Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weqe kwa hii comment yako ndiyo unajiona una uelewa mkubwa sasa?Hakuna developed country isiyokuwa na nuclear, issue ni, nani anaweza thubutu itumia?
Kwa uelewa wako mdogo ngoja nikupe mfano:
Au ngoja niache, hutaelewa
Umerekebisha boss.. d You portrayed kuwa Russia wanaogopa Dirty Bomb kupigwa kwao.Hamna cha kurekebishwa hapo, wewe ndiye umekurupuka kusoma bila kuelewa unajibu nini... ndio tatizo lenu waarabu wa Bongo.
Urusi saiv hana silaha anakodi ndege ambazo hazina rubani kutoka Iran baada ya ndege zake nyingi kuangushwa zikiwa na wanajeshi wake akaja na plan B ya kutumia ndege zisizo na rubani ambapo mpaka jana Ukraine wameripoti kuziangusha zaidi ya drones 300.Wewe ndo chizi, urusi bado ajatumia mabom hatari, anatahadharisha tu huyo jamaa akianza ajue kwisha Habari akianza kujibu
Mkuu dirty bombs zinaenda kuwasulubu mamluki waliotoka russia na kukalia Donbas kwamba ni eneo la nchi yao, lakini pia wahafidhina wanaotumiliwa na Russia ambao wamesimikwa na russia kuwa viongozi wa yale majimbo 4 ambayo sasa Putin anayo kwenye makaratasi tu, Kherson na miji ya Lyman tayari mikononi mwa wenyewe Ukraine lakin battle indaendelea kumtoa mvamizi arudi kwao alikotoka ndio mana putin analia lia, kwisha habari yake, toka vita inaanza anasogeza vinu vya nuclear na kuvifuta futa mavumbi hadi leo ameshindwa anamuongopa mnyama US.We jamaa punguza Unazi.
Unajua Dirty Bomb ni nini?…
Umeelewa hiyo habari??
Urussi anaonya kuwa Ukrain wanapanga kutumia Dirty Bomb kwa akili ya false Flag. Yaani apige nchini kwake mwenyewe ili waje waishutumu urussi kimataifa kuwa ametumia Silaha ya Nuclear. Hiyo mbinu ilitumiwa ktk WW 2 (Pearl Harbour)
Anaelewa sema hali ngumu ndo maana anapindisha mamboMleta Mada Inaonekana Hujui mambo mengi sana katika hii Dunia Jitahidi kusoma uelewe hii Dunia
Umerekebisha boss.. d You portrayed kuwa Russia wanaogopa Dirty Bomb kupigwa kwao.
Halafu Jikite kwenye hoja ndugu.
Mbona unaongea pumba Sana? Kherson ni sehemu ya Russia mileleMkuu dirty bombs zinaenda kuwasulubu mamluki waliotoka russia na kukalia Donbas kwamba ni eneo la nchi yao, lakini pia wahafidhina wanaotumiliwa na Russia ambao wamesimikwa na russia kuwa viongozi wa yale majimbo 4 ambayo sasa Putin anayo kwenye makaratasi tu, Kherson na miji ya Lyman tayari mikononi mwa wenyewe Ukraine lakin battle indaendelea kumtoa mvamizi arudi kwao alikotoka ndio mana putin analia lia, kwisha habari yake, toka vita inaanza anasogeza vinu vya nuclear na kuvifuta futa mavumbi hadi leo ameshindwa anamuongopa mnyama US.
Ni ya Russia kwenye makaratasi tu na mafaili ya putini kule Kremlin otherwise mavamizi toka russia wamehama na raia wao katika mji wa Kherson baada kichapo kitakatifu?Mbona unaongea pumba Sana? Kherson ni sehemu ya Russia milele
Walihamishwa ili kupunguza vifo vya watu Kwa Sababu waukraine wanashambulia mji kwa makombora.Ila mji upo Chini ya warusi milele.alafu waukraine hawapo kherson.huo ni mji wa warusi milele watu watarudi mambo yakishatulia.Ni ya Russia kwenye makaratasi tu na mafaili ya putini kule Kremlin otherwise mavamizi toka russia wamehama na raia wao katika mji wa Kherson baada kichapo kitakatifu?
Na nyie hamna la kufanya Rusia kashajikatia maeneo manono na hayarudi milele na huo mji tutaujenga kama Mariupol.Ni ya Russia kwenye makaratasi tu na mafaili ya putini kule Kremlin otherwise mavamizi toka russia wamehama na raia wao katika mji wa Kherson baada kichapo kitakatifu?
Weqe kwa hii comment yako ndiyo unajiona una uelewa mkubwa sasa?
