Urusi yaomba magharibi ibembeleze Ukraine isitumie mabomu hatari

Hiyo ni vita mzee, anayeshinda na anayeshindwa wote huumia.

Unayevamia unaumia zaidi maana unaingia gharama kubwa kuendeleza ubabe kwenye nchi ya watu, huyu Mrusi aliikimbia Afghanistan, na hata Marekani akaikimbia Vietnam, sio rahisi kihivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…