MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Urusi inadai imepata intelijensia kwamba Ukraine wanafanya maandalizi ya kutumia 'dirty bombs', aina mabomu hatari ambayo yanaweza kufanya maangamizi makubwa na maafa. Juzi hapa hawa hawa Urusi walitishia kwamba wapo radhi kutumia nyuklia kulinda maeneo ambayo walijimegea kutoka kwa Ukraine, leo wanalialia.
Hivi vita ni hatari na vinaweza vikabadilika muda wowote, ifahamike hao Ukraine walikua na silaha za nyuklia na walikubali kuziacha baada ya Urusi kuahidi kwamba haitokuja siku iwavamie, leo hii Urusi imekiuka hiyo ahadi, kwa kifupi ikumbukwe kwamba Ukraine bado wana uwezo huo wa mabomu hatari, na kama wakifikishwa ukingoni watalazimika kuyatumia....
Muda umefika Putin aache uchizi aachane na nchi ya watu arudishe wanajeshi wake nyumbani maana tunakokwenda hapafai....hata waarabu wa Bongo mnaounga mkono Urusi iko siku mtajikuta mnamchukia Putin..
==========================
Russia call on the West to influence Ukraine to abandon plans of the possible use of a ‘dirty bomb’ and nuclear blackmail, Foreign Ministry Spokeswoman Maria Zakharova told a briefing on Thursday.
“We call on the West to influence its Ukrainian proteges to abandon this highly dangerous risky undertaking. And not only this one, but all those steps, activities and actions that involve nuclear blackmail, since all this leads to irreversible consequences and possible mass deaths of innocent civilians,” she said.
Radiation has no borders, she stressed. “It does not need passports, visas or permissions. It cannot be sanctioned and prevented from crossing the border. It is much more insidious and does not ask anyone’s permission to penetrate anywhere and critically affect people’s health,” the diplomat added.
Head of the Russian Radiation, Chemical and Biological Protection Forces Lieutenant General Igor Kirillov told reporters on Monday that the Russian Defence Ministry alerted its troops to be ready to act In conditions of radioactive contamination, because it had obtained information that Kiev is preparing to detonate a dirty bomb.
Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has also said that there’s a dirty- bomb risk. Russia has raised the issue at the UN Security Council. Russian Defence Minister Sergey Shoigu has held telephone conversations with his counterparts in the UK, US, Turkey and France to warn about the threat from Ukraine. Washington, London and Paris have said, however, that they don’t believe Russia.- TASS
MSN
Hivi vita ni hatari na vinaweza vikabadilika muda wowote, ifahamike hao Ukraine walikua na silaha za nyuklia na walikubali kuziacha baada ya Urusi kuahidi kwamba haitokuja siku iwavamie, leo hii Urusi imekiuka hiyo ahadi, kwa kifupi ikumbukwe kwamba Ukraine bado wana uwezo huo wa mabomu hatari, na kama wakifikishwa ukingoni watalazimika kuyatumia....
Muda umefika Putin aache uchizi aachane na nchi ya watu arudishe wanajeshi wake nyumbani maana tunakokwenda hapafai....hata waarabu wa Bongo mnaounga mkono Urusi iko siku mtajikuta mnamchukia Putin..
==========================
Russia call on the West to influence Ukraine to abandon plans of the possible use of a ‘dirty bomb’ and nuclear blackmail, Foreign Ministry Spokeswoman Maria Zakharova told a briefing on Thursday.
“We call on the West to influence its Ukrainian proteges to abandon this highly dangerous risky undertaking. And not only this one, but all those steps, activities and actions that involve nuclear blackmail, since all this leads to irreversible consequences and possible mass deaths of innocent civilians,” she said.
Radiation has no borders, she stressed. “It does not need passports, visas or permissions. It cannot be sanctioned and prevented from crossing the border. It is much more insidious and does not ask anyone’s permission to penetrate anywhere and critically affect people’s health,” the diplomat added.
Head of the Russian Radiation, Chemical and Biological Protection Forces Lieutenant General Igor Kirillov told reporters on Monday that the Russian Defence Ministry alerted its troops to be ready to act In conditions of radioactive contamination, because it had obtained information that Kiev is preparing to detonate a dirty bomb.
Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has also said that there’s a dirty- bomb risk. Russia has raised the issue at the UN Security Council. Russian Defence Minister Sergey Shoigu has held telephone conversations with his counterparts in the UK, US, Turkey and France to warn about the threat from Ukraine. Washington, London and Paris have said, however, that they don’t believe Russia.- TASS
MSN