Wewe ndo chizi, urusi bado ajatumia mabom hatari, anatahadharisha tu huyo jamaa akianza ajue kwisha Habari akianza kujibu
Endeleeni kujifariji hivyo hivyo..,inapunguza msongo wa mawazo [emoji2957]Mbona unaongea pumba Sana? Kherson ni sehemu ya Russia milele
Chini ya warusi kwenye karatasi lakini bendera zinazopepea kwenye milingoti ya Kherson ni za UkraineWalihamishwa ili kupunguza vifo vya watu Kwa Sababu waukraine wanashambulia mji kwa makombora.Ila mji upo Chini ya warusi milele.alafu waukraine hawapo kherson.huo ni mji wa warusi milele watu watarudi mambo yakishatulia.
Tafsiri yako ni tofauti na andiko, ungekuwa na hekima ungeunga mkono alichokishauri Russia. Tamko au ombi ni kwa fqida ya ulaya nzima kwa sababu Russia atalazimika kujibu kwanuzito huo huo ambao itakuwa hatari sio kwa Ukraine tu bali kwa ulaya nzima. Ikumbukwe kuwa vita inapiganwa Ukraine sio Russia hivyo bomu la hatari likipigwa, linapigwa ndani ya Ukraine. Ungeandika kwa hekima badala ya kuandika kishabiki.Urusi inadai imepata intelijensia kwamba Ukraine wanafanya maandalizi ya kutumia 'dirty bombs', aina mabomu hatari ambayo yanaweza kufanya maangamizi makubwa na maafa. Juzi hapa hawa hawa Urusi walitishia kwamba wapo radhi kutumia nyuklia kulinda maeneo ambayo walijimegea kutoka kwa Ukraine, leo wanalialia.
Hivi vita ni hatari na vinaweza vikabadilika muda wowote, ifahamike hao Ukraine walikua na silaha za nyuklia na walikubali kuziacha baada ya Urusi kuahidi kwamba haitokuja siku iwavamie, leo hii Urusi imekiuka hiyo ahadi, kwa kifupi ikumbukwe kwamba Ukraine bado wana uwezo huo wa mabomu hatari, na kama wakifikishwa ukingoni watalazimika kuyatumia....
Muda umefika Putin aache uchizi aachane na nchi ya watu arudishe wanajeshi wake nyumbani maana tunakokwenda hapafai....hata waarabu wa Bongo mnaounga mkono Urusi iko siku mtajikuta mnamchukia Putin..
==========================
Russia call on the West to influence Ukraine to abandon plans of the possible use of a ‘dirty bomb’ and nuclear blackmail, Foreign Ministry Spokeswoman Maria Zakharova told a briefing on Thursday.
“We call on the West to influence its Ukrainian proteges to abandon this highly dangerous risky undertaking. And not only this one, but all those steps, activities and actions that involve nuclear blackmail, since all this leads to irreversible consequences and possible mass deaths of innocent civilians,” she said.
Radiation has no borders, she stressed. “It does not need passports, visas or permissions. It cannot be sanctioned and prevented from crossing the border. It is much more insidious and does not ask anyone’s permission to penetrate anywhere and critically affect people’s health,” the diplomat added.
Head of the Russian Radiation, Chemical and Biological Protection Forces Lieutenant General Igor Kirillov told reporters on Monday that the Russian Defence Ministry alerted its troops to be ready to act In conditions of radioactive contamination, because it had obtained information that Kiev is preparing to detonate a dirty bomb.
Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has also said that there’s a dirty- bomb risk. Russia has raised the issue at the UN Security Council. Russian Defence Minister Sergey Shoigu has held telephone conversations with his counterparts in the UK, US, Turkey and France to warn about the threat from Ukraine. Washington, London and Paris have said, however, that they don’t believe Russia.- TASS
MSN
Tafsiri yako ni tofauti na andiko, ungekuwa na hekima ungeunga mkono alichokishauri Russia. Tamko au ombi ni kwa fqida ya ulaya nzima kwa sababu Russia atalazimika kujibu kwanuzito huo huo ambao itakuwa hatari sio kwa Ukraine tu bali kwa ulaya nzima. Ikumbukwe kuwa vita inapiganwa Ukraine sio Russia hivyo bomu la hatari likipigwa, linapigwa ndani ya Ukraine. Ungeandika kwa hekima badala ya kuandika kishabiki.
Dogo ijue historia ya nyuklia ya Urusi na ukraine kwanza kabla ya kufikiri unajua. Unadhani Warusi wajinga kutahadharisha? Wanajua alichonacho M Ukraine.Wewe ndo chizi, urusi bado ajatumia mabom hatari, anatahadharisha tu huyo jamaa akianza ajue kwisha Habari akianza kujibu