni wa mchambawima... unatia kinyaa
 
Hizi dhana za kufikiri Zelensky ana haki ya kituniana misuli na Super Power ndio lotaichakaza Ukraine nzima back to STONE AGE ERA na raia wengi kupoteza maisha

Mbona tangu mwanzo mambo yalikuwa simple sana: Urusi kutokana na kuwa concern na usalama wake ilisema Ukraine hasijiunge na NATO - simple and clear, mwanzo Zelensky alikubaliana na masharti ya Urusi, baadae Boris Johnson pamoja na Biden wakamwambia Zelensky hasikibaliane na masharti ya Urusi, wao watampatia misaada ya kijeshi na silaha - hivi kwa akili za kawaida US/NATO wanafikiri Ukraine pamoja na misaada lukuki kutoka magharibi wanaweza kweli kuishinda kivita Urusi???
Huu mwaka wa ngap ? kuna muda mnapoteza heshima zenu kwa kutetea ujinga
 
Mbona jibu ni simple-Ukraine isikilize concerns za usalama wa Taifa la URUSI kwamba Ukraine isijiunge na ushirika wa NATO ambao wanaweza kutumia airidhi ya Ukraine kujenga military base ya NATO na kuweka short range tactical nuclear missiles na ndege za vita kuishambulia Urusi kwa kushtukiza ndani ya muda mfupi.

Warusi si wajinga kama mnavyo wafikiria - watttnaona mbali sana ndio maana wapo radhi kufanya lolote kuhakisha hawachezewi na NATO specifically the USA kwa kutumia Ukraine kama daraja la kuvuruga usalama na uchumi wa Urusi - USA na genge lake lote la nchi karibu 30 hawana ubavu wa kushundana na kuishinda Urusi -mwisho wa siku watakuja kuaibika wao baads ya silaha zao zote kutiwa kiberiti na Urusi - hakuna cha Patriot SDS, hakuna cha HIMARS, hakuna cha Abrams/Leopard wala takata gani sijui! Vita hii ya Ukraine ndio itafanya silahaza USA zianze kukosa soko, baada ya Dunia kushuhudia zinavyo chakazawa na silaha za Tzar Putin.t
2014 Ukraine ilikuwa imejiunga na NATO au kutuma maombi ya kujiunga na NATO ? MBONA MNAKUWA WAJINGA ,KWANN MNAJIFANYA HAMUELEW ? URUSI ANA YA KWAKE HAPO UKRAINE WALA SIO NATO
 
Putin aliombwa maridhiano tangu mwanzo, yeye imekua mwendo wa kutuma mabomu kwenye nchi ya watu, na asichokijua ndani Urusi kwake kuna idadi kubwa ya Warusi hawataki hivi vita na wapo tayari kumhujumu muda wowote.

Kwa kifupi aiache nchi ya watu, apunguze ego/kiburi kisha ageuze aendelee na mengine japo sidhani kwa sasa kama hata akigeuza itakua salama kwake, yaani yupo kwenye pale wazungu hupaita "You're damned if you do and damned if you don't".

Amesababisha vifo vya maelfu ya vijana wa Urusi, lazima atolee majibu nyumbani kama akiamua kugeuza.

Alipe na fidia pia
 
Mbona unazunguka sana bila sababu? Swali ni simple tu.

Kwanini urusi akijibiwa analalamika ni ugaidi wakati yeye anarusha mabomu kila siku?.

Kama kaamua kuchagua njia ya mapigano mbona analalamika akijibiwa?

Mkuu huyu jamaa anajitoa ufaham achana nae, russua anampangia ukraine yeye ni mwanae? Alicho kifanya crimea nako ukrain ilikuwa inataka kujiunga? Huyu ni kwamba ana tamaa ya kurudisha soviet ya zaman kitu ambacho mpaka mbingu kushuka hata kaa akafanikiwa
 
Swali langu halijalenga huko. Swali langu ni kwanini Urusi akishambuliwa analalamika licha ya kua yeye anarusha makombora karibia kila siku
Kwasababu Urusi na NATO walishakubaliana hakuna silaha ya mwenzie kuingia ndani ya mipaka ya mwenzie, ikitokea hivyo means ni aliefanya hivo anataka vita...na anaejilinda atatumia the most high 'n powerful weapon...katiba ya ulinzi ya NATO inasema watatumia (nuke+NATO security article 5) kujilinda na Urusi yake inasema itatumia nuke na any available weapons kujilinda...ndio maana Urusi analalamika mbona makubaliano hayafuatwi..au akiwashe....?? NATO wanajitetea sio wao....ni nani sasa...??
 
Waache lawama washambulie hapo Poland maana silaha zote zinashukia Poland na kuenda Ukraine kwa reli
 
Back
Top Bottom