MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Oct 31, 2022 Thread starter #61 GAGL said: Hujui ulichoandika kwa sababu hukuelewa kilichoandikwa. Click to expand... Meli tatu za kivita chali... Na bado mtakoma.
GAGL said: Hujui ulichoandika kwa sababu hukuelewa kilichoandikwa. Click to expand... Meli tatu za kivita chali... Na bado mtakoma.
GAGL JF-Expert Member Joined Aug 5, 2010 Posts 392 Reaction score 400 Oct 31, 2022 #62 MK254 said: Meli tatu za kivita chali... Na bado mtakoma. Click to expand... Hiyo ni vita mzee, anayeshinda na anayeshindwa wote huumia.
MK254 said: Meli tatu za kivita chali... Na bado mtakoma. Click to expand... Hiyo ni vita mzee, anayeshinda na anayeshindwa wote huumia.
MK254 JF-Expert Member Joined May 11, 2013 Posts 32,408 Reaction score 50,809 Oct 31, 2022 Thread starter #63 GAGL said: Hiyo ni vita mzee, anayeshinda na anayeshindwa wote huumia. Click to expand... Unayevamia unaumia zaidi maana unaingia gharama kubwa kuendeleza ubabe kwenye nchi ya watu, huyu Mrusi aliikimbia Afghanistan, na hata Marekani akaikimbia Vietnam, sio rahisi kihivyo.
GAGL said: Hiyo ni vita mzee, anayeshinda na anayeshindwa wote huumia. Click to expand... Unayevamia unaumia zaidi maana unaingia gharama kubwa kuendeleza ubabe kwenye nchi ya watu, huyu Mrusi aliikimbia Afghanistan, na hata Marekani akaikimbia Vietnam, sio rahisi kihivyo.